Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC

Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC

Kuna watu akili zao zinafanya kazi upande mmoja wakikariri vitu hubaki hivo mpaka mwisho wa dahari. Kitendo cha huyo rais wa congo kualika nchi kuja kupigania nchini kwako lilikuwa kosa kubwa na kwa sasa vita ilipofikia madhara yatakuwa makubwa kuliko yaliyowahi kutokea congo. Majirani lazima walinde mipaka yao kabla mambo hayajaharibika. EAC japo aliona hawana msaada but at least hata kama madhara yasinge epukika ila isingekuwa kama ilivyo sasa. Anaacha kuwalipa wanajeshi wa congo anaenda kuwalipa Burundi, SA mpaka wazungu hiyo sio akili hata kidogo.
 
Hivi JWTZ lilishaondoka DRC?
Au ndio mmoja ya hayo majeshi yanayokimbia mapigano?
 
Hawa wasipothibitiwa watazidi kusonga kila mara. Sijui huu ujinga kwanini nchi za Afrika Mashariki zinawalea hawa wapuuzi.
Africa Mashariki? 🤣 🤣 🤣 ... kama nchi mbili za hiyo Africa Mashariki ndio wadau wa uvamizi Congo, huku mwingine akifaidi yatokanayo, unabaki na nani?
NGOJA TUONE MWISHO WAKE!
 
Leo DRC kesho ni sisi, kama hamuoni huu upuuzi unaoendelea na kuushabikia watoto wenu wataona.

Naunga mkono Uganda kushughulkia hao waislamu wa ADF ambao wamekua wakichinja wanavijiji kisa ugaidi wa kiislamu.
 
Wenzetu wapo aggressive kupora ardhi yenye mali huko DRC halafu sisi tunajidai walokole na wasuluhishi. Baada ya miaka 20 vizazi vyetu vitasoma kwenye history kuwa zamani Rwanda ilikuwa ndogo lakini ikapigana vita Congo na kujiongezea eneo, pia Uganda. Na ramani zitakuwa zimebadilishwa na kutambuliwa rasmi na UN.
Wakati huo Congo itakuwa imetulia na eneo lote la nchi za SADC na EAC kutakuwa na amani na maisha yanaendelea. Wenzetu watakuwa na faida kubwa sana tena faida ya kudumu ila sisi tutakuwa vilevile wasuluhishi na kujiita kisiwa cha AMANI ambapo haitakuwa na faida yoyote kwasababu miaka hiyo ya baadae kila nchi itakuwa na utulivu na amani.

Nadhani Kenya ingekuwa inapakana na DRC wasingecheka na yeyote bali nao wangeumwagilia moyo kwa kukwapua ardhi.

DRC ni linchi likubwa sana ambalo halina utulivu, linchi lenye ardhi kubwa sana yenye utajiri mkubwa sana. Hivyo Rwanda na Uganda wanachokifanya leo ni kuitumia furusa ya migogoro ndani ya DRC na uzezeta wa wakongo KABLA HAWAJAJITAMBUA. Vizazi vijavyo vitawaona PK na Kaguta kama viongozi wenye akili sana na MAONO.

Sisemi Tz nayo iingize majeshi kukwapua ardhi, ila ninachowaza ingetumia ushawishi wake kujenga hoja kwenye vyombo vya kikanda hadi UN kushawishi DRC baadhi ya maeneo hasa ya kusini yagawiwe kwa baadhi ya nchi za Tz, Uganda, Rwanda na Burundi .
 
DRC imekuwa kama bara la afrika wakati wa ukoloni kwamba kila mkoloni anajimegea kipande chake atavyo hatimae wakoloni hao wakapigana wenyewe kwa wenyewe wakimgombea afrika hadi walipokaa na kuamua kugawana maeneo ya afrika kimikataba
 
Uganda ina laana haijawahi kutulia, ipo siku arudi upande wa Tanzania na kutangaza ni kwao,
 
Bujumbura, Burundi
Habari za punde kutoka :

Rumonge : Waganda wanne wamekamatwa​

Cabura John, 24, Balijuka Hillary Gahwa, 29, Ajuna Robert, 26, na Kasaija Enock, 23, walikamatwa siku ya Alhamisi 13 February 2025.

Kukamatwa kwao kulifanyika katika wilaya ya Bugarama, katika jimbo la Rumonge, kusini magharibi mwa Burundi. Mamlaka ya mkoa imewataka wasimamizi wa hoteli na nyumba za wageni kuwa waangalifu sana katika kipindi hiki ambacho waasi wa M23 wanaendelea kupanua eneo lao la kukalia katika jimbo la Kivu Kusini, linalopakana na Burundi. INFO SOS Medias Burundi

Raia hao wanne wa Uganda walikamatwa katika hoteli moja iliyoko katikati mwa Magara, mji wa wilaya ya Bugarama.

