Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

mdogo wangu amewahi kuumwa ngiri kama miaka 5 {now ana age[ 24]}iliyopita akatumia tiba asili akapona na mzigo akawa anapiga kama kawa..lakini ana kama wiki 2 zimepita anazisikia dalili tena za ngiri..tumbo kujaaa gesi, mgongo unauma, pu,.mb 1 dg 1 kubwa... kukosa hamu ya papuchi nk lakini yey yupo mazingira ya joto tu la kawaida..
labda tumsubiri dr wetu mzizi aje atufahamishe hapa kwa faida ya wengi..
 
ngoja tuombe ushauri kwa dr wetu MziziMkavu aje atuambie kama vina uhusiano na juu ya tiba ya ngiri
 
Last edited by a moderator:
mdogo wangu amewahi kuumwa ngiri kama miaka 5 {now ana age[ 24]}iliyopita akatumia tiba asili akapona na mzigo akawa anapiga kama kawa..lakini ana kama wiki 2 zimepita anazisikia dalili tena za ngiri..tumbo kujaaa gesi, mgongo unauma, pu,.mb 1 dg 1 kubwa... kukosa hamu ya papuchi nk lakini yey yupo mazingira ya joto tu la kawaida..
labda tumsubiri dr wetu mzizi aje atufahamishe hapa kwa faida ya wengi..

Asante kwa kunipa huo uzoefu, mkuu. Kumbe mgonjwa anaweza kukaa muda mrefu hv bila operesheni? Nimefanikiwa kumpa dogo dawa ya mizizi ya mmea wa mturatura ( Solanum incanum)--nimeitwanga mizizi, pamoja na magamba yake, nikachanganya maji kidogo, nikaikamua na kumpa dogo kimiminika chake. Sasa walau maumivu yametulia na hata ameweza kula chakula amekula--mwanzo alikuwa hawezi kula kabisa, maumivu yalikuwa makali. Ngoja niendelee kumwangalia hadi monday nimpeleke hospital aka-undergo surgery. Nakushukuru sana.
 
Asante kwa kunipa huo uzoefu, mkuu. Kumbe mgonjwa anaweza kukaa muda mrefu hv bila operesheni? Nimefanikiwa kumpa dogo dawa ya mizizi ya mmea wa mturatura ( Solanum incanum)--nimeitwanga mizizi, pamoja na magamba yake, nikachanganya maji kidogo, nikaikamua na kumpa dogo kimiminika chake. Sasa walau maumivu yametulia na hata ameweza kula chakula amekula--mwanzo alikuwa hawezi kula kabisa, maumivu yalikuwa makali. Ngoja niendelee kumwangalia hadi monday nimpeleke hospital aka-undergo surgery. Nakushukuru sana.
hauna jina lingine huu mmea.. kuna mizzi ya mlimao lemmon} pia nasikia inasaidia sana..
 

hauna jina lingine huu mmea.. kuna mizzi ya mlimao lemmon} pia nasikia inasaidia sana..

mkuu, jina nnalofahamu ni hilo tu--watu wengine huuita mtura, matunda yake huitwa tura hupendwa sana kuliwa na mbuzi (kwa wale wenzangu na mimi tuliochunga mbuzi huko kijijini mtakuwa mmenifahamu)
 
Mimi pia niliwai sumbuliwa sana na uwo ugonjwa na nilikula dawa mbali mbali za asili ila mwisho wa siku nilipigwa nyembe na sasa namshukuru M/mungu nipo sawa sina athali ya barid wala joto.

Sent from my BlackBerry 978 using JamiiForums
 
Mara nyingi tumekuwa tukisikia watu (hasa wanaume) wakitakiwa kukaa mbali na baridi kuwaepusha wasipatwe na ugonjwa wa ngiri. Hivi kuna uhusiano gani kati ya ugonjwa wa ngiri (hernia) na baridi? Baridi huchangiaje uwepo wa ugonjwa huu?

Nauliza hivi kwa sababu kuna mtoto wangu wa kiume mwenye umri wa miaka 4 amepatwa na ugonjwa huu na ninahisi mara nyingi dada anamuacha anakuwa exposed sana kwenye baridi. Ana maumivu ambayo kuna wakati yanapungua na wakati yanaongezeka na sehemu zake za siri zimesinyaa sana (zinafanana kama za mtoto mchanga).

