Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu ambacho sikujaribu kwa wakati huo labda mwani maha haukuwa unatangazwa sana kama sasa.WENYE CHANGAMOTO YA MAZIWA KUTOKA KWA WAKATI, TUMIENI PILIPILI MANGA KWA WINGI UNAISAGA NA KUITIA KWENY UJI AU CHAI.
Hata Mimi maziwa yametoka baada ya week 3 .na yalikuwa mengi hata dogo alikuwa hawezi kunimaliza .yalikuwa yanatoka kama Bomba yaaniHakuna kitu ambacho sikujaribu kwa wakati huo labda mwani maha haukuwa unatangazwa sana kama sasa.
Ila supplements na mitishamba nilitumia sana lakini sikuona matokeo.
Nikakubaliana na hali kuwa sikuzaliwa na kiwango kikubwa cha kuzalisha maziwa hasa week za mwanzo baada ya kujifungua