Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC

Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC

15 February 2025​

Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC​


Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC
CDF Muhoozi Kainerugaba
SAT 15 FEB, 2025 12:57
Na Jacobs Seaman Odongo


Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) ya Uganda UPDF, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametoa angalizo la mwisho kwa vikosi vya jeshi UPDF huko Bunia, mji mkuu wa Jimbo la Ituri la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa tayari kwa operesheni kabambe ya kuikabili ADF .

Akinukuu wa mamlaka ya babake, Rais Museveni, Jenerali Muhoozi alitangaza kuwa Uganda iko tayari kuchukua hatua madhubuti za kijeshi ikiwa matakwa yake hayatatekelezwa.

“Kwa mamlaka ya Jenerali Yoweri Museveni, Amiri Jeshi Mkuu wa UPDF! Natoa saa 24 kamili kwa vikosi vyote vya waasi magaidi waliopo Bunia kusalimisha silaha zao! Wasipofanya hivyo, tutawachukulia kuwa maadui na kuwashambulia vikali ,” Muhoozi alitangaza katika taarifa yake aliyoituma kwenye mtandao wake wa kijamii.

Uganda imekuwa ikifanya operesheni za kijeshi huko Ituri chini ya makubaliano ya pamoja na Kinshasa, yakilenga kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi linaloshutumiwa kwa ugaidi nchini Uganda na DR Congo.

Hata hivyo, taarifa za hivi punde za jenerali Muhoozi zinaonesha nia ya kupanuliwa kwa malengo ya kijeshi ya Uganda, na kuzua maswali kuhusu nia yake ya kweli katika eneo hilo ndani ya Congo .

Kwa kulenga "vikosi vyote vya Bunia," kauli ya mwisho ya Muhoozi inaonekana kujumuisha sio tu vikundi vya waasi kama ADF lakini pia makundi mengine wahusika wanaofanya kazi za kigaidi katika Mkoa wa Ituri.

Chini ya Operesheni ya kijeshi ya Jeshi la Ulinzi la Uganda - UPDF ulioanza kutumika mwaka jana, (CDF) mkuu wa majeshi ya ulinzi ana mamlaka ya kuhamasisha jeshi kufanya operesheni mradi tu akimfahamisha Amiri Jeshi Mkuu.

Makubaliano hayo yamezua uvumi kuhusu nia ya Uganda katika Jimbo lenye utajiri wa madini la Ituri, huku wengi wakitafsiri kuwa ni ishara ya kukua kwa malengo ya kijeshi ya Uganda katika eneo hilo.

Jenerali Muhoozi hapo awali alieleza kuiunga mkono kimaadili kundi la waasi la M23, msimamo wenye utata ambao umeongeza wasiwasi kuhusu ushiriki wa Uganda mashariki mwa DR Congo.

Wiki iliyopita, afisa mmoja mkuu wa kijeshi wa UPDF jeshi la Ulinzi la Uganda alikamatwa kwa amri ya Muhoozi baada ya kudaiwa kupokea Sh1.2bn ili kukusanya kwa siri taarifa za kijasusi kwa niaba ya taifa la Kusini mwa Afrika juu mikakati ya kijeshi ya ndani jeshi la Uganda.

Muhoozi amekuwa akimtaja mara kwa mara Rais wa Rwanda, Paul Kagame, anayeshutumiwa vikali kwa kuunga mkono M23, kuwa ni “mjomba” wake na kuapa kupambana na yeyote atakayepigana naye.

Matamshi haya ya kifamilia yanakinzana na madai ya Uganda ya kutoegemea upande wowote katika mzozo wa DR Congo.

Mwishoni mwa wiki, M23 ilipata mafanikio makubwa katika Mkoa wa Kivu Kusini, na kuteka angalau miji miwili mikuu huko Bukavu, mji mkuu wa jimbo hilo.

Pia waliteka Uwanja wa Ndege wa Kavumu na kuingia Bukavu, na kuashiria ongezeko kubwa katika kampeni yao kuelekea Kinshasa. Kusonga mbele kwa kasi kwa wapiganaji wa M23 kumezidi kuyumbisha eneo hilo na kutilia maanani kauli kuwa kuna uungwaji mkono unaodaiwa kwa kundi hilo kutoka nchi jirani.

