Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

Wanabodi habari za asubuhi.<br />Kwa anayefahamu naomba ushauri au ufafanuzi wa nini kitakuwa kinanisumbua kulingana na maumivu nitakayoyaeleza hapa.<br /><br />Huwa napatwa na maumivu makali upande wa kulia wa tumbo, maumivu haya huwa kama inavuta misuli kwa ndani kuelekea juu tumboni lakini kuna muda huwa yanashuka kwenye misuli ya korodan hii hutokea kila siku asubuhi kuazia saa kumi au kumi na moja mpaka mida ya saa moja hivi au saa mbili.<br /><br />Nilienda kupiga ct scan ikaonekana hakuna tatizo.<br />Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo.
Je hii inaweza kuwa hernia?Natanguliza shukrani
 
Wanabodi habari za asubuhi.<br />Kwa anayefahamu naomba ushauri au ufafanuzi wa nini kitakuwa kinanisumbua kulingana na maumivu nitakayoyaeleza hapa.<br /><br />Huwa napatwa na maumivu makali upande wa kulia wa tumbo, maumivu haya huwa kama inavuta misuli kwa ndani kuelekea juu tumboni lakini kuna muda huwa yanashuka kwenye misuli ya korodan hii hutokea kila siku asubuhi kuazia saa kumi au kumi na moja mpaka mida ya saa moja hivi au saa mbili.<br /><br />Nilienda kupiga ct scan ikaonekana hakuna tatizo.<br />Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo.
Je hii inaweza kuwa hernia?Natanguliza shukrani
Yes inawezekana,, reducible hernia
 
Habari wana JF,

Kiukweli mimi kila sku nasikia ugonjwa wa ngiri sjui mtu anaumwa ngiri wala sijui ni ugonjwa gani?

Mbona shule sijasoma ugonjwa wa ngiri au upo unafundishwa sekondary au chuoni naombeni kujua.

Naombeni kujua dalili zake, matibabu yake na wanaopata ugonjwa huu zaidi ni wanaume au wanawake.

Msaada jamani nimechoka kujiuliza maswali kuhusu ngiri.
 


NAMNA AMBAVYO MTU ANAPATA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)

Home » Health Blog » Articles » NAMNA AMBAVYO MTU ANAPATA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)

KUWA NA MALARIA BAADA YA KUMALIZA DOZI YA MALARIAFAIDA ZA KUNYWA MAJI ASUBUHI

TATIZO LA NGIRI (HERNIA)

Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.

Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni).

Tatizo la ngiri huweza kumpata mtu yeyote. Miongoni mwa vitu vinavyoweza kumsababisha mtu apate ugonjwa wa ngiri ni: Kuwa na uzito mkubwa wa mwili au kuongezeka uzito kwa ghafla, kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito, tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu, ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua pia kuharisha au kuvimbiwa (Constipation). Vitu hivyo pamoja na mtu kuwa na misuli au tishu zilizopoteza uimara au uwazi (opening or hole) humfanya mtu apate ngiri (hernia).

Ngiri hutambuliwa kwa kutokea kitu kama uvimbe au kujaa katika eneo husika (baadhi ya maeneo yametajwa hapo juu) na pia kwa kufanyiwa uchunguzi wa mara kwa mara na daktari huwezesha kugundua tatizo hili.

Njia inayoweza kutatua tatizo hili ni kwa mtu mwenye ngiri kufanyiwa upasuaji ili kurekebisha misuli au tishu zilizolegea. Pia kutegemeana na kihatarishi cha tatizo hili, mtu unaweza kuwa unafanya mazoezi ili kupunguza uzito wako na kuweka utaratibu mzuri wa kula chakula kinachojumuisha mboga mboga au matunda yenye nyuzi nyuzi (fibers), hii itasaidia pia mmeng’enyo (digestion) wa chakula tumboni na kuepusha kuvimbiwa. Matunda (Vitamin C) husaidia kuunganisha tishu zilizolegea na pia husaidia kupona haraka kwa sehemu iliyofanyiwa upasuaji (operesheni). Na kama tatizo lako ni la kukohoa kwa muda mrefu kunakosababishwa na uvutaji wa sigara, ni vyema ukasitisha uvutaji ili kupunguza madhara au makali ya ngiri lakini pia kusitisha sigara kwa ajili ya usalama wa afya yako.

Chanzo: Tanzlife Company Limited





ambavyoanawezaherniakupatamtunamnangiritatizo

October 13, 2013 ArticlesJackson Nyabusani57 Comments

57 Comments

innocent urassa

January 28, 2015 at 7:45 pm

dawa ya ngiri ni ipi

REPLY

admin

January 28, 2015 at 8:06 pm

njia mojawapo inayotumika kutatua tatizo hilo ni upasuaji, hivyo inategemeana na ukubwa wa tatizo

REPLY

Arnold kajuna

January 29, 2015 at 6:32 pm

Wa dauhu niambieni

REPLY

Arnold kajuna

January 29, 2015 at 6:33 pm

Kuna haina ngapi za ngiri

REPLY

admin

January 29, 2015 at 7:09 pm

aina au jina la ngiri inategemeana na sehemu katika mwili ambapo ngiri hiyo imejitokeza, hivyo hakuna jibu la moja kwa moja kuna zipo aina ngapi. Ila ni aina nyingi zipo….

