itabagumba
Member
- Jan 24, 2016
- 23
- 7
Kwann unakuwa mwoga? Au haukufikia kama jamaa uliishia kumnawa juu juu kwahiyo kaamua kukudondoshea jumba bovu
Defence of Alibi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann unakuwa mwoga? Au haukufikia kama jamaa uliishia kumnawa juu juu kwahiyo kaamua kukudondoshea jumba bovu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]mgonge huyooi
inakuwaje mwanaume una endesha saloon ya ke
Tatizo liko hapoinakuwaje mwanaume una endesha saloon ya ke
We sema ynapaka rangi kucha za wadada.nyie ni nyokko sana bora alivyokutaja washenzi nyie huwa mnatomasa sana miguu ya wake zetuHabari zenu wana JF,
Kuna jambo ambalo limenitokea jana yaani hadi sasa nina hofu ata chakula hakiliki, ninahitaji ushauri kwenu makaka zangu na madada pia.
Kuna jamaa mmoja anaishi na mke na watoto inavyosemekana juzi usiku saa2 kuamkia jana alitoka kazini hakumkuta mke wake alielekezwa na watoto alikoelekea mama yao, akafuatilia akamkuta kwenye boma la nyumba wakiwa wanafanya mapenzi kwa kuwa ilikua giza hakumjua ni nani aliekuwa na mke wake jamaa katimua mbio.
Akamkamata mke akampiga akimuuliza ulikua na nani baada ya kipigo kuzidi akataja "ni yule mwenye saloon ya kike".
Ndugu zangu nimeumia sana nimetajwa mimi mwanamke simjui hanijui, hajawahi hata kuingia saloon kwangu.
Kiufupi mimi ni kijana miaka 21 nina saloon ya kike kiukweli mama mzima kanifanyia kitendo cha kikatili. Mume wake jana alipelekwa polisi, kinachoniuma kila mtu kitaa ananiambia kuwa mimi walinikosakosa ugoni nikakimbia.
Sina raha kwa kweli nipeni msaada wa mawazo yenu na ushauri nina maswali mengi kichwani kuna nini kati ya mimi na yaye kitaa kizima ameamua kunipa beef na mme wake nilishamkosea nini?
Nashindwa nimalizie wapi asanteni karibu kwa mawazo yenu.