Kauli ya mwisho ya Muhoozi ni ya hivi punde zaidi katika mfululizo wa kauli za uchochezi zinazoakisi ushawishi wake katika nyanja ya kijeshi na kisiasa ya Uganda. Kwa kutumia mamlaka ya Rais Museveni, amesisitiza kuwa Uganda iko tayari kutumia nguvu iwapo makundi yenye silaha yatashindwa kutekeleza agizo hilo.

Serikali ya Kongo bado haijajibu rasmi kauli ya Muhoozi. Hata hivyo, Rais Félix Tshisekedi hapo awali ameeleza kuchoshwa na uingiliaji wa kigeni katika masuala ya ndani ya nchi yake.

Jambo la kufurahisha ni kwamba Tshisekedi Ijumaa aligonga vichwa vya habari kwa kutohudhuria mkutano wa kilele wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, ambapo mgogoro wa nchi yake ulikuwa ukijadiliwa.

Badala yake, alichagua safari ya kilomita 6,800 hadi nchini Ujerumani, ambako anahudhuria Mkutano wa Usalama wa Munich. Hapo, alichukua fursa hiyo kumlaumu mtangulizi wake, Joseph Kabila, kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea.

"Mfadhili halisi wa upinzani M23 ambao ulichukua silaha kwa kushirikiana na Rwanda anayejificha: ni Joseph Kabila," alisema. "Ingawa Joseph Kabila hakubali na hachukui jukumu la kujitokeza kwa matendo yake ya kufadhili Movement ya M23"

Tshisekedi pia alikutana na mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Karim Khan wakati wa ziara yake, akisisitiza zaidi juhudi zake za kuufanya mgogoro huo kuwa wa kimataifa na kutafuta uungwaji mkono kutoka nje kwa utawala wake.

Mafanikio ya haraka ya eneo yaliyopatikana na M23 mwishoni mwa juma huko Kivu Kusini yameongeza mvutano huu. Serikali ya Tshisekedi imejitahidi kudumisha udhibiti wa eneo hilo, huku jeshi lake, FARDC, mara nyingi likishindwa na vikosi vya waasi.

Wakati huo huo, vikosi vya Burundi vilitoka nje ya Kivu Kusini Ijumaa jioni huku ripoti kwenye mitandao ya kijamii zikidokeza kwamba FARDC pia walikuwa katika hali mbaya.

Kivuli cha kuibuka tena kwa M23 na uhusiano wa Muhoozi na Kagame unafanya mambo kuwa magumu zaidi, na kuzua maswali kuhusu jukumu la kweli la Uganda katika mgogoro unaoendelea.
Hili kubwa jinga yani.
 
Ila huyu CDF wa Uganda huwa ni kichwani ana papai, anapenda vita lakini hajui gharama, amekulia ushuani kudeka kwa wingi lakini ni mlaini tu, usikute hata kwake akikosa blue band basi hata mkate hali... akikosa tomato chips hali.. ni mpumbavu tu.. lakini kwa kupiga domo hajambo...
Madaraka yamemlevya. Kubwa jinga.
 
Hili kubwa jinga yani.

Hili ni lengo endelevu la kiusalama la Uganda siyo la CDF wa sasa wa UPDF CDF Muhoozi Kainerugaba ... usalama na uchumi vinakwenda pamoja hivyo ni suala nyeti lenye mguso mpana hasa likihusu tishio linalovuka mpaka toka nje ya mipaka ya Uganda



Meja Jenerali Olum Akabidhi kamandi ya Divisheni ya Milima (Mountain Division) ya UPDF kwa Meja Jenerali Otto​

22 Mei 2022
MakabidhianoOperesheni Shujaa
WhatsApp-Image-2024-05-22-at-20.05.22-2338x1169.jpeg

Mkuu wa Jeshi la Nchi Kavu Luteni Jenerali Kayanja Muhanga amempongeza Meja Jenerali Dick Olum kwa kazi yake iliyotukuka katika Operesheni Shujaa ambayo imewawezesha ‘wanainchi’ kuendelea na shughuli zao za kiuchumi na kijamii katika maeneo ambayo vikosi hivyo vinafanya kazi.

“Namshukuru Jenerali Olum kwa kazi nzuri. Ziara ya wajibu ni lazima katika jeshi. Tunamtakia Meja Jenerali Dick mafanikio katika kituo chake kipya cha kazi,” alisema Lt Jenerali Muhanga akishukuru huduma ya Jenerali Olum katika Kitengo cha Milimani na Operesheni Shujaa.