REPLY

abubakari mkingiye

February 26, 2015 at 8:16 am

je!kuna njia mbadala ya kutubu ngiri tofauti na upasuaji na yapi madhara ya ngiri…?

REPLY

admin

February 26, 2015 at 5:47 pm

matibabu kwa njia ya upasuaji hayafanyiki kwa kila ngiri, bali hutegemeana na ukubwa au uzito wa tatizo, na pia pamoja na kumkosesha mtu Uhuru kwa uvimbe kuonekana mkubwa pia wakati mwingine MTU hupata Maumivu makali mno.

REPLY

Annanjohn

March 24, 2015 at 1:44 pm

Shukrani za dhati kwenu wapenzi wa lugha,wasomi,walio na moyo mwema na madaktari kwa kutujuza.mola awafariji

REPLY

admin

March 24, 2015 at 5:33 pm

Nasi tunawashukuru na Mungu azidi kuwapa Afya njema.

REPLY

festo

June 3, 2015 at 2:51 pm

je ngiri inaweza kutokea sehemu za siri

REPLY

admin

June 3, 2015 at 2:57 pm

Inawezekana pia.

REPLY

kaja

June 7, 2015 at 1:37 pm

ni athali zipi za ugonjwa wa ngili?

REPLY

admin

June 7, 2015 at 5:16 pm

pamoja na kuonekana kama uvimbe na kukufanya ukose amani, pia wakati mwingine MTU hupata Maumivu makali, na mwanaume huweza kushindwa kufanya tendo la ndoa.

REPLY

flora

June 23, 2015 at 8:53 am

je kwa mtu anayefanya mustebation kuna uwezekano wa kupata ngiri?.

REPLY

admin

June 26, 2015 at 1:22 pm

Haiwezi kuwa ni sababu kuu ya MTU kupata ngiri, ila kitendo hicho chaweza kuwa na athari nyingine kwa MTU.

REPLY

frank hossa

June 26, 2015 at 1:02 pm

mm natatizo korodan moja ilivimba alaf ikarudi ikawa ndogo xana nayo ni ngiri?

REPLY

admin

June 26, 2015 at 1:28 pm

Labda ilivimba kwa muda/siku ngapi na ilirudi baada ya kufanya nini au kutumia Dawa gani?.

REPLY

ezrah

July 6, 2015 at 7:46 am

ngiri inaweza kusababisha mwanaume kutokupata mtoto? namaanisha kupunguza uwezekano wa kuzalisha?

REPLY

admin

July 6, 2015 at 5:24 pm

Endapo tatizo ni kubwa litamfanya mwanamme ashindwe kufanya tendo la ndoa na hivyo kutamfanya ashindwe kumwezesha mwanamke apate ujauzito.

REPLY

efraim

August 7, 2015 at 3:20 am

Je, tatizo la hernia ya tumbo
linaweza kuua kabisa mbegu za mwansume

REPLY

Jackson Nyabusani

August 21, 2015 at 10:18 am

Tatizo la hernia huweza kumfanya mwanamme apate maumivu makali yatakayomfanya ashindwe kushiriki tendo la ndoa. Hernia ya tumbo haiuwi nguvu za kiume.

REPLY

Vicky

October 18, 2015 at 11:28 am

Mwanamke akijamiana na mwanaume wenye ugonjwa wa ngiri anaweza pata athari yoyote huyo mwanamke au kupata magonjwa

REPLY

Jackson Nyabusani

October 24, 2015 at 11:08 am

Hakuna athari au ugonjwa ambao mwanamke anaweza kuupata kwa kujamiiana na mwanamme mwenya ngiri.

REPLY

John Kimaro

November 4, 2015 at 4:19 pm

Je ni wakati gani mtu mwenye ngiri anapata maumivu??

REPLY

Fred

November 5, 2015 at 5:05 pm

Na inapotokea muwasho ktk mishipa ya uume kuwaka moto wakati Wa haja ndogo pia inasababishwa na nn?
Na Tina yake n mini?

REPLY

Fred

November 5, 2015 at 5:07 pm

Na inapotokea muwasho ktk mishipa ya uume kuwaka moto wakati Wa haja ndogo pia inasababishwa na nn?
Na Tiba yake ni nini?

REPLY

renald

January 30, 2016 at 4:53 pm

vp wakubw naomb nisaidiwe tatizo la mbegu za kiume kutoa haruf inasababishwa nanin

REPLY

Jackson Nyabusani

February 15, 2016 at 6:36 pm

Mara nyingi miongoni mwa vitu vinavyochangia haruf hiyo ni aina ya vyakula ambavyo mwanaume huvitumia. Hivyo ni vyakula.

