Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Hahaha! Moskwito banaa! Eti 'jitu halitaki kubembelezeka'! Sasa wewe unajiaminisha ushabembeleza wakati mwenzio bado hajakolea mabembelezo. Spice things up sugar boy!
Nyie wanaume bana!
On a serious note The Boss, lack of communication ni source ya matatizo yote ya mahusiano! Ila msiombe kukutana na mwanaume anaenuna, aisee! Hadi aibu!
halafu wewe, nimekununia mimi sasa!...:A S embarassed:
Hahahaha. . . eti jitu.
Mbaya wewe Mbu, ila nadhani Boss atakua amefurahi sasa.
...wakati naandika post hiyo ulikuwa mawazoni mwangu,
imagine ulivyo mwelewa hivyo wa maisha...halafu ati siku unaamua tu kununa
'bila sababu!'...lol...