Kuna baadhi ya watu wananishauri nitafute tiba ya asili na wengine wanasema hakuna kitu kama hicho, wanadai kwamba tiba yake ni operesheni tu. Nipo njia panda. Ushauri wenu ni muhimu sana, wakuu. Natanguliza shukurani.

UGONJWA MSHIPA WA NGIRI HERNIA/HYDROCELE'

Ni ugonjwa unaowapata wanaume
na wanawake wa rika
zote.Mshipa wa ngili ni jina

linalokusanya magonjwa kama ngiri kavu'Hernia',ngiri
maji'Hydrocele'na ngiri
nyinginezo kama vile kuvimba
kokwa au mfereji unaopitisha
manii' Epididmorchitis'.



NGIRI KAVU 'HERNIA' Aina hii ya ngiri huwapata wanawake na
wanaume tu.Ngiri kavu
inapopata M'mke
huitwa'Fermoral Hernia'kwa
wanaume'Scrotal hernia'kwa

maana halisi ngili au mshipa wa ngili ni hali inayotokea ktka
mwili wa binadamu ambapo
sehemu fulani ya nyama ya
viungo mbalimbali vya mwili
hujipenyeza kupitia sehemu

dhaifu ya mwili na kutokeza upande wa pili.Sehemu hiyo
inayoathiriwa mara nyingi
huwa ni maeneo ya
tumbo,kokwa,pumbu nk
ambapo baadhi ya viungo vya

mwili vilivyomo tumboni hujipenyeza kupitia vitundu
vinavopitisha mishipa ya
fahamu inayohudumia
kokwa'Spesmatic Cord'hivyo
baada ya kujipenyeza

huteremka hadi ndani ya korodani hali ambayo
hukamilisha kuwepo kwa
ugonjwa wa mshipa wa
ngiri.Hata hivyo mshipa wa ngili
hujitokeza sehemu mbalimbali

za mwili na hupewa majina kutokana na
ulipojitokeza,mfano ngiri ya
tumbo huitwa'Abdominal
Hernia',watoto wanaozaliwa na
vitovu vikubwa'Umbilical

Hernia',sehemu ya haja kubwa'Anal Hernia'.Dalili
hazitofautiani hata hivyo ngiri
hujitokeza bila maumivu yoyote
isipokuwa kuna baadhi ya ngili
hujitokeza na maumivu makali

hutegemea ngiri ilivotokeza.

DALILI:Uvimbe
unaoteremka kuingia ndani ya
korodani'Direct Scoratal inguina
Hernia',uvimbe unaojitokeza
tumboni na kuteremka hadi

ndani ya korodani dalili zake ni kuvimba uvimbe unaotoka
tumboni na kuteremka hadi
ndani ya korodani,uvimbe huu
hauumi na unaweza
kurudishwa kwa urahisi iwapo

mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole,uvimbe
huu ukikubali kurudi ndani
huitwa''Reduible direct scrotal
inguinal hernia'icpokubali
kurudi tumboni hupewa jina

la'Irreduible direct scrotal inguinal hernia'.

USHAURI:Ni
vema uwahi kwa Dkt.

unapogundua tatizo.
 
UHUSIANO NA BARIDI ....wakati wa baridi muscles around spermatic cord zina contract and kwa mtu mwenye hernia means kuna abdominal parts zimeingia kwenye spermatic cord thus ile contraction kutokana na batidi hupelekea maumivu.....
 
sorry kwa usumbuf dk najua hii mada ushailezea sana.. kwa upande wangu mm tiba za hospitali mara nyingi sizpend hasa kwa magonjwa haya yanayohitaji upasuaaji... simple way kuondokana na tatizo kama hilo kwa tiba mbadala ambayo hata nyumbani nikikaa naweza jitibia ni ipi haswa...???
 