Luteni Jenerali Muhanga ameyasema hayo leo katika hafla ya makabidhiano ya Kamanda wa Divisheni ya Mlimani (Mountain Division) kutoka kwa Meja Jenerali Dick Olum kwa Meja Jenerali Richard Otto, iliyofanyika Fort Portal. Aliuomba uongozi wa eneo la Rwenzori kumkumbatia kiongozi huyo mpya na kufanya kazi naye kudumisha amani.

Katika maelezo yake, Meja Jenerali Olum alimshukuru Amiri Jeshi Mkuu , Jenerali Mstaafu Yoweri Kaguta Museveni, kwa kumkabidhi uongozi na kamandi ya divisheni ya Milimani (Mountain Division) na Operesheni Shujaa.

Kamanda anayekuja, Meja Jenerali Richard Otto alisema atajenga msingi uliowekwa na Luteni Jenerali Muhanga kama Kamanda wa kwanza wa Operesheni Shujaa na mafanikio ya mtangulizi wake, Maj Gen Olum.

Meja Jenerali Dick Olum, ambaye amekuwa Kamanda wa divisheni ya Milimani tangu 2022 alipochukua nafasi ya Luteni Jenerali Kayanja Muhanga - Kamanda wa Kikosi cha Ardhi wa sasa - alikabidhi kamandi kwa Meja Jenerali Richard Otto.

Maj Jenerali Olum na Meja Jenerali Otto, juu ya utumishi wao wa kijeshi, wamehudumu kama Makamanda nchini Somalia, Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, Divisheni ya 3 ya Wanajeshi wa miguu nchini Uganda, na teuzi zingine.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Kamanda wa pili wa divisheni ya (Mountain Division)Milimani Brig Jenerali Stephen Mugerwa, Kamanda wa kitengo cha anga Entebbe Brig Jenerali Kasaijja, Kamanda wa Brigedi Brigedia Jenerali Asaph Mweteise, mwakilishi wa Majeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Lt Kanali Jacob Apunia FARDC na viongozi kutoka wilaya ya Kabarole
 

15 February 2025​

Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC​


Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC
CDF Muhoozi Kainerugaba
SAT 15 FEB, 2025 12:57
Na Jacobs Seaman Odongo


Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) ya Uganda UPDF, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametoa angalizo la mwisho kwa vikosi vya jeshi UPDF huko Bunia, mji mkuu wa Jimbo la Ituri la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa tayari kwa operesheni kabambe ya kuikabili ADF .

Akinukuu wa mamlaka ya babake, Rais Museveni, Jenerali Muhoozi alitangaza kuwa Uganda iko tayari kuchukua hatua madhubuti za kijeshi ikiwa matakwa yake hayatatekelezwa.

“Kwa mamlaka ya Jenerali Yoweri Museveni, Amiri Jeshi Mkuu wa UPDF! Natoa saa 24 kamili kwa vikosi vyote vya waasi magaidi waliopo Bunia kusalimisha silaha zao! Wasipofanya hivyo, tutawachukulia kuwa maadui na kuwashambulia vikali ,” Muhoozi alitangaza katika taarifa yake aliyoituma kwenye mtandao wake wa kijamii.

Uganda imekuwa ikifanya operesheni za kijeshi huko Ituri chini ya makubaliano ya pamoja na Kinshasa, yakilenga kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi linaloshutumiwa kwa ugaidi nchini Uganda na DR Congo.

Hata hivyo, taarifa za hivi punde za jenerali Muhoozi zinaonesha nia ya kupanuliwa kwa malengo ya kijeshi ya Uganda, na kuzua maswali kuhusu nia yake ya kweli katika eneo hilo ndani ya Congo .

Kwa kulenga "vikosi vyote vya Bunia," kauli ya mwisho ya Muhoozi inaonekana kujumuisha sio tu vikundi vya waasi kama ADF lakini pia makundi mengine wahusika wanaofanya kazi za kigaidi katika Mkoa wa Ituri.

Chini ya Operesheni ya kijeshi ya Jeshi la Ulinzi la Uganda - UPDF ulioanza kutumika mwaka jana, (CDF) mkuu wa majeshi ya ulinzi ana mamlaka ya kuhamasisha jeshi kufanya operesheni mradi tu akimfahamisha Amiri Jeshi Mkuu.

