Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mipango na mikakati yao nje ya uwanja ndio inawalipa, wala sio uwezo wa wachezaji, wakifika mji wa watu wanakwenda kusaidia watoto au yatima, hii sio jambo la bure, mara kutoa damu (wakati majumbani kwao kuna ndugu na jamaa wanaomba kuchangiwa damu wanakaziwa) mara kutoa misaada kwa yatima wakati kuna maskini kibao hawawasaidii.
Uganga huo naamini wazee aa utopolo mtatoboa tu, kila la heri
Uganga huo naamini wazee aa utopolo mtatoboa tu, kila la heri