respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,842
Daaaaaaaaaaaaaah,
Hivi jamani tuwe wakweli, "HIVI UNAANZAJE KUMCHUKIA HUYU JAMAA"?
Hebu angalia namna anavochangamkia fursa, juzi kati alikwa na ziara Ulaya, kizarizari kakutana na Papa Wemba hakuchelewa hata sekunde akamaliza kazi..!!! Neyo alikuja kibahati kwenye tuzo kule South dogo fasta sana akarusha ndoano nayo bila ajizi ikanasa ulimi wa mkali huyo wa freestyle toka USA.
Anakazi kibao ziko store, kina Fari Ipupa wanapigana vikumbo kutafuta miguu ya dogo iliko wafanye jazi dogo anawapangisha foleni..!!!
Aaaaaah, Wakenya sasa tunawakalisha kwenye sector moja hadi nyingine, Msikilize #Rudeboy psquere anachosema hapo juu "Supporting The king of East Africa" RIP The Great, ungekuwepo hays Manyangau tungekuwa tunayasambaratisha mpaka kwenye Filamu.
Kiukweli dogo anajua, tumsapoti. Dogo ni mali yetu, tujivunie. Ushamba wa kuponda na kutukana umepitwa na wakati ijapokuwa kukosoa si dhambi.
Congratulations Mr Chibu Dangote
BACK TANGANYIKA
Hivi jamani tuwe wakweli, "HIVI UNAANZAJE KUMCHUKIA HUYU JAMAA"?
Hebu angalia namna anavochangamkia fursa, juzi kati alikwa na ziara Ulaya, kizarizari kakutana na Papa Wemba hakuchelewa hata sekunde akamaliza kazi..!!! Neyo alikuja kibahati kwenye tuzo kule South dogo fasta sana akarusha ndoano nayo bila ajizi ikanasa ulimi wa mkali huyo wa freestyle toka USA.
Anakazi kibao ziko store, kina Fari Ipupa wanapigana vikumbo kutafuta miguu ya dogo iliko wafanye jazi dogo anawapangisha foleni..!!!
Aaaaaah, Wakenya sasa tunawakalisha kwenye sector moja hadi nyingine, Msikilize #Rudeboy psquere anachosema hapo juu "Supporting The king of East Africa" RIP The Great, ungekuwepo hays Manyangau tungekuwa tunayasambaratisha mpaka kwenye Filamu.
Kiukweli dogo anajua, tumsapoti. Dogo ni mali yetu, tujivunie. Ushamba wa kuponda na kutukana umepitwa na wakati ijapokuwa kukosoa si dhambi.
Congratulations Mr Chibu Dangote
BACK TANGANYIKA