Ugoni bila kutenda nimeumia sana

Sidhan kama alikusingizia tu from no where jamani hata kama hukuwa ww ulishawah kula mzigo huko nyuma usituchoshe na ww ulishakula mzigo ndio umekamatwa kwa niaba ya wenzio si mbaya maana na ww ni mhusika[emoji3][emoji3]
 
Kama unataka kumaliza bifu hilo ni afadhali lipeleke polisi ili huyo aitwe omba na mumewe awepo athibitishe kama kweli ni wewe kama alivyotamka yeye
 
We sema ynapaka rangi kucha za wadada.nyie ni nyokko sana bora alivyokutaja washenzi nyie huwa mnatomasa sana miguu ya wake zetu
 
May be mitandao kwa kufuatlia simu ya huyo mama anaweza kupatikana aliyekuwa na chat naye kw wakati huo. huo ni ushauri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…