Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Itakuwa vizuri sana.Muhooz aichukue na Kagera tu maana tumechoka sasa
Wahaya warudi zao Uganda tu
Kagame naye achukue kigoma yake bas
Malawi nao wachukue Kyela yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa vizuri sana.Muhooz aichukue na Kagera tu maana tumechoka sasa
Wahaya warudi zao Uganda tu
Kagame naye achukue kigoma yake bas
Hakuna upuuzi hapo ukiwa mjinga na dhaifu lazima utandikwe na wababe bado zamu ya nchi moja iliyo milikiwa na chama kimoja cha kimabavu huku wananchi wake wakiishi kwenye dhiki.Hawa wasipothibitiwa watazidi kusonga kila mara. Sijui huu ujinga kwanini nchi za Afrika Mashariki zinawalea hawa wapuuzi.
Kigoma, Ngara ni ya warundiMuhooz aichukue na Kagera tu maana tumechoka sasa
Wahaya warudi zao Uganda tu
Kagame naye achukue kigoma yake bas
Urusi kaivamia Ukraine,Israel imevamia Palestine,SyriaKarne hii unavamia mipaka ya nchi nyingine na kuimega halafu majirani wako kimya. Hawa jamaa wameota mapembe wanahitaji kushushiwa kipigo. wakimalizana na hao ipo siku uganda idai kagera rwanda idai kigoma siku ikigundulika kidoma kuna madini au mafuta.
Wanajeshi wamekufa Congo mmefanya nini mpaka sasa ?Tanzania hatuna tamaa lakini ukituletea tamaa tunakupiga mpaka ukimbie nchi yako
Itakuwa vizuriWAchaga watajitangaza ni nchi kamili, pwani itaungana na zenj ili sultan wa oman aje kuichukua pia. Tanzania itabaki mikoa ya kati kati humo
Namaanisha ungekuta sisi ndio tunaletewa chokochoko kwenye ardhi yetuWanajeshi wamekufa Congo mmefanya nini mpaka sasa ?
M23 wapo Bukavu
Mmeshazika ?Namaanisha ungekuta sisi ndio tunaletewa chokochoko kwenye ardhi yetu
Jumuiya ya wehuKagame kaingia direct na museveni... Yani wameota mapembe now hawajifichi hadi huyo muhoozi anatangaza hadharani kuchukua kipande cha nchi nyingine. Kwanza sijui hii jumuiya ya Afrika Mashariki ina maana gani kama inashindwa kutatua migogoro na kuwajibishana.
Tukikutambua tutakupeleka mstari wa mbeleMmeshazika ?
Familia yako au wewe mwenyewe ungekuwa unaishi kwenye hizi nchi unazotaka zipigane ungeandika huu utopolo?Uganda, Rwanda na DRC, hawa waachwe wapigane hadi wawe na akili
Nchi za Afrika Mashariki zinahusika vipi na upuuzi unaoendelea, hao wakata viuno na wacheza mayenu wapiganie nchi yao wenyewe. Hakuna mpumbavu atakayekubali ku-risk maisha kwa ajili yao huku wenyewe wakiwa busy kujichubua na kucheza masebene kwenye vilabu vya pombe.Hawa wasipothibitiwa watazidi kusonga kila mara. Sijui huu ujinga kwanini nchi za Afrika Mashariki zinawalea hawa wapuuzi.
Wewe familia yako inaishi huko, pilipili usiyokula inakuwashaje? Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe.Familia yako au wewe mwenyewe ungekuwa unaishi kwenye hizi nchi unazotaka zipigane ungeandika huu utopolo?
Si mataahira kiasi hicho, huwa wanaangalia faida na yale wanayoweza kuyatimiza with minimum risks.Naomba siku anogewe aseme anasogea mpaka Bukoba na Mwanza.