Ugomvi wa Jirani na Mke/Mchepuko wake, Ulivyonigombanisha na Mke wangu

Ugomvi wa Jirani na Mke/Mchepuko wake, Ulivyonigombanisha na Mke wangu

Mke wako ni mpumbavu tu na mbea. Alitaka uende ili ukapate taarifa rasmi. Hajui madhara ya wewe kwenda ingilia ugomvi wa watu usiowafahamu? Hajui unaweza uawa au jeruhiwa? Hajui unaweza patwa na dhahma hata kusingiziwa mauaji? Aache upumbavu. Leo kama ameendelea na hiyo tabia. Mtandike makofi mpaka alie asubiri kuja ona nani anakuja na kiherehere kuamulizia.
Hakusubutu kwenda mkuu.
 
Mnawatoaga wapi wanawake waropokaji?

Kwenye suala la mahusiano, mwanamke mwenye mdomo usio na breki kwangu hanaga nafasi.

Kusaidia majirani ni kuzuri lkn usiwe peke yako unaweza kuchomwa kisu ukawaacha wao wanakulana

[emoji23][emoji23]
 
Ugomvi wa wapenzi/wanandoa huwa hauingiliwi....vip kama jamaa akatafsiri kuwa wew ndo mchepuko wa mkewe ukala panga?...vipi kama wataumizana au kuuana huoni kwa namna polisi wa bongo walivo utakuwa suspect nambari wani?tuache viherehere vya kujifanya kujifany kujal ya watu kuna kufa kibudu
 
Ugomvi wa wapenzi/wanandoa huwa hauingiliwi....vip kama jamaa akatafsiri kuwa wew ndo mchepuko wa mkewe ukala panga?...vipi kama wataumizana au kuuana huoni kwa namna polisi wa bongo walivo utakuwa suspect nambari wani?tuache viherehere vya kujifanya kujifany kujal ya watu kuna kufa kibudu
Alikuwa ana nishinikiza kimakosa mkuu.
 
Au wife wako analiwa na jirani?,,kwann asononeke kwa ugomvi usio muhusu?au alitaka uende ukajue chochote kuhusu mahusiano yao ili ajue kuwa aendelee kuliwa au akaushe?
 
Au wife wako analiwa na jirani?,,kwann asononeke kwa ugomvi usio muhusu?au alitaka uende ukajue chochote kuhusu mahusiano yao ili ajue kuwa aendelee kuliwa au akaushe?
Analiwaje sasa wakati alitaka nikamsaidie huyo Mwanamke?
 
Mke wako ni muwajibikaji kuliko wewe, what about yeye awe mwanaume na wewe mwanamke? You could do anything, chochote, sio kulala.
Nyie ndo wale wanafki wa mtaani ukisikia mume na mme wanagombana ushafika ujue chanzo na kujifanya kuamulia ili upate stori za kuhadithia kwa wambea wenzako, piga kimya acha watu wafanye yao wakiuana watajua wenyewe.
 
Nyie ndo wale wanafki wa mtaani ukisikia mume na mme wanagombana ushafika ujue chanzo na kujifanya kuamulia ili upate stori za kuhadithia kwa wambea wenzako, piga kimya acha watu wafanye yao wakiuana watajua wenyewe.

Shida yako ni kingereza :

YOU could do anything : maana yake:

Sio kutoka, ungeweza amka uka kaa na mkeo ukamwelewesha huwezi toka, au uka symaphasize akawa sawa.

Shida yako ni Kizungu, huna kosa lingine.
 
Shida yako ni kingereza :

YOU could do anything : maana yake:

Sio kutoka, ungeweza amka uka kaa na mkeo ukamwelewesha huwezi toka, au uka symaphasize akawa sawa.

Shida yako ni Kizungu, huna kosa lingine.
Hicho inachoita kizungu ninakijua kuliko kiswahili, kifupi inaonekana wewe ni mbea na unapelekwa na mwanamke eti kusympathise ili iweje? Unaleta hisia kwa mambo yanayohitaji kutumia akili, hapo alipaswa kumvuta mke kitandani na kumtomba kimoja atoe wenge full stop, jufunze kuzingatia yanayokuhusu mfundishe na mke wako otherwise utagongewa sana.
 
Hicho inachoita kizungu ninakijua kuliko kiswahili, kifupi inaonekana wewe ni mbea na unapelekwa na mwanamke eti kusympathise ili iweje? Unaleta hisia kwa mambo yanayohitaji kutumia akili, hapo alipaswa kumvuta mke kitandani na kumtomba kimoja atoe wenge full stop, jufunze kuzingatia yanayokuhusu mfundishe na mke wako otherwise utagongewa sana.

Uwe na wakati mwema Dada, mimi nimemshauri tu jamaa ange concentrate kumuweka mke wake sawa, mke wake needed to feel ability ya mume wake kuwa responsible.

Kama huo ni umbea, I am proud to be Mbea Dada yangu kipezi.
 
Uwe na wakati mwema Dada, mimi nimemshauri tu jamaa ange concentrate kumuweka mke wake sawa, mke wake needed to feel ability ya mume wake kuwa responsible.

Kama huo ni umbea, I am proud to be Mbea Dada yangu kipezi.
Nipe namba ya mamako nikamyoe vuzi inaonekana siku unazaliwa yalichuna kichwa ubongo ukavuja
 
Back
Top Bottom