Makubaliano hayo yamezua uvumi kuhusu nia ya Uganda katika Jimbo lenye utajiri wa madini la Ituri, huku wengi wakitafsiri kuwa ni ishara ya kukua kwa malengo ya kijeshi ya Uganda katika eneo hilo.

Jenerali Muhoozi hapo awali alieleza kuiunga mkono kimaadili kundi la waasi la M23, msimamo wenye utata ambao umeongeza wasiwasi kuhusu ushiriki wa Uganda mashariki mwa DR Congo.

Wiki iliyopita, afisa mmoja mkuu wa kijeshi wa UPDF jeshi la Ulinzi la Uganda alikamatwa kwa amri ya Muhoozi baada ya kudaiwa kupokea Sh1.2bn ili kukusanya kwa siri taarifa za kijasusi kwa niaba ya taifa la Kusini mwa Afrika juu mikakati ya kijeshi ya ndani jeshi la Uganda.

Muhoozi amekuwa akimtaja mara kwa mara Rais wa Rwanda, Paul Kagame, anayeshutumiwa vikali kwa kuunga mkono M23, kuwa ni “mjomba” wake na kuapa kupambana na yeyote atakayepigana naye.

Matamshi haya ya kifamilia yanakinzana na madai ya Uganda ya kutoegemea upande wowote katika mzozo wa DR Congo.

Mwishoni mwa wiki, M23 ilipata mafanikio makubwa katika Mkoa wa Kivu Kusini, na kuteka angalau miji miwili mikuu huko Bukavu, mji mkuu wa jimbo hilo.

Pia waliteka Uwanja wa Ndege wa Kavumu na kuingia Bukavu, na kuashiria ongezeko kubwa katika kampeni yao kuelekea Kinshasa. Kusonga mbele kwa kasi kwa wapiganaji wa M23 kumezidi kuyumbisha eneo hilo na kutilia maanani kauli kuwa kuna uungwaji mkono unaodaiwa kwa kundi hilo kutoka nchi jirani.

Kauli ya mwisho ya Muhoozi ni ya hivi punde zaidi katika mfululizo wa kauli za uchochezi zinazoakisi ushawishi wake katika nyanja ya kijeshi na kisiasa ya Uganda. Kwa kutumia mamlaka ya Rais Museveni, amesisitiza kuwa Uganda iko tayari kutumia nguvu iwapo makundi yenye silaha yatashindwa kutekeleza agizo hilo.

Serikali ya Kongo bado haijajibu rasmi kauli ya Muhoozi. Hata hivyo, Rais Félix Tshisekedi hapo awali ameeleza kuchoshwa na uingiliaji wa kigeni katika masuala ya ndani ya nchi yake.

Jambo la kufurahisha ni kwamba Tshisekedi Ijumaa aligonga vichwa vya habari kwa kutohudhuria mkutano wa kilele wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, ambapo mgogoro wa nchi yake ulikuwa ukijadiliwa.

Badala yake, alichagua safari ya kilomita 6,800 hadi nchini Ujerumani, ambako anahudhuria Mkutano wa Usalama wa Munich. Hapo, alichukua fursa hiyo kumlaumu mtangulizi wake, Joseph Kabila, kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea.

"Mfadhili halisi wa upinzani M23 ambao ulichukua silaha kwa kushirikiana na Rwanda anayejificha: ni Joseph Kabila," alisema. "Ingawa Joseph Kabila hakubali na hachukui jukumu la kujitokeza kwa matendo yake ya kufadhili Movement ya M23"

Tshisekedi pia alikutana na mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Karim Khan wakati wa ziara yake, akisisitiza zaidi juhudi zake za kuufanya mgogoro huo kuwa wa kimataifa na kutafuta uungwaji mkono kutoka nje kwa utawala wake.

Mafanikio ya haraka ya eneo yaliyopatikana na M23 mwishoni mwa juma huko Kivu Kusini yameongeza mvutano huu. Serikali ya Tshisekedi imejitahidi kudumisha udhibiti wa eneo hilo, huku jeshi lake, FARDC, mara nyingi likishindwa na vikosi vya waasi.

Wakati huo huo, vikosi vya Burundi vilitoka nje ya Kivu Kusini Ijumaa jioni huku ripoti kwenye mitandao ya kijamii zikidokeza kwamba FARDC pia walikuwa katika hali mbaya.