REPLY

Rehema nelson

February 19, 2016 at 8:33 pm

Mimi nimepimwa ninayo juu ya tumbo au kwenye moyo,natakiwa opp na imevimba sana nani naogopa nakunywa za kienyeji nifanyeje nasikia kukabwa.

REPLY

Jackson Nyabusani

June 19, 2016 at 8:01 pm

Pole, ni vyema ukafuata ushauri huo wa kufanyiwa OP, kutofanyiwa kutapelekea tatizo kuwa kubwa zaidi.

REPLY

Elias mabula

June 11, 2016 at 3:46 pm

Je huu ugonjwa unaweza kuupata kwa kuambukizwa au vipi wadau

REPLY

Jackson Nyabusani

June 19, 2016 at 7:34 pm

Ugonjwa huu siyo wa kuambukiza

REPLY

experius gaudensi

June 15, 2016 at 5:14 pm

je kuna tahadhi yoyote inatolewa na shirika la afya juu ya ugonjwa huu hatari?

REPLY

Jackson Nyabusani

June 19, 2016 at 7:33 pm

Elimu za Afya hutolewa kujikinga na magonjwa mbali mbali ikiwemo ugonjwa huu

REPLY

einhard

July 14, 2016 at 12:45 pm

Naomba kujua tiba mbadala zaidi ya Operation?

REPLY

Jackson Nyabusani

July 15, 2016 at 9:24 pm

Tiba hutegemeana na uzito wa tatizo, kwa ambaye yupo katika hali ya ulazima wa operesheni ni vyema upasuaji ukafanyika, tofauti na hivyo hakuna njia ya kuondoa hali hiyo.

REPLY

don don

July 18, 2016 at 10:16 pm

Habari ya kazi
Hivi kama kolodan zinakua na maumv fln hv kama ganzi yan kama umezigonga hivi na maumivu hayo yanakua kwa mda alaf yanaavha na mda mwingine hanaweza kufika hadi masaa mawili yakaacha ila kazi. Zote zinafanyika bila shida na ni maumv yan kama ganz fln hv na kuvutavuta kwambali.tatzo ni kitu gani hapo.?

REPLY

Jackson Nyabusani

August 12, 2016 at 8:44 am

Maumivu sehemu za korodani yaweza kusababishwa ni vitu tofauti tofauti mfano, kwa watu wanaojihusiha sana na mifugo chanzo chaweza kuwa ni jamii ya bakteria, brucella, ampapo kupitia michubuko katika mwili wa mtu bakteria hawa huweza kuingia katika mzunguko wako wa damu na hatimaye kukusababishia maumivu katika korodani na ili kuweza kugundua ni lazima vipimo vya maabara vifanyike ili kupata uhakika. Nakushauri ufike katika kituo cha tiba kwa ajiri ya uchunguzi na matibabu. Pole sana.

REPLY

Jimmy

August 8, 2016 at 9:45 am

Mimi Nina pata maumivi chini ya kitovu,afuu tumbo linanguruma,mwisho korodani ya kushoto inaanza kuuma,na kunakuwa na ka kitu kama ka uvimbe flani hivi.Je yaweza kuwa Ngiri japo mashine napiga kama kawa.

REPLY

Jackson Nyabusani

August 12, 2016 at 8:29 am

Pole, ni vizuri ukaonana na daktari ili kuweza kufanya uchunguzi na kupata uhakika zaidi. Daktari katika kituo cha tiba chochote unaweza kuonana naye ili kufanya uchunguzi huo.

REPLY

ephraim ndelwa

August 9, 2016 at 9:23 am

je endapo nitakuwa nimefanyiwa op naweza tena kuendelea na tendo LA ndoa iwapo nimepona?

REPLY

Jackson Nyabusani

August 12, 2016 at 8:25 am

Ndiyo, op haitazuia wewe kuendelea na tendo la ndoa.

REPLY

Daniel Kadushi

September 14, 2016 at 3:10 pm

Na mie pia huwa ninapata maumivu makali sana kila nikijamiiana na mke wangu yaan mara ya kwanza kabla sjaoa kalikuwa hakachukui sku nying kupoa lakn sku iz ni kila ninapofanya tendo hilo mara mbili tu kanaanza kuuma sana, je itakuwa tayar tatizo limekuwa kubwaa? ingawa uume husimama kama kawaida

REPLY

Jackson Nyabusani

October 1, 2016 at 8:23 am

Pole…katika hiyo changamoto uipatayo nakushauri wewe pamoja na mwenza wako muonane na wataalamu wa afya ya uzazi katika kituo chochote cha tiba ili kwa pamoja muweze kushauriwa…hii itakuwa na msaada mkubwa kwenu nyote.

REPLY

Bhudagala

September 20, 2016 at 12:12 am

Mimi nina korodani moja, lakini huwa kuna uvimbe unajitokeza upande wa kushoto mwa shina la mashine na halii ni ya toka utotoni. Uvimbe huo huambatana na maumivu flan hivi ya tumbo pamoja na korodani (hiyo moja) kuwa kama inaminywa hivi! Hii ni ngiri? Na saivi aged 24yrs. Msaada please.