UGONJWA MSHIPA WA
NGIRI HERNIA/HYDROCELE'

Ni ugonjwa unaowapata wanaume

na wanawake wa rika
zote.Mshipa wa ngili ni jina

linalokusanya magonjwa kama ngiri kavu'Hernia',ngiri

maji'Hydrocele'na ngiri
nyinginezo kama vile kuvimba
kokwa au mfereji unaopitisha
manii'Epididmorchitis'.NGIRI

KAVU'HERNIA'Aina hii ya ngiri huwapata wanawake na

wanaume tu.Ngiri kavu
inapopata M'mke
huitwa'Fermoral Hernia'kwa
wanaume'Scrotal hernia'kwa

maana halisi ngili au mshipa wa ngili ni hali inayotokea ktka

mwili wa binadamu ambapo
sehemu fulani ya nyama ya
viungo mbalimbali vya mwili
hujipenyeza kupitia sehemu

dhaifu ya mwili na kutokeza upande wa pili.Sehemu hiyo

inayoathiriwa mara nyingi
huwa ni maeneo ya
tumbo,kokwa,pumbu nk
ambapo baadhi ya viungo vya

mwili vilivyomo tumboni hujipenyeza kupitia vitundu

vinavopitisha mishipa ya
fahamu inayohudumia
kokwa'Spesmatic Cord'hivyo
baada ya kujipenyeza

huteremka hadi ndani ya korodani hali ambayo

hukamilisha kuwepo kwa
ugonjwa wa mshipa wa
ngiri.Hata hivyo mshipa wa ngili
hujitokeza sehemu mbalimbali

za mwili na hupewa majina kutokana na

ulipojitokeza,mfano ngiri ya
tumbo huitwa'Abdominal
Hernia',watoto wanaozaliwa na
vitovu vikubwa'Umbilical

Hernia',sehemu ya haja kubwa'Anal Hernia'.Dalili

hazitofautiani hata hivyo ngiri
hujitokeza bila maumivu yoyote
isipokuwa kuna baadhi ya ngili
hujitokeza na maumivu makali

hutegemea ngiri ilivotokeza.DALILI:Uvimbe

unaoteremka kuingia ndani ya
korodani'Direct Scoratal inguina
Hernia',uvimbe unaojitokeza
tumboni na kuteremka hadi

ndani ya korodani dalili zake ni kuvimba uvimbe unaotoka

tumboni na kuteremka hadi
ndani ya korodani,uvimbe huu
hauumi na unaweza
kurudishwa kwa urahisi iwapo

mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole,uvimbe

huu ukikubali kurudi ndani
huitwa''Reduible direct scrotal
inguinal hernia'icpokubali
kurudi tumboni hupewa jina

la'Irreduible direct scrotal inguinal hernia'.USHAURI:Ni

vema uwahi kwa Dkt.
unapogundua tatizo.

Doctor nakushukuru sana kwa elimu yako, imenifungua macho kwa kiasi kikubwa sana. Naona hii hernia iliyompata mwanangu ipo kwenye kundi la REDUCIBLE HERNIA. Baadaye tatizo liliisha lenyewe na sasa anaendelea na maisha yake ya kawaida. Sijui tatizo litarudia tena au vipi, lakini ngoja nimsikilizie kwanza. Be blessed a lot our Dr!
 
UHUSIANO NA BARIDI ....wakati wa baridi muscles around spermatic cord zina contract and kwa mtu mwenye hernia means kuna abdominal parts zimeingia kwenye spermatic cord thus ile contraction kutokana na batidi hupelekea maumivu.....

Ubarikiwe sana mkuu. Kumbe ni kwamba kukaa kwenye baridi hakusababishi tatizo isipokuwa kuna-aggravate tatizo la hernia kwa mtu ambaye tayari ana tatizo hilo. Asante kwa ufafanuzi mzuri.
 
Vp inauhusiano nakupungua nguvu za kiume kabla na baada ya upasuaji?
 
Ndugu God bell,
Pole kwa maumivu.

Kwanza niseme kuwa kwa kiswahili bado kuna mkanganyiko wa neno Ngiri. Wapo wanoiita ngiri kwa maana ya busha (hydrocele), na wengine huita ngiri (Hernia) ambayo ni sehemu ya viungo kuingia sehemu nyingine kwasababu ya kuwa l'oose'

Kwa maelezo yako nadhani unaongelea abdomen hernia ambayo sehemu ya utumbo hutumbukia katika hasua. Hii ni kwasababu sehemu inayozuia (kiwambo) inakuwa imeachia. Utumbo huingia huko na kukuletea maumivu. Siyo maradhi yanayosababishwa na wadudu, hutokea hata kwa watoto wadogo au watu wazima ambao hufanya kazi za nguvu n.k.

Hakuna dawa inayotibu bali zinazopunguza maumivu. Mara nyingi ukilala na taratibu kusukuma hicho unachokihisi kurudi juu, basi hali inaweza kutulia. Itajirudia tena tena kwasababu umesogeza tu lakini hujazuia.

