Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Kwakweli asimpomjibu Wema nitampongeza sana.Yupo kapost pic yake now...watu wanampongeza kwa kukaa kimyaa!
Atakuwa kajijengea heshima hata kama anaandamwa kwa tuhuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli asimpomjibu Wema nitampongeza sana.Yupo kapost pic yake now...watu wanampongeza kwa kukaa kimyaa!
Mambo.....love yuuu[emoji7] [emoji7]Tumesha wazoeya sisi tunataka kazi za sanaa sio wajitambe na kulogana sanaa bongoblmeshuka natunaowategenea wanacho jua kwasasa ni kiki za kipuuziiiii wajitambue niwasanii wanaotazamwa na watu.
Hatimae urafiki wa Wema Sepetu na Munalove wafika ukingoni. Huko Instagram yazuka maneno mengi kuhusu Muna kumloga Tanzanian sweetheart ni pale Munalove alipoiba chupi ya Wema Sepetu na kuipeleka kwa mganga ndipo mganga alipotaka kafara ili kuroga huko kutimie.
Mnakumbuka ile mimba ya Munalove alokua nayo then ikapotea? Sasa basi inasadikika alizaa mtoto njiti akamkabidhi mganga na chupi ya Wema ili atengeneze dawa ya kuchukua nyota ya Wema na kumuweka Wema mkononi mwake pamoja na mama yake Wema maneno hayo ni yametolewa na baadhi ya timu Wema.
Mwenye umbea wa ukweli unaoendana na hili atujuze basi tupate kushiba.
Karibuni
Wema sepetu a.k.a Tz sweetheart ana kazi zifuatazo:Wema hivi ana kazi gani mjini kaajiliwa na kampuni gani
Yaani unamshabikia huyu wema wa sasa kwa sababu ya tukio moja la 2006!!! [emoji15]Mimi ni shabiki wa Wema. Namshabikia tangu alipoupata umiss 2006 so kwa sasa nashabikia hiyo title yake niseme even though sasa hivi sio miss tena but title yake ya Miss Tanzania 2006 haifutiki. Ni sawa na kwenye soka kusema namshabikia Roy Kean or Cantona even though walishastaff soka miaka mingi but ile respect cum ushabiki iko pale pale. I hope I've made some sense[emoji4]
Halaf utuletee na sisi huku wengine hatuingii hukongoja niingie insta kwanza, naona maubuyu ya hapa yananichanganya
tehe tehe tehe tehe kwanini huingi, yani ni kuzuri sana, haya turudi kwenye ubuyu, eti rose kawa shostito wa mama wema, hadi mama hana muda na mwanawe (wema), viwanja hadi usiku wa manane.Halaf utuletee na sisi huku wengine hatuingii huko
tehe tehe tehe tehe kwanini huingi, yani ni kuzuri sana, haya turudi kwenye ubuyu, eti rose kawa shostito wa mama wema, hadi mama hana muda na mwanawe (wema), viwanja hadi usiku wa manane.
Umeuliza swali la msingi,maana pengine MOND tungeshamsahau kitambo.Unajuaje kama Diamond Platnumz angekuwa alipo sasa, ingetokea bado yupo na wema?
namba mbili kutokea chini nimeipenda tehe tehe teheWema sepetu a.k.a Tz sweetheart ana kazi zifuatazo:
- Ana kampuni endless fame ( film industry)
- Ana lipsticks anaziuza nchini lakini vile vile ana branches abroad including German, Canada, Australia n.k.
- Ana kipindi cha In my shoes
-Anamiliki Appl.
- Ana entertain kwenye shughuli za watu kwa kumkodisha eg. Vigodoro, bazuka, baikoko etc.
- Ni jaji wa mashindano kuanzia vitongoji hadi Miss Tz
Nadhani mkuu umejua sasa kazi za Tanzania Sweetheart wetu, tupromote kazi zake jamani![emoji85] [emoji85] [emoji85]
Teh teh ...Wema sio wa spot spot ujue!namba mbili kutokea chini nimeipenda tehe tehe tehe
hata mimi naona hapendi ujinga kabisa tehe tehe tehe teheTeh teh ...Wema sio wa spot spot ujue!
Fafanua mkuu ,hizo lipstik zilihusiana vipi na tour ya ndomo ?Tour ya Diamond na Zari ilipoisha tu na Lipstik zikamaliza biashara yake ulaya[emoji2]
Hilo nalo neno mujarab ,ndomo alishtuliwa kuwa pale sipo na kweli .angeishia kuwa shoga ...Unajuaje kama Diamond Platnumz angekuwa alipo sasa, ingetokea bado yupo na wema?
wema alikuwa anazituma zisafiri na naseeb kwa imani!Fafanua mkuu ,hizo lipstik zilihusiana vipi na tour ya ndomo ?
Nadhani sasa unaweza kunielewa kwanini huwa nasema Wema kichwa hakipo sawa...Hiki anachokifanya Wema ni utoto uliopitiliza.
Kulikuwa na haja gani ya kusema yote hayo?
Hakuna kitu sipendi kama nigombane na mtu halafu aanze kuanika mambo yaliyokuwa ya siri baina yetu.
Binafsi huwa sifanyi huo upumbavu,kwahili nimemdharau sana Wema.
Atakayekubali ushoga nae from now,akapimwe akili.
wapo wanaotaka umaarufu kunukaa!!Hiki anachokifanya Wema ni utoto uliopitiliza.
Kulikuwa na haja gani ya kusema yote hayo?
Hakuna kitu sipendi kama nigombane na mtu halafu aanze kuanika mambo yaliyokuwa ya siri baina yetu.
Binafsi huwa sifanyi huo upumbavu,kwahili nimemdharau sana Wema.
Atakayekubali ushoga nae from now,akapimwe akili.