Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kuna huu ugonjwa wa manjano kwa watoto wachanga ni hatari sana ila nashangaa huwa wamama hawafundishwi chochote Matokeo yake wamama wengi wanapoteza watoto kizembe.
Wakati najifungua hosp pale asilimia 90 watoto wote walipata manjano. Mimi mwenyewe niliponea chupuchupu mloganzila hospitali.
Namshukuru pro jamani sio kwa huduma zile.
Naomba elimu itolewe kwa wamama toka wakiwa wajawazito.
Mfano kumbe ukila miwa ukiwa mjamzito mtoto hapati manjano. Sasa Mimi niliambiwa ukila miwa mtoto anazaliwa kakatika katika kama jongoo.
Nikiwa mjamzito nilikuwa nakimbia miwa vibaya mno
Hata kupona kwa mtoto niseme kweli pamoja na matibabu ya hospnilikunywa Sana juice ya miwa akawa ananyonyea miwa.huko kwenye maziwa.
Nimeongea hili baada ya kwenda CCBRT na kuona watoto ambao wameathirika na manjano.bahati mbaya manjano haikupata dawa wamekuwa walemavu
Wakati najifungua hosp pale asilimia 90 watoto wote walipata manjano. Mimi mwenyewe niliponea chupuchupu mloganzila hospitali.
Namshukuru pro jamani sio kwa huduma zile.
Naomba elimu itolewe kwa wamama toka wakiwa wajawazito.
Mfano kumbe ukila miwa ukiwa mjamzito mtoto hapati manjano. Sasa Mimi niliambiwa ukila miwa mtoto anazaliwa kakatika katika kama jongoo.
Nikiwa mjamzito nilikuwa nakimbia miwa vibaya mno
Hata kupona kwa mtoto niseme kweli pamoja na matibabu ya hospnilikunywa Sana juice ya miwa akawa ananyonyea miwa.huko kwenye maziwa.
Nimeongea hili baada ya kwenda CCBRT na kuona watoto ambao wameathirika na manjano.bahati mbaya manjano haikupata dawa wamekuwa walemavu