Ugonjwa wa kununa na kususa kwa wanawake...


kuna watu ukijifanya kuwabembeleza ndio 'unawapandisha bei'
baada ya mda utakuwa huwamudu ...lol
 
Mkwe lazma umekula pilau leo, umejibu kwa busara haswaa. Wanawake majority ni wanyenyekevu, ila ukimuanza anamalizia na unaisoma namba,lol
mi najua wanawake ni wanyenyekevu na wapesi kuomba msamaha hata kwa makosa ambayo sio yao.
 
Hahahaha! Angalia isije ikala kwako, wanakudanganya unapandisha vioo, na hivi umeweka tinted! Nabebwa na gx 1,000 mbele yako na hauonwi. Tusilaumiane,lol
najua umeninunia
na hii thread ya kwako...
so far ushauri wa TUKO na NDUU/MANYA ndo nimeupenda lol
 
Hahahaha! Angalia isije ikala kwako, wanakudanganya unapandisha vioo, na hivi umeweka tinted! Nabebwa na gx 1,000 mbele yako na hauonwi. Tusilaumiane,lol

na nikikuona ndo tusilaumiane kabisaa lol
 
Mkwe lazma umekula pilau leo, umejibu kwa busara haswaa. Wanawake majority ni wanyenyekevu, ila ukimuanza anamalizia na unaisoma namba,lol

hehehehehe! Mkwe ungejua nimepga pasi ndefu hata usingesema. Hapa napiga mihayo. Halafu son wako nishamnunia, akija mwambie tusijuane.
 
Lol! Hebu njoo nikuchinjie mbuzi kwanza supu ikuchangamshe, ama unataka kitimoto?
Na hujui wadada wangapi humu jf wanamfukuzia mwanangu, ukisema suuuu imekula kwako! Kiti cha basi hicho, badala ya kufunga seat belt unashuka shuka kununua mayai ya kuchemsha?
hehehehehe! Mkwe ungejua nimepga pasi ndefu hata usingesema. Hapa napiga mihayo. Halafu son wako nishamnunia, akija mwambie tusijuane.
 
Utakuja na thread ingine sasa hivi! Lol!
Mie nikimnunia mtu ujue yuko moyoni mwangu, kama hayuko moyoni hata aende haja kubwa mbele yangu, nasogea hatua moja mbele yake naendelea kula muhindi wangu wa kuchoma,lol
na nikikuona ndo tusilaumiane kabisaa lol
 
Utakuja na thread ingine sasa hivi! Lol!
Mie nikimnunia mtu ujue yuko moyoni mwangu, kama hayuko moyoni hata aende haja kubwa mbele yangu, nasogea hatua moja mbele yake naendelea kula muhindi wangu wa kuchoma,lol

kwa hiyo ndo unatangaza niko moyoni mwako sio?
sidhani kama huu ujumbe wa kwangu...lol
unawaowahusu wameuona ..lol
sasa bado umenuna au mpaka nikubembeleze hapa hapa?lol
 
kuna watu ukijifanya kuwabembeleza ndio 'unawapandisha bei'
baada ya mda utakuwa huwamudu ...lol

Basi huyo kashindikana, na amejaa unafiki na si mapenzi ya kweli.
Maombi yanahtajika, au nenda kwa BABA PAROKO.
 

khaaa! Kitimoto haramu. Nishachoka na maumivu ya mwanao. Ngoja niwapishe hao wanaomfukuzia.
 
Sasa wewe unataka kila siku uambiwe the same thing? Seriously, mwanamke akikununia ujue bado anajali. Hujawahi ona wanandoa mume anarudi after 2 days na haulizwi, hagombwi wala nini? Na anapewa maji ya kuoga, moyoni mwenziwe anasema ' huyu kenge karudi ananiharibia ratiba zangu'! Kalaghabaho!
s
asa atakuomba vipi msamaha na wewe umenuna na hutaki kusema
tatizo ni nini?
 

endelea..nataka hasira zako ziishe ndo nianze kukubembeleza....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…