Kivuli cha kuibuka tena kwa M23 na uhusiano wa Muhoozi na Kagame unafanya mambo kuwa magumu zaidi, na kuzua maswali kuhusu jukumu la kweli la Uganda katika mgogoro unaoendelea.
Tanzania Inasubiri Nini kuchukua Jimbo moja huko DRC
 
CDF wetu alinusa kitu aliposema kwa sasa kuna tatizo la watu kutoka nje kupenya kwenye mfumo wetu. Hili limeachwa tu lakini bila kushughulikiwa vizuri lina long term impact. Tuchukue hatua
 
Tanzania Inasubiri Nini kuchukua Jimbo moja huko DRC

Majimbo ya Kivu Kaskazini Goms , Kivu Kusini Bukavu na lile la Katanga ni majimbo yanayomezewa mate na wadau wengi kimataifa, ngumi mkononi ya kivita nje nje.
1739624864351.jpeg

Ni hatari Tanzania kuingia, sisi tumalize SGR reli mpya ili kushiriki kiuchumi kusafirisha madini adimu na kuingiza mizigo ya kwenda Mashariki ya Congo, Rwanda, Burundi inatosha.

Unyakuzi wa jimbo ndani ya Congo tuwaachie wengine, tujikite kuweka vivutio watumie reli, bandari na viwanja vyetu vya ndege, soko la Kariakoo , Soko Jipya la Kimataifa la waChina Ubungo stendi ya mabasi ya mikoani jijini DSM.
 
Ila huyu CDF wa Uganda huwa ni kichwani ana papai, anapenda vita lakini hajui gharama, amekulia ushuani kudeka kwa wingi lakini ni mlaini tu, usikute hata kwake akikosa blue band basi hata mkate hali... akikosa tomato chips hali.. ni mpumbavu tu.. lakini kwa kupiga domo hajambo...
Mtoto wa mama wa kambo huyo hakuna kudeka man
 
Karne hii unavamia mipaka ya nchi nyingine na kuimega halafu majirani wako kimya. Hawa jamaa wameota mapembe wanahitaji kushushiwa kipigo. wakimalizana na hao ipo siku uganda idai kagera rwanda idai kigoma siku ikigundulika kidoma kuna madini au mafuta.
Rawanda na Kigoma ni mbali sana, hakuna mpaka baina ya Rwanda na mkoa wa Kigoma, labda Kagera.
 
UPDF DOCUMENTARY| 30th JANUARY 2020


View: https://m.youtube.com/watch?v=vURTlThkzIA

Toka jeshi la askari "keya" KAR la urithi kutoka kwa mkoloni la kuburuza kwa mabavu raia hadi jeshi la kisasa la Ulinzi la Wananchi wa Uganda UPDF chini ya uongozi imara wa Amiri jeshi mkuu Jenerali mstaafu Yoweri Kaguta Museveni pamoja na maafisa wakuu wa juu kulifanya UPDF kuwa jeshi la nidhamu ya hali ya juu na mfano wa kizalendo
 
Majimbo ya Kivu Kaskazini Goms , Kivu Kusini Bukavu na lile la Katanga ni majimbo yanayomezewa mate na wadau wengi kimataifa, ngumi mkononi ya kivita nje nje.
View attachment 3237047
Ni hatari Tanzania kuingia, sisi tumalize SGR reli mpya ili kushiriki kiuchumi kusafirisha madini adimu na kuingiza mizigo ya kwenda Mashariki ya Congo, Rwanda, Burundi inatosha.

Unyakuzi wa jimbo ndani ya Congo tuwaachie wengine, tujikite kuweka vivutio watumie reli, bandari na viwanja vyetu vya ndege, soko la Kariakoo , Soko Jipya la Kimataifa la waChina Ubungo stendi ya mabasi ya mikoani jijini DSM.
Sisi wenyewe tujue Kinacho wakuta DRC kitatukuta!
DRC wana banyamlenge sisi tuna banyankalinzi!
 