REPLY

Jackson Nyabusani

October 1, 2016 at 8:16 am

Nachoweza kukushauri ni kwamba jipange uweze kuonana na daktari katika kituo cha tiba kilicho karibu na wewe, kwani tatizo umekuwa nalo tangu utotoni na pia kuna baadhi ya matatizo ambayo ili kuweza kupata msaada au ushauri mzuri…ni vyema daktari akuone.

REPLY

Barack

November 23, 2016 at 11:11 pm

Mimi Nina tatizo moja..pmb yakulia imeshuka chini alafu imejaa kidogo yaani kama kuna majiivi..alafu niyabaridi.. na nikifanya tendo natoa shahawa nyepesi.

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 7:33 am

Umefanya vizuri kubaini hali hiyo ya utofauti mapema na Nakushauri ufike katika kituo cha tiba ili kuweza kubaini aina ya tatizo ulilonalo ili kuweza kupata matibabu sahihi zaidi.

REPLY

jassone jasper

September 22, 2016 at 7:42 pm

mimi naumwa chini ya kitovu karibu na sehemu ya siri kwa ndani nahisi kama kuna ka upele na muda mwingine napata maumivu alafu yanapotea karibu mwaka mzima na nikigusa nakasikia kwa ndani. je iyo ni hernia?

REPLY

Jackson Nyabusani

October 1, 2016 at 8:12 am

Pole sana kwa usumbufu na maumivu uliyoyapata kwa kipindi chote hicho, aidha ili kuweza kutambua kama ni hernia au lah! ni vyema ukaonana na daktari ili aweze kukuchunguza na kutoa jibu stahiki.

REPLY

Fredinand

November 2, 2016 at 6:17 pm

Tatizo langu ni hapa chini ya kitovu kulia, kunauvimbe umeshuka hadi kwenye mfuko WA korodani. Lakn nikilala chali uvimbe huo wenye ukubwa saizi ya ngumi unarudi tumboni taratibu lakini kila ninapo simama wima tuu uvimbe Hui huchomoza tena. Tatizo hili ni mwaka wanne sasa… Nini madhara yakuchelewa kufanyiwa oparesheni

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 6:39 am

Madhara yake ni pamoja na uwezekano wa uvimbe kuongezeka, nakushauri uwahi matibabu mapema ili kuondokana na usumbufu unaoweza kuupata na madhara ya kiafya.

REPLY

Said

November 12, 2016 at 12:58 am

Hv na ghalama za upasuaji wa ngiri unaweza mufka shiling ngp…?

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 6:31 am

Huduma za upasuaji kiujumla hutegemeana na aina ya tatizo na pia hutofautiana kwa taasisi na taasisi…hivyo ni vyema ukafika katika kituo chochote cha tiba wanapotoa hudua za upasuaji ila nafahamu kuwa siyo bei kubwa.

REPLY

Yasini Haruna

November 22, 2016 at 12:20 am

Shukran

REPLY

Mahmood Mohammed

November 26, 2016 at 11:38 pm

hernia ya leta gesitumboni kweli

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 7:25 am

Hernia huweza kukufanya upate hisia za kuwa na gesi tumboni.

REPLY

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Name *

Email *

Website

NEWS / UPDATES

More Videos and Slides will be uploaded time after time

LOCAL WEATHER

Currency Converter

Convert your Currency here:

From:
GBP EUR USD CAD AUD SGD EGP ARS BBD BRL CLP CNY CZK DKK XCD EEK HKD HUF ISK INR IDR ILS JMD JPY LVL LBP LTL MYR MXN NAD NPR NZD NOK OMR PKR PAB PHP PLN QAR RON RUB SAR ZAR KRW LKR SEK CHF THB TRY VEF

To:
GBP EUR USD CAD AUD SGD EGP ARS BBD BRL CLP CNY CZK DKK XCD EEK HKD HUF ISK INR IDR ILS JMD JPY LVL LBP LTL MYR MXN NAD NPR NZD NOK OMR PKR PAB PHP PLN QAR RON RUB SAR ZAR KRW LKR SEK CHF THB TRY VEF

Amount:



OTHER SITES/BLOGS

www.thepharmajournal.com
www.pharmacycouncil.go.tz
www.chezasalama.com
www.jamiiforums.com
www.sikika.or.tz

NEWSPAPERS LINKS

The Guardian
The Citizen
Mwananchi

LOCAL CHANNELS LINKS

ITV
Star TV

CONTACT US

Dar-es-Salaam, Tanzania

+255 762 777580

info@tanzlife.co.tz

tanzlife

ARCHIVES

ARCHIVES Select Month August 2016 (1) February 2016 (1) July 2015 (5) January 2015 (1) November 2014 (2) October 2014 (3) September 2014 (1) August 2014 (1) July 2014 (2) June 2014 (2) April 2014 (1) February 2014 (2) January 2014 (2) December 2013 (1) November 2013 (18) October 2013 (30) September 2013 (18)

FOLLOW US









PAGES

Home

About Us

Contacts

Health Blog

Health Forum

ABOUT US

Tanzlife is the private company aiming to provide health services to the community through hospitals, health centers, dispensaries, laboratories, pharmacies and counseling centers. Already the company is...

