Ugomvi na ushoga usiwe kigezo cha watoto kukosa mchele wenye virutubisho, tutaonekana majuha

Ugomvi na ushoga usiwe kigezo cha watoto kukosa mchele wenye virutubisho, tutaonekana majuha

Ipo hivi...Target hapa ni madini na sio madin tuu....ni madin yanayo hitajika sana sana Duniani...na haya madini yapo mengi sana Dodoma...Nyerere alipokuwa anakomalia makao makuu yawe Dodoma alikuwa anajua....awamu nying zilipita bila mafanikio ya kuwezesha hilo mpaka pale alipo ingia Mh Magufuli....ikulu ikashushwa pale pale pamoja na makaz ya watumishi wa serikali...huku ardhin pakijaa uraniam....hii ni kukomoa kwamba wakitaka kuchimba basi waanze kubomoa ikulu na makaz ya serikali....kitu ambacho ni mtihan kwao....

Hivi umeshajiuliza kwa nn mkakati wa huu mchele umepelekwa dodoma na si mikoa mingine? Hivi ni kweli mchele utoke marekan...mpaka bongo...utoke dar ufike dodoma bila hata serikali kutojua?? Wazir wa kilimo ametolea ufafanuz ni kwamba alikua hana taarifa..???
Mambo ni mengi....kikubwa tuzidi kumuomba Mungu...hii nchi ni ngumu sana sana...ni miaka mitatu sasa tokea atutoke...Mwenyez Mungu amlaze mahala pema peponi..
Sasa hayo madini kama hayatachimbwa tena mapema sana kupunguza umasikini unaoutukabili yatakuwa na maana gani kwetu, acha kuwaza kama zombie.

Kwa serikali makini yenye akili ikijua mahali kuna madini ya uranium kama unavyodai ilitakiwa kufanya mipango ya kuhama na kuhamisha watu kabisa kuanda eneo hilo kuliandaa vizuri kwa ajili uchimbaji.
 
Walimchota akili?
Hapana. sio mtu wa asili ya hapa Afrika. Na Ukisoma lugha zake utamwelewa, anajiondoaga ufahamu tu.

Tatizo linakuja pale tunapo mshutumu inaonekana kana yeye ni Mwafrika au Mtanzania wa asili. Kumbe siye. Yeye anachelkelea tunavyorushiana matope.
 
Sasa hayo madini kama hayatachimbwa tena mapema sana kupunguza umasikini unaoutukabili yatakuwa na maana gani kwetu, acha kuwaza kama zombie.

Kwa serikali makini yenye akili ikijua mahali kuna madini ya uranium kama unavyodai ilitakiwa kufanya mipango ya kuhama na kuhamisha watu kabisa kuanda eneo hilo kuliandaa vizuri kwa ajili uchimbaji.
Hyo avatar yako unamdhalilisha sana huyo mwamba...angefufuka na kuona unachokitetea angekulisha kasa ili ufe tu..huna faida
 
Wewe huoni unavyowaza kusaidiwa kama mlemavu wakati una rasilimali zote. Ni lini serikali imetangaza tuna njaa? Wewe ukiwa una gunia kumi zs Mchele ndani jirani akikupa kilo 1 utapokea? Acheni njaa jamani

Uko sahihi, tuwangaalie sana
 
Mchele nimezalisha hapa hakuna soko, kilo sh 800 je kuna haja gani kuletewa mchele na wafanya biashara wa Marekani.

Hivi vimiradi uchwara ndio JPM alikuwa anavilima nyundo
Wapi huko unauza mchele sh 800 tuje kununua??
 
Nilivyoelewa Kwa maelezo ya waziri Bashe, serikali haikuomba Msaada wa chakula Maana chakula kipo ila Kuna NGO iliyohusika. Nadhan serikali imefanya vzr Katika hili. Kama haukua Msaada wa direct kutoka USA govt to tz sidhan Kama kulikua na masharti ya Msaada, kama yapo Basi tujajue na Kama hayapo basi vyakula hvyo vifanyiwe uchunguzi wa kutosha Kama Vina madhara vitupwe na Kama Havina vigawiwe Kwa Watu. Tusiongeze tension kwenye jambo dogo lakini linagusa mashirikiano
 
Kwani hawa wamarekani wamekurupuka tu na kutoa msaada bila ya makubaliano na serikali yetu?
Kwa hiyo nyie serikali iliwaambia kuna njaa kwa hiyo inaenda kuomba msaada wa mchele Amerika. Acheni kuendekeza ulafi. Mna mikono miwili na ardhi yenye rutuba. Fanyeni kazi. Ndio wengine wanaendekeza njaa mpaka wanauza utu wao kama vijana huko Sinza na kinondoni
 
Mchele nimezalisha hapa hakuna soko, kilo sh 800 je kuna haja gani kuletewa mchele na wafanya biashara wa Marekani.

