Ugomvi wa Jirani na Mke/Mchepuko wake, Ulivyonigombanisha na Mke wangu

Ugomvi wa Jirani na Mke/Mchepuko wake, Ulivyonigombanisha na Mke wangu

Mkuu wewe ungeenda ?? Kuufuata ugomvi usioujua usiku wa manane ni kufuata jinai ya bure...
Sipo kwenye maamuzi ya kwanini hajaenda kuna usahihi wa kutokwenda..
Nipo kwenye mwanamke wake ana jeuri gani ya kumsusia kitanda kwenda kulala kwingine, tayari hapo kuna mushkeli
Lakini pia hizi si habari nzito kwa mwanaume kusimulia simulia na kutaka ushauri.
 
Sikatai, nafikiri sikuwa na haja ya kuingilia kwa wakati ule.
Ugomvi wa Wanandoa unaotumia maneno zaidi hua anashindaga Make. While ugomvi unaotumia zaidi nguvu hua anashindaga Mume, Ceteris Peribus.

labda aliona huruma mwamamke mwenzake anapigwa akataka ukamuokoe.

Tukirudi kwenye tukio, kuamulia ugomvi wa majirani au watu unaowajua ni jambo jema kuzuia wasiumizane. Assume moja awe na hasira aje amchome kisu mwengine mwishowe utajilaumu kua kama ungeenda yasingetokea hayo.

Lakini napo kitendo Cha wife wako kususa chumba sio Cha kiungwana. Sasa anasusa kitanda au chumba ili iweje? Mpaka lini? Kama hukwenda kuamulia ugomvi akihama chumba ndio itageuka kua umeenda?

Sina hakika ndoa (dini) yenu ikoje but ingekua mimi namuacha kwanza ikifika wiki hajarudi chumbani namrudisha kwao na verbal warning
 
Mweleze kuwa hayatuhusu , je ukiuliwa Kisa ushenzi wao Tena washtakiwe , wanasumbua jamii mie zamani nilienda kumshtaki jirani yetu Kisa analewa anakuja kumpiga mkewe mshenzi yule halafu hatulali akafukuzwa hapo
 
Ugomvi wa MKE na mume hauamuliwi wache wayamalize wenyewe.mwaka Jana pale kwenu mamba royal complex jamaa aligombana na mke wake nikaenda kuamulia kistaarabu kilichonikuta ni kuambulia chupa ya bia kichwani ndo mana m ugomvi was mke na mume Huwa c amuliiagi waache wauane mkuu
 
Naijua hyo imewahi nikuta[emoji23][emoji23]

Kuamuli ugomvi wa watu ni kipengele

Ilikuwa hivi......dada na dogo( wakike) wanagombana sehemu tulipo rent mwanaume nilibaki peke yangu .....ikabidi nikimbilie kumdaka sister.....iseeh sitakuja kusahau kama mnavyojua pisi za kinyaki ( kama zinapiga gym[emoji23][emoji23]). Kidume nilirushwa mbali huko na kwenda kupiga kiuno kwenye msingi wa nyumba ...nlikula [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Ugomvi wa MKE na mume hauamuliwi wache wayamalize wenyewe.mwaka Jana pale kwenu mamba royal complex jamaa aligombana na mke wake nikaenda kuamulia kistaarabu kilichonikuta ni kuambulia chupa ya bia kichwani ndo mana m ugomvi was mke na mume Huwa c amuliiagi waache wauane mkuu
Mm nilimtoa jamaa police kapelekwa na mkewe baada ya wk nikakutana nao wameshikana mahaba mazito,,
Toka hapo siingiliagi ugomv kabisa
 
Wakuu, nimesema mke au mchepuko wa jirani kwasababu sina uhakika kama ni mke wake ama vipi.

Sisi tunaishi eneo moja tulivu sana, eneo moja wapo huku Bunju.
Tunakaribia Miaka Miwili tokea tuhamie.

Tuna jirani yetu, amehamia hana hata Mwezi so hatufahamiani zaidi ya kuonana njiani hasa nyakati za Asubuhi.
Jamaa huwa anampeleka mtoto wake kupanda school bus 🚌, huyo mtoto anaweza kuwa class Four au Three.

Ni kijana mpole sana, kwa mwonekano.
Kutoka kwenye Nyumba yake hadi kwetu ni kama mita 10-15.
Na nafikiri kwenye hiyo nyumba anaishi na huyo mtoto tu, au sijui kwasababu nimewahi kuwaona wao tu na ni asubuhi tu, Tunaokaa Nje ya mji tunaamka mapema sana kukimbizana na foleni, na tunarudi mida imeenda.