"Walikamatwa katika operesheni ya kuwasaka wahamiaji wasio na vibali," chanzo cha polisi kiliiambia SOS Médias Burundi.

Kulingana na vyanzo vilivyo karibu na polisi wa mahakama, uchunguzi umeanzishwa ili kubaini sababu za ziara ya Waganda hao katika eneo hili la Burundi. Uganda na Burundi ni sehemu ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwa mujibu wa mkataba wa kanda hii ya kiuchumi ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki EAC , raia wa mojawapo ya nchi hizi hawahitaji visa kutembelea Jimbo la Jumuiya kwa muda wa miezi sita.

Siku ya Ijumaa tarehe 14 February 2025, gavana wa Rumonge, Leonard Niyonsaba alifanya mkutano wa kipekee na wamiliki wa hoteli na nyumba za wageni. Aliwaamuru wamiliki wa nyumba za wageni kufunga kamera za uchunguzi na kuajiri walinzi ili "kudhibiti vyema mienendo ya wateja wao".

Mamlaka za utawala na usalama zinasema kuwa zinahofia usalama wa wakaazi wakati ambapo waasi wa M23 wanaendelea kurejesha maeneo katika jimbo la Kivu Kusini mashariki mwa Kongo, mpakani na Burundi.

Jimbo la Rumonge ni mojawapo ya majimbo ya taifa hilo dogo la Afrika Mashariki ambapo mienendo ya kila siku hufuatiliwa kati ya Burundi na DRC (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), kupitia Ziwa Tanganyika
 
Hapa ndio huwa nathibitisha jinsi akili ya mtu mweusi ilivyo duni , poor Iq no tatizo kubwa aisee , sasa huyu msenge na yule fala mwenzake Kagame anawaza kuvamia na kujikatia kipande cha nchi nyingine
Hawaangalii uharibifu na majanga mengine yanayosababisha kwa raia ,mali na amani , huu mzigo wa wakimbizi unabebwa na Tanzania
Na nina shangaa kwanini Tanzania nchi inayoongozwa na vilaza inashindwa kutake active role na kuzuia huu upumbavu unaoendelea huko Congo ,ukiangalia mzigo mkubwa wa kuhudumia wakimbizi tunabebeshwa sisi ,halafu hawa machoko wa kihima wanavuna mali tu na kuharibu hiyo nchi
 
Hapa DRC hawana makosa ni wanaonewa TU

Hi yote ni Nia ya kuanzishwa bahima Empire.
Stay tuned
Watu wanapigania haki na usalama wao nyie bado mko na garbage za hima empire conspiracy, kaeni kimya tuu maana hamna idea na kinachoendelea Congo
 
Hapa ndio huwa nathibitisha jinsi akili ya mtu mweusi ilivyo duni , poor Iq no tatizo kubwa aisee , sasa huyu msenge na yule fala mwenzake Kagame anawaza kuvamia na kujikatia kipande cha nchi nyingine
Hawaangalii uharibifu na majanga mengine yanayosababisha kwa raia ,mali na amani , huu mzigo wa wakimbizi unabebwa na Tanzania
Na nina shangaa kwanini Tanzania nchi inayoongozwa na vilaza inashindwa kutake active role na kuzuia huu upumbavu unaoendelea huko Congo ,ukiangalia mzigo mkubwa wa kuhudumia wakimbizi tunabebeshwa sisi ,halafu hawa machoko wa kihima wanavuna mali tu na kuharibu hiyo nchi
Wabongo na njaa zenu na ujinga mnajipa umuhimu ambao hamna, vita sio bongofleva, namsifu sana President Samia kwa kukaa mbali na hii vita
 
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametoa angalizo la mwisho kwa vikosi vya jeshi UPDF huko Bunia, mji mkuu wa Jimbo la Ituri la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa tayari kwa operesheni kabambe ya kuikabili AD

18 February 2025
Mashariki ya Congo
Dr Congo

Convoy ndefu ya Vikosi vya UPDF jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda vikiingia mji wa Bunia kufuatia maagizo ya mkuu wa majeshi Muhoozi Kainerugaba D Congo


View: https://m.youtube.com/watch?v=o2WfQyMn-6I

Vikosi vya ziada vimeingia nchini DR Congo kuongeza nguvu ya Divisheni ya Mlimani ( Mountain Division) ya UPDF ambayo tayari ilikuwepo Ituri DR Congo chini ya Operesheni Shujaa iliyokuwa inadhibiti vikosi vya waasi wa Uganda vya ADF ambavyo vimekuwa vimejificha msituni nchini Congo na kufanya uhalifu wa kuvuka mpaka kuishambulia Uganda..

TOKA MAKTABA :
03 September 2023

MAKAMANDA WA UPDF WAKIONESHA OPERATION SHUJAA INAVYOBANA ENEO LA SECTOR 4 LA WAASI WA ADF NDANI YA CONGO

View: https://m.youtube.com/watch?v=I4juQrbwu7U
 
Back
Top Bottom