Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
[emoji3][emoji3][emoji3]kumbe sna undugu na ngiri
Unayo, Waswahili wanasema Mchango/Chango
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]kumbe sna undugu na ngiri
Wee ulijuaje ama ushahidi wako ni wa kusikia?
Jomoni kuna wanawake wana korodani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wacha fujo zako
ugonjwa huu unazibeba kirodani nje zinakoning'nia na kuzificha ndani haswa nyakati za baridi na kusababisa maumivu makali sana. Kwa wanawake sijui labda wale wanawake waliotunukiwa korodani wanaweza kuupata [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Usijali kuna tiba! Unafanyiwa upasuaji wanakuwekea gololi ama vile vipira vya golf!Ni wewe umeandika jamani kuwa zinapotea na kurudi. Me sijawahi kuona nasikia tu mkuu
Hata mwanamke anaweza kuugua hernia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wacha fujo zako
ugonjwa huu unazibeba kirodani nje zinakoning'nia na kuzificha ndani haswa nyakati za baridi na kusababisa maumivu makali sana. Kwa wanawake sijui labda wale wanawake waliotunukiwa korodani wanaweza kuupata [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Ndio mkuu akagoma kuniambia ukweliAma ulimtembelea shem siku moja tule tuball twake kama mpira wa golf tukawa tumetokeka?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mnyamaNi ugonjwa wa ngiri
Umejuaje ni henia?Habari wana-JF
Nasumbuliwa sana na ugonjwa wa mshipa wa ngiri, kiingereza wanaita henia(haiandikwi hivi kizungu), but concept, tangu nikiwa mdogo na daktari mmoja hospital ya kitete Tabora alithibitisha nina hernia na alishauri ukinishika gafla nipelekwe hosp kwa ajili ya kufanyiwa oparesheni.
Leo ni siku ya tano umenishika, naumia sana tumbo mkono wa kulia karibu na nyonga nimekwenda hospitali wamenifanyia ultrasound wanasema sio hernia ila ni Kidney enlarged with severe hydromephosis wamenipa dawa lakini za kumeza lakini bila bila no changes sasa wataalam wa hernia naomba msaada nitumie dawa gani japo na ile niliyopewa hospitali natumia?
Tafuta shubiri (ya dukani), tia kwenye maji ya moto, kunywa. Inapatikana kwenye maduka ya tiba mbadala za kisuna.Nmejua ni hernia kwa sababu tangu nmeanza kuumia tumbo, hata korodani hazionekani
Asante kwa ushaurTafuta shubiri (ya dukani), tia kwenye maji ya moto, kunywa. Inapatikana kwenye maduka ya tiba mbadala za kisuna.
Ila kama umezoea vitu vitamu jipange maana ni zaidi ya chloroquine!Asante kwa ushaur
Duuuuh, sio mbaya cha msingi ni kuponaIla kama umezoea vitu vitamu jipange maana ni zaidi ya chloroquine!
Usinywe nyingi maana inapandisha nyege pia. Kadria kiasi cha kidonge cha panado kwenye kikombe cha chai, kunywa yote!Duuuuh, sio mbaya cha msingi ni kupona