Matibabu yake ni operesheni ya kufunga sehemu hiyo. Matibabu hayo ni muhimu sana kwasababu inaweza kutokea kuwa utumbo umeingia ukajikunja na kushindwa kupitisha damu (strangulated hernia) hivyo sehemu hiyo itaoza na kuweza kuleta madhara makubwa zaidi tusiyotarajia.
Hutokea nadra lakini inapotokea hujui utakuwa sehemu gani ya huduma muhimu na za haraka hapo unaweza kujikuta katika wakati mgumu sana kimaumivu na pengine kimaisha.

Tafadhali kawaone madaktari katika hospitali kubwa kwa ushauri zaidi.

Mkuu nimeuona huu uzi nisaidie pia. Mimi ilitokea zamani sana nilipigwa na barid kali nikahikuta sehemu moja ya kende haipo nadhani ilizama ndani. Nafanya sex kama kawaida sisikii maumivu yeyote. Sina hakika kama ilizama au ilisinyaa maana nilikuja kusitukia tu nina nanii moja.

Naomba ushauri tafadhari na jee hali hii ni hatari kiasi gani
 
Mkuu nimeuona huu uzi nisaidie pia. Mimi ilitokea zamani sana nilipigwa na barid kali nikahikuta sehemu moja ya kende haipo nadhani ilizama ndani. Nafanya sex kama kawaida sisikii maumivu yeyote. Sina hakika kama ilizama au ilisinyaa maana nilikuja kusitukia tu nina nanii moja.

Naomba ushauri tafadhari na jee hali hii ni hatari kiasi gani
Kabla sijajibu swali lako naomba niweke sawa manenoya Kiswahili ili twende pamoja.

Ashakumu si matusi, natangauliza msamaha kwa lugha yenyeukakasi. Si makusudi ni katika elimu,hakuna namna nitakayoeweka vizuri kamasi kuweka mambo haya bayana.

Kwanza, lile fuko lote ndilo linaitwa pumbu kwa lugha yetu.
Zile tembe zinaitwa hasua, korodani au kende. Matumizi ya maneno hayayanategemea umri kwa lugha fasaha.


Mfano, wazee na watu wa makamu watasema wana matatizo katika hasua.
Vijanawatasema korodani, na chini ya miaka 16 ni kende, na chini ya hapo ni tembe
au ndude.
Watoto wdogo wa miak 6 au chini ksema ana tatizo lakorodan, hasua, pumbni tusi, ugha njema ni ndude au tembe

Sijui una umri gani, naomba ufanye selfservice ya sehemuinayokufaa.
Kuhusu tatizo lako, kimaumbile korodani, hasua n.k. hupandana kushuka kutoka katika fuko lile kubwa.
Lile fuko hurekebisha joto la mwiliili kulinda uharibifu unaoweza kutokea kwa zile bidhaa laini


Wakati wa baridi hupanda juu na wakati wa joto huteremkakama kupunga upepo.
Ni mambo ya kawaida kifiziojia

Kwa upande wako, hiyo mojailiyopanda na kutoweka ni tatizo.
Kwa kawaida hupanda zote na kuremeka kwapamoja kwakuwa zinafanya kazi kwa muundo sawa.


Sioni tatizo la haraka la tishio la maisha. Ninachokona nimatatizo ya kibaolojia.
Athari zake hazipo wazi hadi itakapofahamika kwaninimoja imekwama huk darini

Na hapo ndipo nina concern kuhusu uzazi tu, na hiyo haina maanahutafanikiwa.


Ni sawa na kutembea na gari shock absorber moja imevunjika.Gari litakwenda, lakini je ni njia sahihi ?
Na je hatuhitaji kwenda gerejikurekebisha?


Kwa mukatadha naomba ukamuone mtaalamu wa mambo ya njia zamkojo, Urologist nina uhakika ataweza kutanzua kitandawili chako. Hata hivyohakuna hofu kwa sasa.



cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru sana Dk kwa Maelezo mazuri. Nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa huu kwa muda mrefu nilibahatika kupata dawa nikapona kabisa. Ambaye atahitaji msaada anaweza kuwasiliana na Dk aliyenipatia dawa kwa simu yake, 0719828676
 
Back
Top Bottom