[emoji767]2015 Tanzlife - Terms & Privacy | Developed by Adams Digicom


 
Hernia - Wikipedia

681a0dbc3e2f9240d030a96b9f17e9de.jpg
 
Ni ugonjwa wa wanyama pori ndiyo maana hukufundishwa! Una undugu na ngiri kwani?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wacha fujo zako

ugonjwa huu unazibeba kirodani nje zinakoning'nia na kuzificha ndani haswa nyakati za baridi na kusababisa maumivu makali sana. Kwa wanawake sijui labda wale wanawake waliotunukiwa korodani wanaweza kuupata [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wacha fujo zako

ugonjwa huu unazibeba kirodani nje zinakoning'nia na kuzificha ndani haswa nyakati za baridi na kusababisa maumivu makali sana. Kwa wanawake sijui labda wale wanawake waliotunukiwa korodani wanaweza kuupata [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Ile ni sunna bhana zinafichwa ili kujikinga na baridi ila jua likitoka nzo paaap zinatokelezea! Ni kaugonjwa amazing kama kombolela maana kanajumuisha kujificha kwa hizo ndude ulizozitaja!
 


NAMNA AMBAVYO MTU ANAPATA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)

Home » Health Blog » Articles » NAMNA AMBAVYO MTU ANAPATA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)

KUWA NA MALARIA BAADA YA KUMALIZA DOZI YA MALARIAFAIDA ZA KUNYWA MAJI ASUBUHI

TATIZO LA NGIRI (HERNIA)

Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.

Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni).

Tatizo la ngiri huweza kumpata mtu yeyote. Miongoni mwa vitu vinavyoweza kumsababisha mtu apate ugonjwa wa ngiri ni: Kuwa na uzito mkubwa wa mwili au kuongezeka uzito kwa ghafla, kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito, tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu, ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua pia kuharisha au kuvimbiwa (Constipation). Vitu hivyo pamoja na mtu kuwa na misuli au tishu zilizopoteza uimara au uwazi (opening or hole) humfanya mtu apate ngiri (hernia).

Ngiri hutambuliwa kwa kutokea kitu kama uvimbe au kujaa katika eneo husika (baadhi ya maeneo yametajwa hapo juu) na pia kwa kufanyiwa uchunguzi wa mara kwa mara na daktari huwezesha kugundua tatizo hili.

Njia inayoweza kutatua tatizo hili ni kwa mtu mwenye ngiri kufanyiwa upasuaji ili kurekebisha misuli au tishu zilizolegea. Pia kutegemeana na kihatarishi cha tatizo hili, mtu unaweza kuwa unafanya mazoezi ili kupunguza uzito wako na kuweka utaratibu mzuri wa kula chakula kinachojumuisha mboga mboga au matunda yenye nyuzi nyuzi (fibers), hii itasaidia pia mmeng’enyo (digestion) wa chakula tumboni na kuepusha kuvimbiwa. Matunda (Vitamin C) husaidia kuunganisha tishu zilizolegea na pia husaidia kupona haraka kwa sehemu iliyofanyiwa upasuaji (operesheni). Na kama tatizo lako ni la kukohoa kwa muda mrefu kunakosababishwa na uvutaji wa sigara, ni vyema ukasitisha uvutaji ili kupunguza madhara au makali ya ngiri lakini pia kusitisha sigara kwa ajili ya usalama wa afya yako.

Chanzo: Tanzlife Company Limited





ambavyoanawezaherniakupatamtunamnangiritatizo

October 13, 2013 ArticlesJackson Nyabusani57 Comments

57 Comments

innocent urassa

January 28, 2015 at 7:45 pm

dawa ya ngiri ni ipi

REPLY

admin

January 28, 2015 at 8:06 pm

njia mojawapo inayotumika kutatua tatizo hilo ni upasuaji, hivyo inategemeana na ukubwa wa tatizo

REPLY

Arnold kajuna

January 29, 2015 at 6:32 pm

Wa dauhu niambieni

REPLY

Arnold kajuna

January 29, 2015 at 6:33 pm

Kuna haina ngapi za ngiri

REPLY

admin

January 29, 2015 at 7:09 pm

aina au jina la ngiri inategemeana na sehemu katika mwili ambapo ngiri hiyo imejitokeza, hivyo hakuna jibu la moja kwa moja kuna zipo aina ngapi. Ila ni aina nyingi zipo….

REPLY

abubakari mkingiye

February 26, 2015 at 8:16 am

je!kuna njia mbadala ya kutubu ngiri tofauti na upasuaji na yapi madhara ya ngiri…?