DRC kama haina jeshi la kujilinda na kufurusha waasi na wavamizi bora itekwe yote tu ijulikane rwanda na uganda wameitwa congo. ni aibu kubwa nchi kuwa uwanja wa vita kwa mataifa ya nje kuja kupigana katika ardhi ya nchi yako. Hawa washenzi kina muhozi na mjomba wake wasijaribu hata kuwaza kuifanyia undava nchi fulani jirani yao isiyopenda hata kipande kidogo cha ardhi yake kuchezewa na wahuni wa ndani au nje
 
DRC kama haina jeshi la kujilinda na kufurusha waasi na wavamizi bora itekwe yote tu ijulikane rwanda na uganda wameitwa congo. ni aibu kubwa nchi kuwa uwanja wa vita kwa mataifa ya nje kuja kupigana katika ardhi ya nchi yako. Hawa washenzi kina muhozi na mjomba wake wasijaribu hata kuwaza kuifanyia undava nchi fulani jirani yao isiyopenda hata kipande kidogo cha ardhi yake kuchezewa na wahuni wa ndani au nje
 
Ulipita shule hata kidogo? Rwanda anavukaje Kagera mpaka Kigoma!!!???
Aliye karibu na Kigoma ni Burundi na Congo.Rwanda yupo close na wilaya za Biharamulo,Karagwe(Kyerwa),Muleba sehemu kidogo na Ngara.Uganda yupo close na wilaya ya Misenyi,Karagwe(Kyerwa).

Labda alichanganya mambo kidogo
 

15 February 2025​

Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC​


Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC
CDF Muhoozi Kainerugaba
SAT 15 FEB, 2025 12:57
Na Jacobs Seaman Odongo


Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) ya Uganda UPDF, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametoa angalizo la mwisho kwa vikosi vya jeshi UPDF huko Bunia, mji mkuu wa Jimbo la Ituri la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa tayari kwa operesheni kabambe ya kuikabili ADF .

Akinukuu wa mamlaka ya babake, Rais Museveni, Jenerali Muhoozi alitangaza kuwa Uganda iko tayari kuchukua hatua madhubuti za kijeshi ikiwa matakwa yake hayatatekelezwa.

“Kwa mamlaka ya Jenerali Yoweri Museveni, Amiri Jeshi Mkuu wa UPDF! Natoa saa 24 kamili kwa vikosi vyote vya waasi magaidi waliopo Bunia kusalimisha silaha zao! Wasipofanya hivyo, tutawachukulia kuwa maadui na kuwashambulia vikali ,” Muhoozi alitangaza katika taarifa yake aliyoituma kwenye mtandao wake wa kijamii.

Uganda imekuwa ikifanya operesheni za kijeshi huko Ituri chini ya makubaliano ya pamoja na Kinshasa, yakilenga kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi linaloshutumiwa kwa ugaidi nchini Uganda na DR Congo.

Hata hivyo, taarifa za hivi punde za jenerali Muhoozi zinaonesha nia ya kupanuliwa kwa malengo ya kijeshi ya Uganda, na kuzua maswali kuhusu nia yake ya kweli katika eneo hilo ndani ya Congo .

Kwa kulenga "vikosi vyote vya Bunia," kauli ya mwisho ya Muhoozi inaonekana kujumuisha sio tu vikundi vya waasi kama ADF lakini pia makundi mengine wahusika wanaofanya kazi za kigaidi katika Mkoa wa Ituri.

Chini ya Operesheni ya kijeshi ya Jeshi la Ulinzi la Uganda - UPDF ulioanza kutumika mwaka jana, (CDF) mkuu wa majeshi ya ulinzi ana mamlaka ya kuhamasisha jeshi kufanya operesheni mradi tu akimfahamisha Amiri Jeshi Mkuu.

Makubaliano hayo yamezua uvumi kuhusu nia ya Uganda katika Jimbo lenye utajiri wa madini la Ituri, huku wengi wakitafsiri kuwa ni ishara ya kukua kwa malengo ya kijeshi ya Uganda katika eneo hilo.

Jenerali Muhoozi hapo awali alieleza kuiunga mkono kimaadili kundi la waasi la M23, msimamo wenye utata ambao umeongeza wasiwasi kuhusu ushiriki wa Uganda mashariki mwa DR Congo.

Wiki iliyopita, afisa mmoja mkuu wa kijeshi wa UPDF jeshi la Ulinzi la Uganda alikamatwa kwa amri ya Muhoozi baada ya kudaiwa kupokea Sh1.2bn ili kukusanya kwa siri taarifa za kijasusi kwa niaba ya taifa la Kusini mwa Afrika juu mikakati ya kijeshi ya ndani jeshi la Uganda.

