Ugomvi wa Jirani na Mke/Mchepuko wake, Ulivyonigombanisha na Mke wangu

Nipe namba ya mamako nikamyoe vuzi inaonekana siku unazaliwa yalichuna kichwa ubongo ukavuja

Hemu tatua matatizo yanayokukabili huko ulipo Dada, hakuna linaloshindikana, naelewa yanaweza kuwa yanakusibu magumu unatafuta pa kupatia unafuu.
 
Hemu tatua matatizo yanayokukabili huko ulipo Dada, hakuna linaloshindikana, naelewa yanaweza kuwa yanakusibu magumu unatafuta pa kupatia unafuu.
Ww kahaba tafuta hela uache kuingilia magonvi ya waume wa jirani zako
 
 
 
Kaka huyo hata asikuumize kichwa lala ukiamka acha hela ya mboga nenda kazini ukirudi acha hizo story piga mechi yako safi endelea kula maisha .
 
Wanawake wa siku hizi ndivyo walivyo. Unaweza kuta wewe ndiye ulikuwa target hayo yaliyokuwa yanaendelea kule ni maigizo. Ulitakiwa utoke wakakuchukue upotezwe kisha waseme wasiojulikana.

Kwanini ahangaike na kukulazimisha kuingilia mambo ya ndani ya nyumba ya watu. Kwanini asuse kiasi kile mpaka akahama na chumba? Nini kipo nyuma.

Jifanye CID ufanye kauchunguzi kako kwa huyo mkeo anaweza kuwa anataka ajirithishe mali.

Vinginevyo uelewa wake upo chini sana
 
🤣🤣🤣🤣mkuu acha ungese basi!!?
Kitendo cha mke wako kusikiliza /kupiga chabo hilo ni kosa kisheria,Ina maana unamruhusu mke wako kuwa bize na mambo ya watu ...hii inadhiiridha ujakamilika kiutawala.
 
Umegusia point muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…