Ugonjwa wa kununa na kususa kwa wanawake...

Ugonjwa wa kununa na kususa kwa wanawake...

Hehehe, huamini sasa? Ila unahitaji tuition ya kubembeleza kwa Rose1980 na Lizzy. La sivyo ujue humu moyoni mwangu umebakia miguu tu, magoti to the head ushatolewa nje. Kazi ni kwako!
kwa hiyo ndo unatangaza niko moyoni mwako sio?
sidhani kama huu ujumbe wa kwangu...lol
unawaowahusu wameuona ..lol
sasa bado umenuna au mpaka nikubembeleze hapa hapa?lol
 
Hehehe, huamini sasa? Ila unahitaji tuition ya kubembeleza kwa Rose1980 na Lizzy. La sivyo ujue humu moyoni mwangu umebakia miguu tu, magoti to the head ushatolewa nje. Kazi ni kwako!

angalau miguu ipo
itakuwa rahisi kujirudisha tena....lol...
 
No son of mine is a heartbreaker baby gal! Manake nimemlea kwa upendo, na hajui kuumiza. Mwanangu anajua kubembeleza kama baba yake,lol!Hebu mje home leo kwa dinner tuyamalize,lol! Ntapata wapi mkwe wa kumuazima kope mie?! Ngoja nipike mwenyeewe.
khaaa! Kitimoto haramu. Nishachoka na maumivu ya mwanao. Ngoja niwapishe hao wanaomfukuzia.
 
Huyu mtutu anashikiwa kila siku, anajishaua tu hapa vile uko nae. Mdanganye mwenzio, ila mwisho wa siku UNAKULA ULIPOPELEKA MBOGA, lol
Ukijirudisha king'ast atakushikia huo mtutu wake.si unajua yeye ndo mwanamke wa kwanza jf kushika mashine?
 
No son of mine is a heartbreaker baby gal! Manake nimemlea kwa upendo, na hajui kuumiza. Mwanangu anajua kubembeleza kama baba yake,lol!Hebu mje home leo kwa dinner tuyamalize,lol! Ntapata wapi mkwe wa kumuazima kope mie?! Ngoja nipike mwenyeewe.

last born wako ni heart breaker. Ngoja nije tutayaongea huko.
 
Sasa hapa you are breaking my heart mkwe! I'm sure tutayamaliza. Inabidi na baba mkwe awepo sasa, atubembeleze mie na wewe kwa pamoja manake NANUNA! Hata sipiki tena,lol
last born wako ni heart breaker. Ngoja nije tutayaongea huko.
 
ishu sio kujishusha
ishu mtu kanuna hujui kanuna kwa nini
na hataki kuzungumza
na huyo mtu sio mtoto mdogo

Si umuulize?
Ananuna ili ufanye kazi ya ziada kidogo (amemiss attention za wakati unamtongoza)
Sometime anahitaji space ili aweze kureflect some issues
 
Sasa hapa you are breaking my heart mkwe! I'm sure tutayamaliza. Inabidi na baba mkwe awepo sasa, atubembeleze mie na wewe kwa pamoja manake NANUNA! Hata sipiki tena,lol

hahahahaha! Ulivyoniambia unapika nilitaka kukuuliza kama kucha umebandua na carolight hupaki tena. Najua mkwe wangu unapikia kuni, angalia usibabuke.
 
Back
Top Bottom