Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

Chemsha Majani ya Mwarubaini unywe kikombe 1 asubuhi mchana na usiku utapata nafuu.Ukitaka Kulimaliza hilo Tatizo kabisa nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upone na upate kusahau kabisa hayo maradhi yako.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
We jamaa unaendeleaje?
 
Me kuna dawa nilitengenezewa na bibi yangu mwaka wa NNE sasa Niko pouwa maana a-level ilinisumbua saana nnayo hadi Leo ni ya miti Shamba lakini
 
Chemsha mizizi ya mbuyu isipopata nafuu nahamia CCM
 
Mkuu umetibiwa
 
Nenda Hosp iliyo karibu yako, Mkumbuke Mungu wako.
 
Wakuu samahani naomba kuuliza, hivi ugonjwa wa ngiri unaweza kusababisha mgonjwa akashindwa kukaa na kupata maumivu kiuononi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…