Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC

Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC

Ukiachana na Rwanda nchi nyingine ukanda huu itayo kufa Kifo kibaya ni UG
 
Ila huyu CDF wa Uganda huwa ni kichwani ana papai, anapenda vita lakini hajui gharama, amekulia ushuani kudeka kwa wingi lakini ni mlaini tu, usikute hata kwake akikosa blue band basi hata mkate hali... akikosa tomato chips hali.. ni mpumbavu tu.. lakini kwa kupiga domo hajambo...
Atafanya nini na analea Mali ya Baba yake.

WE jiulize, unadhani babab yako angekuwa na kampuni angejali unaakili au huna, au wewe ni mkakamavu au la? Ungekuwa unaele elea humo humo tu kama Kaneirugaba.

Tizama Azam, Angalia Zanzibar, Libya na kwingineko, Ndiyo binadamu tulivyo.

Tukiisha pata tuatafuta walinzi wa mali zetu na tunataka turithishane milele.
 
Kagame kaingia direct na museveni... Yani wameota mapembe now hawajifichi hadi huyo muhoozi anatangaza hadharani kuchukua kipande cha nchi nyingine. Kwanza sijui hii jumuiya ya Afrika Mashariki ina maana gani kama inashindwa kutatua migogoro na kuwajibishana.

Kati nchi wanachama wa EAC unadhani nchi au Raisi gani ana uwezo wa kuwaongoza wenzake kutatua migogoro inayojitokeza?

..Tanzania

..Kenya.

..Uganda.

..Burundi.

..Rwanda.

..Somalia.

..South Sudan.

..DRC.
 
Kati nchi wanachama wa EAC unadhani nchi au Raisi gani ana uwezo wa kuwaongoza wenzake kutatua migogoro inayojitokeza?

..Tanzania

..Kenya.

..Uganda.

..Burundi.

..Rwanda.

..Somalia.

..South Sudan.

..DRC.
Hakuna. Tanzania ilikuwa awamu zilizopita kwa sasa nayo nadhani imepoteza ushawishi wa masuala ya diplomasia.
 
20 February 2025
Bunia, Ituri
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

UPDF YAJIZATITI JIMBO LA ITURI NCHINI DR CONGO
Baada ya kuongeza askari wa UDPF katika divisheni ya Mlimani (Mount Division) kufuatia agizo la mkuu wa majeshi ya Uganda

View: https://m.youtube.com/shorts/GZJLXegW8KU
 
Back
Top Bottom