Sasa juzi kumetokea varangati ambalo limeleta mtafaruku.
Mida ya Saa Sita kasoro hivi usiku, tulianza kusikia kelele za Mwanamke kama vile anadai kitu, kutokea kwa jirani yetu huyo, zilianza chini chini hivi na baadae zikapanda.
Niliweza kusikia maneno machache na Jamaa akawa anaongea kwa hasira na kwa nguvu.

Wakaanza kutukanana, tusi kubwa ni kuitana Malaya, Jamaa anamwambia huyo Mwanamke wewe ni Malaya tu, yeye anamjibu Malaya ni wewe na baba yako, na maneno mengine mengine wakati huo kama vile kuna kitu wanagombania, inawezekana ni funguo.

Huyo Mwanamke anasisitiza jamaa ampe, mwamba kakaza, sasa sijui alikuwa amemshika kwasababu purukushani zilikuwa kubwa, Jamaa anamwambia atampasua, anamjibu huwezi kunifanya kitu ma.l.aya mkubwa wewe!!.

Hapo wife wangu yuko Dirishani anawasikiliza, mimi niko Kitandani sikutaka kuamka kabisa, gafla yule Mwanamke akapiga yowe moja la juu kabisa, kwa nyumba zilivyo sisi ndio tuko nao karibu kuliko nyumba za majirani wengine. Mabishano yao yalikuwa yamedumu kama dakika 15 hivi

Baada ya lile yowe la mwisho, nikasikia mkurumo wa gari, Wife akaniambia huyo jamaa anaondoka amka ukamzuie au ujue amemfanyia nini huyo Mwanamke, nikashtuka kidogo! Ile natafakari kwenye ile nyumba taa za ndani zikazimwa.

Wife akaniambia kuna mtu, huko ndani ila Kelele za yule Mwanamke na Jamaa hazikusikika tena. Wakati wote huo wife alikuwa anatamani niende nikaamulie huo ugomvi ambao sijui lolote.

Sasa gafla naona wife anachukua mto wake (pillow) anasema anaenda kulala chumba kingine, simply kwasababu nilishindwa kutoka na kuanza kunilaumu kwa mambo yasiyokuwa na kichwa wala miguu, ananiambia sina msaada wowote ule.

Wakuu kosa langu hapo ni lipi?
Unawezaje kuingilia ugomvi ambao hujui ulikotokea?
Naambiwa nina roho mbaya, kisa sikwenda na mimi dirishani kujaribu kuangalia kinachoendelea.

Ndoa ina miaka 6 hii ila bado sijamfahamu vizuri huyu wife wangu...Nahisi ana vichembe chembe vya u feminist.
Ulifanya Jambo la msingi Sana kutoenda na hiyo ndiyo busara,,,,Uzuri wa mtu ni kutoingilia yasiyomuhusu,ungekimbilia huwezi jua yangekukuta makubwa
 
Naijua hyo imewahi nikuta[emoji23][emoji23]

Kuamuli ugomvi wa watu ni kipengele

Ilikuwa hivi......dada na dogo( wakike) wanagombana sehemu tulipo rent mwanaume nilibaki peke yangu .....ikabidi nikimbilie kumdaka sister.....iseeh sitakuja kusahau kama mnavyojua pisi za kinyaki ( kama zinapiga gym[emoji23][emoji23]). Kidume nilirushwa mbali huko na kwenda kupiga kiuno kwenye msingi wa nyumba ...nlikula [emoji125][emoji125][emoji125]
🤣🤣🤣 umeua!!
 
Sipo kwenye maamuzi ya kwanini hajaenda kuna usahihi wa kutokwenda..
Nipo kwenye mwanamke wake ana jeuri gani ya kumsusia kitanda kwenda kulala kwingine, tayari hapo kuna mushkeli
Lakini pia hizi si habari nzito kwa mwanaume kusimulia simulia na kutaka ushauri.
Shida iko wapi kwani?
 
Wakuu, nimesema mke au mchepuko wa jirani kwasababu sina uhakika kama ni mke wake ama vipi.

Sisi tunaishi eneo moja tulivu sana, eneo moja wapo huku Bunju.
Tunakaribia Miaka Miwili tokea tuhamie.

Tuna jirani yetu, amehamia hana hata Mwezi so hatufahamiani zaidi ya kuonana njiani hasa nyakati za Asubuhi.
Jamaa huwa anampeleka mtoto wake kupanda school bus 🚌, huyo mtoto anaweza kuwa class Four au Three.

