Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

UGONJWA MSHIPA WA NGIRI HERNIA/HYDROCELE'

Ni ugonjwa unaowapata wanaume
na wanawake wa rika
zote.Mshipa wa ngili ni jina

linalokusanya magonjwa kama ngiri kavu'Hernia',ngiri
maji'Hydrocele'na ngiri
nyinginezo kama vile kuvimba
kokwa au mfereji unaopitisha
manii' Epididmorchitis'.



NGIRI KAVU 'HERNIA' Aina hii ya ngiri huwapata wanawake na
wanaume tu.Ngiri kavu
inapopata M'mke
huitwa'Fermoral Hernia'kwa
wanaume'Scrotal hernia'kwa

maana halisi ngili au mshipa wa ngili ni hali inayotokea ktka
mwili wa binadamu ambapo
sehemu fulani ya nyama ya
viungo mbalimbali vya mwili
hujipenyeza kupitia sehemu

dhaifu ya mwili na kutokeza upande wa pili.Sehemu hiyo
inayoathiriwa mara nyingi
huwa ni maeneo ya
tumbo,kokwa,pumbu nk
ambapo baadhi ya viungo vya

mwili vilivyomo tumboni hujipenyeza kupitia vitundu
vinavopitisha mishipa ya
fahamu inayohudumia
kokwa'Spesmatic Cord'hivyo
baada ya kujipenyeza

huteremka hadi ndani ya korodani hali ambayo
hukamilisha kuwepo kwa
ugonjwa wa mshipa wa
ngiri.Hata hivyo mshipa wa ngili
hujitokeza sehemu mbalimbali

za mwili na hupewa majina kutokana na
ulipojitokeza,mfano ngiri ya
tumbo huitwa'Abdominal
Hernia',watoto wanaozaliwa na
vitovu vikubwa'Umbilical

Hernia',sehemu ya haja kubwa'Anal Hernia'.Dalili
hazitofautiani hata hivyo ngiri
hujitokeza bila maumivu yoyote
isipokuwa kuna baadhi ya ngili
hujitokeza na maumivu makali

hutegemea ngiri ilivotokeza.

DALILI:Uvimbe
unaoteremka kuingia ndani ya
korodani'Direct Scoratal inguina
Hernia',uvimbe unaojitokeza
tumboni na kuteremka hadi

ndani ya korodani dalili zake ni kuvimba uvimbe unaotoka
tumboni na kuteremka hadi
ndani ya korodani,uvimbe huu
hauumi na unaweza
kurudishwa kwa urahisi iwapo

mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole,uvimbe
huu ukikubali kurudi ndani
huitwa''Reduible direct scrotal
inguinal hernia'icpokubali
kurudi tumboni hupewa jina

la'Irreduible direct scrotal inguinal hernia'.

USHAURI:Ni
vema uwahi kwa Dkt.

unapogundua tatizo.
Samahan naomba uongelee kuhusu epigastric hernia..vp inaweza tibka bila upasuaji?ndg yng ana kauvimbe kwny epigastric area.kaambiwa ana iyo hernia.anaogopa upasuaji sababu watu wamemwambia hernia ya hvyo hujirudia ht baada ya upasuaju.Naomba maelezo kuhusiana na il.Asanten
 
Samahan naomba uongelee kuhusu epigastric hernia..vp inaweza tibka bila upasuaji?ndg yng ana kauvimbe kwny epigastric area.kaambiwa ana iyo hernia.anaogopa upasuaji sababu watu wamemwambia hernia ya hvyo hujirudia ht baada ya upasuaju.Naomba maelezo kuhusiana na il.Asanten
Mkuu ninaweza kumtibia haya maradhi yake ya Epagastric Hernia kwa dawa zangu za asili na akapona bila ya upasuaji ukihitaji dawa zangu. Ukiwa na Shida yoyote ile na Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

what-epigastric-hernia.jpg
 
Mkuu ninaweza kumtibia haya maradhi yake ya Epagastric Hernia kwa dawa zangu za asili na akapona bila ya upasuaji ukihitaji dawa zangu. Ukiwa na Shida yoyote ile na Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
ok.thanks
 
Habari wakuu
Naomba ufahamu kuhusu ugonjwa wa ngiri
Sababu zinazofanya mtu apate ngiri
Ugonjwa unaanzia wapi
Madhara yake ni yapi
Na matibabu yake pia
 
Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.

Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni).


Tatizo la ngiri huweza kumpata mtu yeyote. Miongoni mwa vitu vinavyoweza kumsababisha mtu apate ugonjwa wa ngiri ni: Kuwa na uzito mkubwa wa mwili au kuongezeka uzito kwa ghafla, kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito, tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu, ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua pia kuharisha au kuvimbiwa (Constipation). Vitu hivyo pamoja na mtu kuwa na misuli au tishu zilizopoteza uimara au uwazi (opening or hole) humfanya mtu apate ngiri (hernia).

Ngiri hutambuliwa kwa kutokea kitu kama uvimbe au kujaa katika eneo husika (baadhi ya maeneo yametajwa hapo juu) na pia kwa kufanyiwa uchunguzi wa mara kwa mara na daktari huwezesha kugundua tatizo hili.

Njia inayoweza kutatua tatizo hili ni kwa mtu mwenye ngiri kufanyiwa upasuaji ili kurekebisha misuli au tishu zilizolegea. Pia kutegemeana na kihatarishi cha tatizo hili, mtu unaweza kuwa unafanya mazoezi ili kupunguza uzito wako na kuweka utaratibu mzuri wa kula chakula kinachojumuisha mboga mboga au matunda yenye nyuzi nyuzi (fibers), hii itasaidia pia mmeng’enyo (digestion) wa chakula tumboni na kuepusha kuvimbiwa. Matunda (Vitamin C) husaidia kuunganisha tishu zilizolegea na pia husaidia kupona haraka kwa sehemu iliyofanyiwa upasuaji (operesheni). Na kama tatizo lako ni la kukohoa kwa muda mrefu kunakosababishwa na uvutaji wa sigara, ni vyema ukasitisha uvutaji ili kupunguza madhara au makali ya ngiri lakini pia kusitisha sigara kwa ajili ya usalama wa afya yako.
07233ddc620ad54622005d7b46d9077f.jpg
 
Nina Rafiki angu ambaye amekumbana na ugonjwa huo wa mshipa wa ngiri, imefika sehemu akanieleza nimpe msaada lkn mm sina msaaada ,nikaona ni vema nilete humu kwa madoctor wa JF waweze kumsaidia maana mshipa wake wa ngiri unashangaza !!

Haukui upo pale pale yaani umevimba kidogo sana siyo kama mishipa za ngiri nyingine na sasa ameniambia yapata miaka mitatu pako vile vile ,sasa anaomba msaada maana majibu yenu ndo msaada tosha.
 
ngiri inatibika, kama anaweza kufika nyarugusu au km anaweza pata mtu akamuagiza dawa toka Congo aweza pona. but ni kupiga bomba ila moja tu.
 
mshipa wa ngiri?
unakuhusu nini au hao ngiri umewafuga?
Mbona sheria hairuhusu?
 
MSAADA:kwa kwenye uelewa Wa tatizo LA ngiri maji (hernia)


Wana jf
Yapata sasa miaka 4 nimekuwa nikisumbuliwa na ngiri maji (hernia) naomba msaada wenu nini tiba yake
 
Dah! Kuna henia ambayo husababisha mtu kutojisikia kufanya tendo la ndoa na maumivu katika kiuno na viungo vingine?
 
Hofu ni ugonjwa mkubwa sn ona sasa mateso yote hayo sababu ya hofu...
 
Back
Top Bottom