Hivi vimiradi uchwara ndio JPM alikuwa anavilima nyundo
Hawa jamaa ndio wanafanya watu wanamkumbuka Magufuli
 
Kuna tatizo gani ukisaidiwa na wewe ukamsaidia aliyekusaidia baadaye, yani wewe unataka kula tu vya watu halafu hutaki vya kwako kuliwa! Hata walevi Bar wanapozungusha round wanategemea na mwenzao azungushe round. Mahusiano yote ya watu wasio ndugu au mke na mume yame base kwenye reciprocity, hiyo ilipaswa kuwa no brainer kwako na wenzako wenye mawazo mgando.
Wewe mpuuzi una mawazo ya kishenzi sana. Hujui kama hiyo misaada yao ni ya kilaghai?
 
Wewe ulidhani kuna vya bure? Huoni kwamba ndiyo maana tunataka ufafanuzi wa ile saa ya sh milioni mia moja anayovaa binti Kidawa? Kama alipewa, alipewa kwa masharti gani? Na kama alinunua, fedha alipata wapi?
Kama mama yako hana uwezo wa kununua saa ya 100m usidhani ndo hadi Mama Samia hawezi kununua....
 
Hio ni ishara kwamba vijana mnatakiwa muwe mabwabwa au mchele mchele tatizo hamjiongezi😁 mnapokea zawadi tu
 
Wamarekani hawahitaji kuambiwa kujua hilo, unafikiri ubalozi wa Marekani mkubwa hivyo na unaolindwa kwa zana za kisasa kwamba Balozi na wafanyakazi wake wako hapo kutoa visa na kuuza sura tu?? Kuna taarifa Wamarekani wanazo hata viongozi wako wengine wakubwa tu hawanazo
Basi kwa vile umeonekana una akili dhaifu basi wape kandarasi wamerekani waje wailishe familia yako kwa maana kuna lishe nyingine unaweza usizijue. Wape kandarasi tu
 
Marekani haitoagi kitu bure. Nilishawahi kupata dili ya ku-supply vitu kwenye taasisi iliyokuwa inafadhiliwa na USAID nikashangaa moja ya masharti hivyo vitu viwe MADE IN USA na walivyo washenzi wakaelekeza hadi makampuni ya kununulia huko America. Yaani kwa hesabu za haraka ni kuwa hela yote waliyolipa ilikuwa imerudi kwa watu wao kijanja. Huo msaada wapeleke kwenye nchi zenye shida kama DRC.
Hii ni akili ya kawaida tu. Hata hutakiwi kuwa na cheti cha darasa la saba. Tanzania mnatoa msaada kwa Rwanda. Mnawapa pesa wakanunue bidhaa za Kenya na ninyi mna viwanda vinazalisha bidhaa hiyo hiyo ? MTAKUWA HAMNA AKILI. NI WAPUMBAVU MPAKA MWISHO.
 
Wamarekani wana tetea ushoga na mashoga waarabu wanapinga ushoga na kutetea ubasha lakini waisiharamu wanamuona muarabu ni mwema very stupiid people...fulishii
Uarabu na uisilamu unaingilianaje??
Kwa waarabu kutetea ubahasha kunahusianaje na uislamu??
Jinga wewe .
 
Maoni mengi ya wabongo wengi mtandaoni kuhusu msaada wa mchele wenye virutubisho kutoka Marekani ni hofu yao isiyo na mashiko "obsession" au ugomvi na ushoga.

Wengi wanaupinga msaada huo eti kwa sababu unaweza kuwa na viambata vya kuwafanya wanafunzi watakaoula kugeuka kwa mashoga! Yani katika sababu zote hii ndio imetawala na imekuwa msingi wa upingaji wao wa mchele huo!

Jamii inayoweza kuwaza mambo kwa muono huo wa ngono tu katika jambo ambalo halihusiani kabisa hasa katika ulimwengu wa leo ni jamii ambayo imeharibika sana kiakili na inahitaji kupewa msaada wa kila kitu, sio wa mchele tu bali hata wa afya ya akili.

Ni ujuha watoto wasipiwe mchele wa virutubisho kwa "obsession" na conspiracy ushoga tu. Kama hao mabeberu wanaweza kufanya hivyo katika mchele wanashindwa vipi kufanya katika mafuta ya kula, ngano, tambi, apples, vipodozi, chanjo na dawa kutoka nchi zao au makampuni yao?


Pia soma Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID
1. Huo mchele haujatokana na kuzalishwa kwa mfumo wa GMO?

2. Kwenye huo mchele umeongezewa virutubisho vipi?

3. Je TBS wamefanya uchunguzi juu ya huo mchele
 
Unajuwaga billgate foundation huwa inadhamini nini 1 depopulation ndo maana marehemu alipiga moto misaada ya corona
 
Back
Top Bottom