REPLY

admin

February 26, 2015 at 5:47 pm

matibabu kwa njia ya upasuaji hayafanyiki kwa kila ngiri, bali hutegemeana na ukubwa au uzito wa tatizo, na pia pamoja na kumkosesha mtu Uhuru kwa uvimbe kuonekana mkubwa pia wakati mwingine MTU hupata Maumivu makali mno.

REPLY

Annanjohn

March 24, 2015 at 1:44 pm

Shukrani za dhati kwenu wapenzi wa lugha,wasomi,walio na moyo mwema na madaktari kwa kutujuza.mola awafariji

REPLY

admin

March 24, 2015 at 5:33 pm

Nasi tunawashukuru na Mungu azidi kuwapa Afya njema.

REPLY

festo

June 3, 2015 at 2:51 pm

je ngiri inaweza kutokea sehemu za siri

REPLY

admin

June 3, 2015 at 2:57 pm

Inawezekana pia.

REPLY

kaja

June 7, 2015 at 1:37 pm

ni athali zipi za ugonjwa wa ngili?

REPLY

admin

June 7, 2015 at 5:16 pm

pamoja na kuonekana kama uvimbe na kukufanya ukose amani, pia wakati mwingine MTU hupata Maumivu makali, na mwanaume huweza kushindwa kufanya tendo la ndoa.

REPLY

flora

June 23, 2015 at 8:53 am

je kwa mtu anayefanya mustebation kuna uwezekano wa kupata ngiri?.

REPLY

admin

June 26, 2015 at 1:22 pm

Haiwezi kuwa ni sababu kuu ya MTU kupata ngiri, ila kitendo hicho chaweza kuwa na athari nyingine kwa MTU.

REPLY

frank hossa

June 26, 2015 at 1:02 pm

mm natatizo korodan moja ilivimba alaf ikarudi ikawa ndogo xana nayo ni ngiri?

REPLY

admin

June 26, 2015 at 1:28 pm

Labda ilivimba kwa muda/siku ngapi na ilirudi baada ya kufanya nini au kutumia Dawa gani?.

REPLY

ezrah

July 6, 2015 at 7:46 am

ngiri inaweza kusababisha mwanaume kutokupata mtoto? namaanisha kupunguza uwezekano wa kuzalisha?

REPLY

admin

July 6, 2015 at 5:24 pm

Endapo tatizo ni kubwa litamfanya mwanamme ashindwe kufanya tendo la ndoa na hivyo kutamfanya ashindwe kumwezesha mwanamke apate ujauzito.

REPLY

efraim

August 7, 2015 at 3:20 am

Je, tatizo la hernia ya tumbo
linaweza kuua kabisa mbegu za mwansume

REPLY

Jackson Nyabusani

August 21, 2015 at 10:18 am

Tatizo la hernia huweza kumfanya mwanamme apate maumivu makali yatakayomfanya ashindwe kushiriki tendo la ndoa. Hernia ya tumbo haiuwi nguvu za kiume.

REPLY

Vicky

October 18, 2015 at 11:28 am

Mwanamke akijamiana na mwanaume wenye ugonjwa wa ngiri anaweza pata athari yoyote huyo mwanamke au kupata magonjwa

REPLY

Jackson Nyabusani

October 24, 2015 at 11:08 am

Hakuna athari au ugonjwa ambao mwanamke anaweza kuupata kwa kujamiiana na mwanamme mwenya ngiri.

REPLY

John Kimaro

November 4, 2015 at 4:19 pm

Je ni wakati gani mtu mwenye ngiri anapata maumivu??

REPLY

Fred

November 5, 2015 at 5:05 pm

Na inapotokea muwasho ktk mishipa ya uume kuwaka moto wakati Wa haja ndogo pia inasababishwa na nn?
Na Tina yake n mini?

REPLY

Fred

November 5, 2015 at 5:07 pm

Na inapotokea muwasho ktk mishipa ya uume kuwaka moto wakati Wa haja ndogo pia inasababishwa na nn?
Na Tiba yake ni nini?

REPLY

renald

January 30, 2016 at 4:53 pm

vp wakubw naomb nisaidiwe tatizo la mbegu za kiume kutoa haruf inasababishwa nanin

REPLY

Jackson Nyabusani

February 15, 2016 at 6:36 pm

Mara nyingi miongoni mwa vitu vinavyochangia haruf hiyo ni aina ya vyakula ambavyo mwanaume huvitumia. Hivyo ni vyakula.

REPLY

Rehema nelson

February 19, 2016 at 8:33 pm

Mimi nimepimwa ninayo juu ya tumbo au kwenye moyo,natakiwa opp na imevimba sana nani naogopa nakunywa za kienyeji nifanyeje nasikia kukabwa.

REPLY

Jackson Nyabusani

June 19, 2016 at 8:01 pm

Pole, ni vyema ukafuata ushauri huo wa kufanyiwa OP, kutofanyiwa kutapelekea tatizo kuwa kubwa zaidi.