Muhoozi amekuwa akimtaja mara kwa mara Rais wa Rwanda, Paul Kagame, anayeshutumiwa vikali kwa kuunga mkono M23, kuwa ni “mjomba” wake na kuapa kupambana na yeyote atakayepigana naye.

Matamshi haya ya kifamilia yanakinzana na madai ya Uganda ya kutoegemea upande wowote katika mzozo wa DR Congo.

Mwishoni mwa wiki, M23 ilipata mafanikio makubwa katika Mkoa wa Kivu Kusini, na kuteka angalau miji miwili mikuu huko Bukavu, mji mkuu wa jimbo hilo.

Pia waliteka Uwanja wa Ndege wa Kavumu na kuingia Bukavu, na kuashiria ongezeko kubwa katika kampeni yao kuelekea Kinshasa. Kusonga mbele kwa kasi kwa wapiganaji wa M23 kumezidi kuyumbisha eneo hilo na kutilia maanani kauli kuwa kuna uungwaji mkono unaodaiwa kwa kundi hilo kutoka nchi jirani.

Kauli ya mwisho ya Muhoozi ni ya hivi punde zaidi katika mfululizo wa kauli za uchochezi zinazoakisi ushawishi wake katika nyanja ya kijeshi na kisiasa ya Uganda. Kwa kutumia mamlaka ya Rais Museveni, amesisitiza kuwa Uganda iko tayari kutumia nguvu iwapo makundi yenye silaha yatashindwa kutekeleza agizo hilo.

Serikali ya Kongo bado haijajibu rasmi kauli ya Muhoozi. Hata hivyo, Rais Félix Tshisekedi hapo awali ameeleza kuchoshwa na uingiliaji wa kigeni katika masuala ya ndani ya nchi yake.

Jambo la kufurahisha ni kwamba Tshisekedi Ijumaa aligonga vichwa vya habari kwa kutohudhuria mkutano wa kilele wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, ambapo mgogoro wa nchi yake ulikuwa ukijadiliwa.

Badala yake, alichagua safari ya kilomita 6,800 hadi nchini Ujerumani, ambako anahudhuria Mkutano wa Usalama wa Munich. Hapo, alichukua fursa hiyo kumlaumu mtangulizi wake, Joseph Kabila, kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea.

"Mfadhili halisi wa upinzani M23 ambao ulichukua silaha kwa kushirikiana na Rwanda anayejificha: ni Joseph Kabila," alisema. "Ingawa Joseph Kabila hakubali na hachukui jukumu la kujitokeza kwa matendo yake ya kufadhili Movement ya M23"

Tshisekedi pia alikutana na mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Karim Khan wakati wa ziara yake, akisisitiza zaidi juhudi zake za kuufanya mgogoro huo kuwa wa kimataifa na kutafuta uungwaji mkono kutoka nje kwa utawala wake.

Mafanikio ya haraka ya eneo yaliyopatikana na M23 mwishoni mwa juma huko Kivu Kusini yameongeza mvutano huu. Serikali ya Tshisekedi imejitahidi kudumisha udhibiti wa eneo hilo, huku jeshi lake, FARDC, mara nyingi likishindwa na vikosi vya waasi.

Wakati huo huo, vikosi vya Burundi vilitoka nje ya Kivu Kusini Ijumaa jioni huku ripoti kwenye mitandao ya kijamii zikidokeza kwamba FARDC pia walikuwa katika hali mbaya.

Kivuli cha kuibuka tena kwa M23 na uhusiano wa Muhoozi na Kagame unafanya mambo kuwa magumu zaidi, na kuzua maswali kuhusu jukumu la kweli la Uganda katika mgogoro unaoendelea.

Huyu analeta ujinga na baba yake. Kikinuka kila mtu afe kivyake
 
Hakuna Rais Mpumbavu kama Tshisekedi wa Congo DR hivyo ngoja anyooshwe na akina Uganda na Rwanda labda atakaa sawa. Huwezi kuwa Rais wa Taifa lisilo na Jeshi Imara na Taifa / Nchi halafu Usoni unajifanya kuwa Mpenda Amani na chini chini unawaunga mkono Magaidi / Wanamgambo ambao wanatumia Ardhi za Rwanda na Uganda kufanya Upumbavu wao.

Tena GENTAMYCINE nasema kama Rais wa Congo DR anaweza aanze kujiandaa Kukimbia nchi kwani ameshajaa 18 zao.
 
Back
Top Bottom