Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

pole sana
nakushauri siku zote uwe na paracetamol za kushusha homa za kuweka matakoni pindi uonapo mwanao ana joto kali
pia jenga tabia ya kumpima homa uwe na thermometer nyumbani mwako,
mtoto akilalamika anaumwa usipuuze hata kidogo.
housegirl mwelekeze pia awe makini akimwona ana joto hachezi ampe paracetal ya kunywa.
 
Pole sana mkuu. Hiyo ni degedege (convulsions or fits) due to high fever. Anything which cause high fever in children can cause convulsions. It can be malaria (commonest cause in TZ) or any other disease which can cause high fever.

Convulsion is one of the danger sign. Whenever it occurs...immediate take your child to the hospital!
 
pole sana
nakushauri siku zote uwe na paracetamol za kushusha homa za kuweka matakoni pindi uonapo mwanao ana joto kali
pia jenga tabia ya kumpima homa uwe na thermometer nyumbani mwako,
mtoto akilalamika anaumwa usipuuze hata kidogo.
housegirl mwelekeze pia awe makini akimwona ana joto hachezi ampe paracetal ya kunywa.

Asante Kiongozi,Nitazingatia ushauri wako....
 
Pole sana mkuu. Hiyo ni degedege (convulsions or fits) due to high fever. Anything which cause high fever in children can cause convulsions. It can be malaria (commonest cause in TZ) or any other disease which can cause high fever.

Convulsion is one of the danger sign. Whenever it occurs...immediate take your child to the hospital!

Asante Mkuu!
 
pole sana, hapa duniani kuna mambo mengi sana yanatokea na kuwapata watu, hata hivyo usiogope kwani mungu everythings are pposible, mpeleke kwenye maombi, nami naamini kwa jina la YESU mwanao atapona kabisa. mungu akutie nguvu katika maamzi hayo niliyo kwambia nawe utauona mkono wa Bwana.
 
Pole sana mkuu Domy.

Ndiyo ukubwa huo.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Domy.
Kulea mtoto ni ishu kwa kweli.

Ilishawahi kunitokea hiyo maneno miaka kadhaa iliyopita, tena usiku wa manane. Niliwapigia jamaa wa ambulance wakaanza story nyiiiiingi. Mzee ilibidi nitembee umbali kadhaa usiku huo hadi zilipo taxi. Ilikuwa bahati tu nikaikuta moja ikaniwahisha hospitali.

Ni rahisi tu kuzungumza hapa, lakini ikikutokea ni balaa!
 
Last edited by a moderator:
Asante Mkuu Lakini tumepima malaria hana kapewa dozi ya kunywa na Sindano ambazo ni anti-malaria.

Wasiishie kwenye malaria,homa kali ina sababu nyingi!!!!

Pole sana, najua unachosema na.ulivyojisikia!!!!!

Sasa sio akipona unaza kurudi saa saba za usiku,uwahi nyumbani kila siku kujua wanao wanashindaje na.maisha yao kiujumla!!!!
 
E bwana wee. Sipati picha.

Pole sana, ndo kulea. Lazima uwe brave.
Wtt wanatupelekesha sihaba mana Smtimes utaomba uumwe wewe mara elfu lkn mtt awe mzima.
 
pole sana, hapa duniani kuna mambo mengi sana yanatokea na kuwapata watu, hata hivyo usiogope kwani mungu everythings are pposible, mpeleke kwenye maombi, nami naamini kwa jina la YESU mwanao atapona kabisa. mungu akutie nguvu katika maamzi hayo niliyo kwambia nawe utauona mkono wa Bwana.

Asante sana Mkuu kwa ushauri huo!
 
Pole sana Domy.
Kulea mtoto ni ishu kwa kweli.

Ilishawahi kunitokea hiyo maneno miaka kadhaa iliyopita, tena usiku wa manane. Niliwapigia jamaa wa ambulance wakaanza story nyiiiiingi. Mzee ilibidi nitembee umbali kadhaa usiku huo hadi zilipo taxi. Ilikuwa bahati tu nikaikuta moja ikaniwahisha hospitali.

Ni rahisi tu kuzungumza hapa, lakini ikikutokea ni balaa!

Asante sana Mkuu..! Hali hiyo inatisha sana.
 
Last edited by a moderator:
E bwana wee. Sipati picha.

Pole sana, ndo kulea. Lazima uwe brave.
Wtt wanatupelekesha sihaba mana Smtimes utaomba uumwe wewe mara elfu lkn mtt awe mzima.

Iache tu hiyo makitu!!!!

Yaani ukipiga simu ukaambiwa mtoto ana joto, jasho kwapani, njaa sijui shibe hujielewi,hata ukiulizwa jinsia unaweza kukosea!!!!!

With watoto God have mercy on us!!!
 
Wasiishie kwenye malaria,homa kali ina sababu nyingi!!!!

Pole sana, najua unachosema na.ulivyojisikia!!!!!

Sasa sio akipona unaza kurudi saa saba za usiku,uwahi nyumbani kila siku kujua wanao wanashindaje na.maisha yao kiujumla!!!!

Asante Mkuu....
 
Iache tu hiyo makitu!!!!

Yaani ukipiga simu ukaambiwa mtoto ana joto, jasho kwapani, njaa sijui shibe hujielewi,hata ukiulizwa jinsia unaweza kukosea!!!!!

With watoto God have mercy on us!!!

Mimi nilivaa viatu halafu soksi nikaweka mfukoni... Kilichonichanganya zaidi mama yake alikuwa analia as if mtoto amefariki.Sitaki kabisa hiyo hali inarudie.....
 
Pole sana Domy, siku nyingine ukiona mtoto anapata joto usichelewe kumpa huduma ya kwanza na kumuwahisha hospitalini kwa matibabu,
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Domy, siku nyingine ukiona mtoto anapata joto usichelewe kumpa huduma ya kwanza na kumuwahisha hospitalini kwa matibabu,

Asante sana!
 
Last edited by a moderator:
pole sana domy. ila jitahidi sana kumfuatilia mtoto kwa karibu. ukiona badiliko kidogo waone wataalam. watoto wanabadilika kama vinyonga take care sana.
 
Back
Top Bottom