REPLY

Elias mabula

June 11, 2016 at 3:46 pm

Je huu ugonjwa unaweza kuupata kwa kuambukizwa au vipi wadau

REPLY

Jackson Nyabusani

June 19, 2016 at 7:34 pm

Ugonjwa huu siyo wa kuambukiza

REPLY

experius gaudensi

June 15, 2016 at 5:14 pm

je kuna tahadhi yoyote inatolewa na shirika la afya juu ya ugonjwa huu hatari?

REPLY

Jackson Nyabusani

June 19, 2016 at 7:33 pm

Elimu za Afya hutolewa kujikinga na magonjwa mbali mbali ikiwemo ugonjwa huu

REPLY

einhard

July 14, 2016 at 12:45 pm

Naomba kujua tiba mbadala zaidi ya Operation?

REPLY

Jackson Nyabusani

July 15, 2016 at 9:24 pm

Tiba hutegemeana na uzito wa tatizo, kwa ambaye yupo katika hali ya ulazima wa operesheni ni vyema upasuaji ukafanyika, tofauti na hivyo hakuna njia ya kuondoa hali hiyo.

REPLY

don don

July 18, 2016 at 10:16 pm

Habari ya kazi
Hivi kama kolodan zinakua na maumv fln hv kama ganzi yan kama umezigonga hivi na maumivu hayo yanakua kwa mda alaf yanaavha na mda mwingine hanaweza kufika hadi masaa mawili yakaacha ila kazi. Zote zinafanyika bila shida na ni maumv yan kama ganz fln hv na kuvutavuta kwambali.tatzo ni kitu gani hapo.?

REPLY

Jackson Nyabusani

August 12, 2016 at 8:44 am

Maumivu sehemu za korodani yaweza kusababishwa ni vitu tofauti tofauti mfano, kwa watu wanaojihusiha sana na mifugo chanzo chaweza kuwa ni jamii ya bakteria, brucella, ampapo kupitia michubuko katika mwili wa mtu bakteria hawa huweza kuingia katika mzunguko wako wa damu na hatimaye kukusababishia maumivu katika korodani na ili kuweza kugundua ni lazima vipimo vya maabara vifanyike ili kupata uhakika. Nakushauri ufike katika kituo cha tiba kwa ajiri ya uchunguzi na matibabu. Pole sana.

REPLY

Jimmy

August 8, 2016 at 9:45 am

Mimi Nina pata maumivi chini ya kitovu,afuu tumbo linanguruma,mwisho korodani ya kushoto inaanza kuuma,na kunakuwa na ka kitu kama ka uvimbe flani hivi.Je yaweza kuwa Ngiri japo mashine napiga kama kawa.

REPLY

Jackson Nyabusani

August 12, 2016 at 8:29 am

Pole, ni vizuri ukaonana na daktari ili kuweza kufanya uchunguzi na kupata uhakika zaidi. Daktari katika kituo cha tiba chochote unaweza kuonana naye ili kufanya uchunguzi huo.

REPLY

ephraim ndelwa

August 9, 2016 at 9:23 am

je endapo nitakuwa nimefanyiwa op naweza tena kuendelea na tendo LA ndoa iwapo nimepona?

REPLY

Jackson Nyabusani

August 12, 2016 at 8:25 am

Ndiyo, op haitazuia wewe kuendelea na tendo la ndoa.

REPLY

Daniel Kadushi

September 14, 2016 at 3:10 pm

Na mie pia huwa ninapata maumivu makali sana kila nikijamiiana na mke wangu yaan mara ya kwanza kabla sjaoa kalikuwa hakachukui sku nying kupoa lakn sku iz ni kila ninapofanya tendo hilo mara mbili tu kanaanza kuuma sana, je itakuwa tayar tatizo limekuwa kubwaa? ingawa uume husimama kama kawaida

REPLY

Jackson Nyabusani

October 1, 2016 at 8:23 am

Pole…katika hiyo changamoto uipatayo nakushauri wewe pamoja na mwenza wako muonane na wataalamu wa afya ya uzazi katika kituo chochote cha tiba ili kwa pamoja muweze kushauriwa…hii itakuwa na msaada mkubwa kwenu nyote.

REPLY

Bhudagala

September 20, 2016 at 12:12 am

Mimi nina korodani moja, lakini huwa kuna uvimbe unajitokeza upande wa kushoto mwa shina la mashine na halii ni ya toka utotoni. Uvimbe huo huambatana na maumivu flan hivi ya tumbo pamoja na korodani (hiyo moja) kuwa kama inaminywa hivi! Hii ni ngiri? Na saivi aged 24yrs. Msaada please.

REPLY

Jackson Nyabusani

October 1, 2016 at 8:16 am

Nachoweza kukushauri ni kwamba jipange uweze kuonana na daktari katika kituo cha tiba kilicho karibu na wewe, kwani tatizo umekuwa nalo tangu utotoni na pia kuna baadhi ya matatizo ambayo ili kuweza kupata msaada au ushauri mzuri…ni vyema daktari akuone.

