Ugomvi wa P-Square unamvyomnufaisha Diamond Platnumz

Ugomvi wa P-Square unamvyomnufaisha Diamond Platnumz

Mbona ngoma hatuzioni mara p square mara neyo mara swez beat mara jey z lakini hakuna kitu #au kiki za msimu?
unamuongelea swiz beat yupi! huyo aliyepost hivi au? huyu dogo sio level ya kawaida, sio kila kisichowezekana kwako ndio kila mtu anashindwa... na kama haujui kitu basi kaa kimya.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-04-27-18-27-33.png
    Screenshot_2016-04-27-18-27-33.png
    49.7 KB · Views: 35
Mbona ngoma hatuzioni mara p square mara neyo mara swez beat mara jey z lakini hakuna kitu #au kiki za msimu?
dogo ebu acha mchecheto,mambo ya diamond yanakwenda professionally sio kukurupuka tu...we vuta subra tu vitu vitadondoshwa kwa mpangilio maalum na kwa wakati maalum.
 
Mwanaume omba sana upate mwanamke mwenye akili na anaejitambua. ukimpata huyo jua tyr umetoka.

Nyuma ya Diamond yuko mwanamke Zarina Hassani huyo ndo nguzo kuu yake amemsaidia sana hasa kimataifa

Hapo ndipo ule msemo unapotimia. kwamba kwenye mafanikio ya mwanaume jua nyuma yake yuko mwanamke
Huyu Diamond anamloga Ali Kiba nyimbo zake zisipigwe kwenye TV.
Pia kamroga wema afulie kila anapojaribu kupanda mlima wa mafanikio anaangukia pua,Range rover inadaiwa kodi milioni 92_Diamond bring back our wemaaaa,unatembelea nyota yake,unamfuja tuuu
 
Wakati daimond akishoot video na p square.

Ali kiba anajiandaa kufanya kollabo na mr blue na hakimu 5....
 
Daaaaaaaaaaaaaah,

Hivi jamani tuwe wakweli, "HIVI UNAANZAJE KUMCHUKIA HUYU JAMAA"?
Unafikiri chuki zingine zina maana basi!! Mi mwenyewe nilikuwa naichukia Liverpool kisa tu Simba walikuwa wanajiita Liverpool ya Msimbazi... sasa wapi na wapi!!
 
Back
Top Bottom