Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Chemsha Majani ya Mwarubaini unywe kikombe 1 asubuhi mchana na usiku utapata nafuu.Ukitaka Kulimaliza hilo Tatizo kabisa nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upone na upate kusahau kabisa hayo maradhi yako.Habari wana-JF
Nasumbuliwa sana na ugonjwa wa mshipa wa ngiri, kiingereza wanaita henia(haiandikwi hivi kizungu), but concept, tangu nikiwa mdogo na daktari mmoja hospital ya kitete Tabora alithibitisha nina hernia na alishauri ukinishika gafla nipelekwe hosp kwa ajili ya kufanyiwa oparesheni.
Leo ni siku ya tano umenishika, naumia sana tumbo mkono wa kulia karibu na nyonga nimekwenda hospitali wamenifanyia ultrasound wanasema sio hernia ila ni Kidney enlarged with severe hydromephosis wamenipa dawa lakini za kumeza lakini bila bila no changes sasa wataalam wa hernia naomba msaada nitumie dawa gani japo na ile niliyopewa hospitali natumia?
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu