Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asanteDuuuhhhh kazi kweli kweli kweli.
Tumeumbwa wengi, kama jambo hujafanya na "Mwenyezi Mungu" mwingi wa Rehema ni shahidi wa Hilo. Wasiwasi wako nini.
Kilicho muhimu jichunguze tabia yako. Ni vizuri kujijengea "TASWIRA" nzuri kwenye jamii ili hata ukisingiziwa jambo basi jamii ikutetee na si wewe ujitetee.
Ha ha ha Hawa vijana hawaaminiki aisee.Mhh! Mleta Uzi nina wasiwasi , kweli hujamkaanga kweeli?
Tuma wazee wakaongee na huyo mmewe ili yasikukute mabaya ukapoteza future yako bure.nilikua saloon mkuu shahidi zangu niliokua nikiwasuka ila inasemekana kua alikomaa na kutaja mimi
Kwani hajui kwake ? AmfuateMzee unamtafutaje hapo?
Huu ndulio ushauri pekeeduuuh pole sana mkuu isije ikawa ni mbinu za kibiashara wakufukuzishe mtaa kijanja,INAONEKANA UNAPATA KIPATO KIZURI AU HUYO DADA ALIKUWA ANAKUPENDA TOKA KITAMBO AKAONA BORA AKUTAJE WEWE HATA KIKISANUKA AHAMIE KWAKO.DAAAH ILA BINAMU WABAYA AISEE SASA AKIKUFANYIA KITU MBAYA NA MZIGO HUJALA ITAKUWAJE.
THEN NENDA KAREPORT KITUO CHOCHOTE CHA POLICE WAKUPE ULINZI LIKITOKEA LA KUTOKEA
Mnaposema watu wajiajiri huwa mnataka wajiajiri vipi?inakuwaje mwanaume una endesha saloon ya ke
Mume wa mwanamke anaweza kumdhuru,asiendeKwani hajui kwake ? Amfuate
basi awe mpole tuMume wa mwanamke anaweza kumdhuru,asiende
Acha kutuzuga mtu anaanzaje kukusingizia.Habari zenu wana JF,
Kuna jambo ambalo limenitokea jana yaani hadi sasa nina hofu ata chakula hakiliki, ninahitaji ushauri kwenu makaka zangu na madada pia.
Kuna jamaa mmoja anaishi na mke na watoto inavyosemekana juzi usiku saa2 kuamkia jana alitoka kazini hakumkuta mke wake alielekezwa na watoto alikoelekea mama yao, akafuatilia akamkuta kwenye boma la nyumba wakiwa wanafanya mapenzi kwa kuwa ilikua giza hakumjua ni nani aliekuwa na mke wake jamaa katimua mbio.
Akamkamata mke akampiga akimuuliza ulikua na nani baada ya kipigo kuzidi akataja "ni yule mwenye saloon ya kike".
Ndugu zangu nimeumia sana nimetajwa mimi mwanamke simjui hanijui, hajawahi hata kuingia saloon kwangu.
Kiufupi mimi ni kijana miaka 21 nina saloon ya kike kiukweli mama mzima kanifanyia kitendo cha kikatili. Mume wake jana alipelekwa polisi, kinachoniuma kila mtu kitaa ananiambia kuwa mimi walinikosakosa ugoni nikakimbia.
Sina raha kwa kweli nipeni msaada wa mawazo yenu na ushauri nina maswali mengi kichwani kuna nini kati ya mimi na yaye kitaa kizima ameamua kunipa beef na mme wake nilishamkosea nini?
Nashindwa nimalizie wapi asanteni karibu kwa mawazo yenu.