REPLY

Barack

November 23, 2016 at 11:11 pm

Mimi Nina tatizo moja..pmb yakulia imeshuka chini alafu imejaa kidogo yaani kama kuna majiivi..alafu niyabaridi.. na nikifanya tendo natoa shahawa nyepesi.

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 7:33 am

Umefanya vizuri kubaini hali hiyo ya utofauti mapema na Nakushauri ufike katika kituo cha tiba ili kuweza kubaini aina ya tatizo ulilonalo ili kuweza kupata matibabu sahihi zaidi.

REPLY

jassone jasper

September 22, 2016 at 7:42 pm

mimi naumwa chini ya kitovu karibu na sehemu ya siri kwa ndani nahisi kama kuna ka upele na muda mwingine napata maumivu alafu yanapotea karibu mwaka mzima na nikigusa nakasikia kwa ndani. je iyo ni hernia?

REPLY

Jackson Nyabusani

October 1, 2016 at 8:12 am

Pole sana kwa usumbufu na maumivu uliyoyapata kwa kipindi chote hicho, aidha ili kuweza kutambua kama ni hernia au lah! ni vyema ukaonana na daktari ili aweze kukuchunguza na kutoa jibu stahiki.

REPLY

Fredinand

November 2, 2016 at 6:17 pm

Tatizo langu ni hapa chini ya kitovu kulia, kunauvimbe umeshuka hadi kwenye mfuko WA korodani. Lakn nikilala chali uvimbe huo wenye ukubwa saizi ya ngumi unarudi tumboni taratibu lakini kila ninapo simama wima tuu uvimbe Hui huchomoza tena. Tatizo hili ni mwaka wanne sasa… Nini madhara yakuchelewa kufanyiwa oparesheni

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 6:39 am

Madhara yake ni pamoja na uwezekano wa uvimbe kuongezeka, nakushauri uwahi matibabu mapema ili kuondokana na usumbufu unaoweza kuupata na madhara ya kiafya.

REPLY

Said

November 12, 2016 at 12:58 am

Hv na ghalama za upasuaji wa ngiri unaweza mufka shiling ngp…?

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 6:31 am

Huduma za upasuaji kiujumla hutegemeana na aina ya tatizo na pia hutofautiana kwa taasisi na taasisi…hivyo ni vyema ukafika katika kituo chochote cha tiba wanapotoa hudua za upasuaji ila nafahamu kuwa siyo bei kubwa.

REPLY

Yasini Haruna

November 22, 2016 at 12:20 am

Shukran

REPLY

Mahmood Mohammed

November 26, 2016 at 11:38 pm

hernia ya leta gesitumboni kweli

REPLY

Jackson Nyabusani

January 10, 2017 at 7:25 am

Hernia huweza kukufanya upate hisia za kuwa na gesi tumboni.

REPLY

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Name *

Email *

Website

NEWS / UPDATES

More Videos and Slides will be uploaded time after time

LOCAL WEATHER

Currency Converter

Convert your Currency here:

From:
GBP EUR USD CAD AUD SGD EGP ARS BBD BRL CLP CNY CZK DKK XCD EEK HKD HUF ISK INR IDR ILS JMD JPY LVL LBP LTL MYR MXN NAD NPR NZD NOK OMR PKR PAB PHP PLN QAR RON RUB SAR ZAR KRW LKR SEK CHF THB TRY VEF

To:
GBP EUR USD CAD AUD SGD EGP ARS BBD BRL CLP CNY CZK DKK XCD EEK HKD HUF ISK INR IDR ILS JMD JPY LVL LBP LTL MYR MXN NAD NPR NZD NOK OMR PKR PAB PHP PLN QAR RON RUB SAR ZAR KRW LKR SEK CHF THB TRY VEF

Amount:



OTHER SITES/BLOGS

www.thepharmajournal.com
www.pharmacycouncil.go.tz
www.chezasalama.com
www.jamiiforums.com
www.sikika.or.tz

NEWSPAPERS LINKS

The Guardian
The Citizen
Mwananchi

LOCAL CHANNELS LINKS

ITV
Star TV

CONTACT US

Dar-es-Salaam, Tanzania

+255 762 777580

info@tanzlife.co.tz

tanzlife

ARCHIVES

ARCHIVES Select Month August 2016 (1) February 2016 (1) July 2015 (5) January 2015 (1) November 2014 (2) October 2014 (3) September 2014 (1) August 2014 (1) July 2014 (2) June 2014 (2) April 2014 (1) February 2014 (2) January 2014 (2) December 2013 (1) November 2013 (18) October 2013 (30) September 2013 (18)

FOLLOW US









PAGES

Home

About Us

Contacts

Health Blog

Health Forum

ABOUT US

Tanzlife is the private company aiming to provide health services to the community through hospitals, health centers, dispensaries, laboratories, pharmacies and counseling centers. Already the company is...

[emoji767]2015 Tanzlife - Terms & Privacy | Developed by Adams Digicom


Hapa sna swali nashukuru mkuuu
 
Back
Top Bottom