Ugonjwa wa figo umesababisha nishindwe kula kimasihara. Tunzeni figo zenu

Ugonjwa wa figo umesababisha nishindwe kula kimasihara. Tunzeni figo zenu

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
442
Reaction score
1,655
Daaah! Ama kweli hujafa hujaumbika

Nilikutwa na shida ya figo na nikapata taarifa kwamba itafika kipindi mzuka wa kula papuchi utaisha.

Jana nimepata demu pisi kali nakwenda nae ghetto mgejege umegoma kutoa ushirikiano nikajua tayari CKD ishafanya yake

Jamani tunzeni figo zenu maana athari moja wapo ya huu ugonjwa ni kushindwa kula mzigo ipasavyo. Unachomeka vizuri unashangaa imelalamo ndani huko huko unabaki kuaibika tu.
Enzi zangu nilikua mtu wa show kali sana ila kwa sasa aaaah! Ngoja niwe single tu.
 
Daaah! Ama kweli hujafa hujaumbika

Nilikutwa na shida ya figo na nikapata taarifa kwamba itafika kipindi mzuka wa kula papuchi utaisha.

Jana nimepata demu pisi kali nakwenda nae ghetto mgejege umegoma kutoa ushirikiano nikajua tayari CKD ishafanya yake

Jamani tunzeni figo zenu maana athari moja wapo ya huu ugonjwa ni kushindwa kula mzigo ipasavyo. Unachomeka vizuri unashangaa imelalamo ndani huko huko unabaki kuaibika tu.
Enzi zangu nilikua mtu wa show kali sana ila kwa sasa aaaah! Ngoja niwe single tu.
UPUMBAVU TU UMEANDIKA
 
Daaah! Ama kweli hujafa hujaumbika

Nilikutwa na shida ya figo na nikapata taarifa kwamba itafika kipindi mzuka wa kula papuchi utaisha.

Jana nimepata demu pisi kali nakwenda nae ghetto mgejege umegoma kutoa ushirikiano nikajua tayari CKD ishafanya yake

Jamani tunzeni figo zenu maana athari moja wapo ya huu ugonjwa ni kushindwa kula mzigo ipasavyo. Unachomeka vizuri unashangaa imelalamo ndani huko huko unabaki kuaibika tu.
Enzi zangu nilikua mtu wa show kali sana ila kwa sasa aaaah! Ngoja niwe single tu.
Pole sana
 
Back
Top Bottom