Ugonjwa wa manjano kwa watoto wachanga elimu zaidi itolewe kwa jamii

Ugonjwa wa manjano kwa watoto wachanga elimu zaidi itolewe kwa jamii

Mimi pia mtoto wangu wa mwisjo alipitua hii changamoto nashukuru Mungu tulivuka salama kwenye hili.
Nachoona ni mtoto kukosa maziwa kwa wakati mimi huwa nakaa mpaks siku 2 ndo maziwa yanatoka. Waruhusu maziwa mbadala kwa wale wenye changamoto ya kukosa maziwa mara baada ya kujifungua
ulijaribu kutumia mbegu za maboga..??
 
Mimi pia mtoto wangu wa mwisjo alipitua hii changamoto nashukuru Mungu tulivuka salama kwenye hili.
Nachoona ni mtoto kukosa maziwa kwa wakati mimi huwa nakaa mpaks siku 2 ndo maziwa yanatoka. Waruhusu maziwa mbadala kwa wale wenye changamoto ya kukosa maziwa mara baada ya kujifungua
Ndio elimu itolewe clinic za wajawazito watu wajipange
 
Mama mjamzito anapoenda clinic anapaswa kupewa elimu ya lishe\vyakula na umuhimu wake
chanjo
mahitaji ya vifaa wakati wa kujifungua na kulea mtoto mchanga
mambo au vitu vya kuepuka wakati wa ujauzito na wakati wa malezi
 
Kwa kiasi kikubwa manjano kwa watoto wachanga na njaa kutokana nakutopata maziwa ya kutosha. Mama anaweza kuwa hatou maziwa, au hajui namna ya kunyonyesha, au mtoto mvivu na mengine mengi tu .
 
Mama mjamzito anapoenda clinic anapaswa kupewa elimu ya lishe\vyakula na umuhimu wake
chanjo
mahitaji ya vifaa wakati wa kujifungua na kulea mtoto mchanga
mambo au vitu vya kuepuka wakati wa ujauzito na wakati wa malezi
 
Mambo mengine ni kukosa elimu tu. Ugonjwa wa manjano unatibika bila hata gharama kubwa. Mchukue mtoto anika kwenye jua la saa 4 kwa nusu saa. Baada ya week hamna ugonjwa na ni tiba ya uhakika.
Hivi manjano inaweza kuonekana hadi mdomoni wakati sehemu zingine za mwili zikiwa kawaida?
 
Back
Top Bottom