Ni kijana mpole sana, kwa mwonekano.
Kutoka kwenye Nyumba yake hadi kwetu ni kama mita 10-15.
Na nafikiri kwenye hiyo nyumba anaishi na huyo mtoto tu, au sijui kwasababu nimewahi kuwaona wao tu na ni asubuhi tu, Tunaokaa Nje ya mji tunaamka mapema sana kukimbizana na foleni, na tunarudi mida imeenda.

Sasa juzi kumetokea varangati ambalo limeleta mtafaruku.
Mida ya Saa Sita kasoro hivi usiku, tulianza kusikia kelele za Mwanamke kama vile anadai kitu, kutokea kwa jirani yetu huyo, zilianza chini chini hivi na baadae zikapanda.
Niliweza kusikia maneno machache na Jamaa akawa anaongea kwa hasira na kwa nguvu.

Wakaanza kutukanana, tusi kubwa ni kuitana Malaya, Jamaa anamwambia huyo Mwanamke wewe ni Malaya tu, yeye anamjibu Malaya ni wewe na baba yako, na maneno mengine mengine wakati huo kama vile kuna kitu wanagombania, inawezekana ni funguo.

Huyo Mwanamke anasisitiza jamaa ampe, mwamba kakaza, sasa sijui alikuwa amemshika kwasababu purukushani zilikuwa kubwa, Jamaa anamwambia atampasua, anamjibu huwezi kunifanya kitu ma.l.aya mkubwa wewe!!.

Hapo wife wangu yuko Dirishani anawasikiliza, mimi niko Kitandani sikutaka kuamka kabisa, gafla yule Mwanamke akapiga yowe moja la juu kabisa, kwa nyumba zilivyo sisi ndio tuko nao karibu kuliko nyumba za majirani wengine. Mabishano yao yalikuwa yamedumu kama dakika 15 hivi

Baada ya lile yowe la mwisho, nikasikia mkurumo wa gari, Wife akaniambia huyo jamaa anaondoka amka ukamzuie au ujue amemfanyia nini huyo Mwanamke, nikashtuka kidogo! Ile natafakari kwenye ile nyumba taa za ndani zikazimwa.

Wife akaniambia kuna mtu, huko ndani ila Kelele za yule Mwanamke na Jamaa hazikusikika tena. Wakati wote huo wife alikuwa anatamani niende nikaamulie huo ugomvi ambao sijui lolote.

Sasa gafla naona wife anachukua mto wake (pillow) anasema anaenda kulala chumba kingine, simply kwasababu nilishindwa kutoka na kuanza kunilaumu kwa mambo yasiyokuwa na kichwa wala miguu, ananiambia sina msaada wowote ule.

Wakuu kosa langu hapo ni lipi?
Unawezaje kuingilia ugomvi ambao hujui ulikotokea?
Naambiwa nina roho mbaya, kisa sikwenda na mimi dirishani kujaribu kuangalia kinachoendelea.

Ndoa ina miaka 6 hii ila bado sijamfahamu vizuri huyu wife wangu...Nahisi ana vichembe chembe vya u feminist.
Mkeo analiwa na jamaa nini, maana anajali sana. Alitaka nawe uende ukahakikishe kama jamaa ana mtu ndani ya nyumba ili asiendelee tena kuliwa na jamaa baada ya kupata uhakika. Huyo mkeo alitaka nawe uende ukamshike ugoni huyo jamaa ili yeye apate kisingizio cha kumtema, kuondoka kwake chumbani kwako ilikuwa si hasira kwako ila alikuwa ana hasira tu na huyo jamaa kuwa na mchepuko hapo kwake. Wanawake wana ujinga wa hajabu saną.
 
Naijua hyo imewahi nikuta[emoji23][emoji23]

Kuamuli ugomvi wa watu ni kipengele

Ilikuwa hivi......dada na dogo( wakike) wanagombana sehemu tulipo rent mwanaume nilibaki peke yangu .....ikabidi nikimbilie kumdaka sister.....iseeh sitakuja kusahau kama mnavyojua pisi za kinyaki ( kama zinapiga gym[emoji23][emoji23]). Kidume nilirushwa mbali huko na kwenda kupiga kiuno kwenye msingi wa nyumba ...nlikula [emoji125][emoji125][emoji125]
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mno[emoji23][emoji23]
 
Umefanya la maana sana ugomvi wa paa la mwenzako unaanzaje kuingilia. Kwanza unaweza ingilia na hamjuani ukaambulia kuangukiwa na matatizo kibao kusaidia polisi wao waache wauwane kama walikua wanabishana inamaana wanajiweza hongera kwa kuepusha shari na majirani
 
Back
Top Bottom