Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwa watoto wachanga manjano kwenye macvho au ngozi ni kawaida.
Hii hutokana na uwepo wa Bilirubin nyingi katika damu kutokana na ini la mtoto kuwa halijajidevelop vya kutosha kuchuja hiyo kitu.
Dawa ya hilo Tatizo ni kumnyonyesha mtoto maziwa ya mama kwa sana
Hii hutokana na uwepo wa Bilirubin nyingi katika damu kutokana na ini la mtoto kuwa halijajidevelop vya kutosha kuchuja hiyo kitu.
Dawa ya hilo Tatizo ni kumnyonyesha mtoto maziwa ya mama kwa sana