Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
- Thread starter
- #61
Sasa hayo madini kama hayatachimbwa tena mapema sana kupunguza umasikini unaoutukabili yatakuwa na maana gani kwetu, acha kuwaza kama zombie.Ipo hivi...Target hapa ni madini na sio madin tuu....ni madin yanayo hitajika sana sana Duniani...na haya madini yapo mengi sana Dodoma...Nyerere alipokuwa anakomalia makao makuu yawe Dodoma alikuwa anajua....awamu nying zilipita bila mafanikio ya kuwezesha hilo mpaka pale alipo ingia Mh Magufuli....ikulu ikashushwa pale pale pamoja na makaz ya watumishi wa serikali...huku ardhin pakijaa uraniam....hii ni kukomoa kwamba wakitaka kuchimba basi waanze kubomoa ikulu na makaz ya serikali....kitu ambacho ni mtihan kwao....
Hivi umeshajiuliza kwa nn mkakati wa huu mchele umepelekwa dodoma na si mikoa mingine? Hivi ni kweli mchele utoke marekan...mpaka bongo...utoke dar ufike dodoma bila hata serikali kutojua?? Wazir wa kilimo ametolea ufafanuz ni kwamba alikua hana taarifa..???
Mambo ni mengi....kikubwa tuzidi kumuomba Mungu...hii nchi ni ngumu sana sana...ni miaka mitatu sasa tokea atutoke...Mwenyez Mungu amlaze mahala pema peponi..
Kwa serikali makini yenye akili ikijua mahali kuna madini ya uranium kama unavyodai ilitakiwa kufanya mipango ya kuhama na kuhamisha watu kabisa kuanda eneo hilo kuliandaa vizuri kwa ajili uchimbaji.