Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

Mkuu Riwa, kwanza nikupongeze kwa kuonesha umahili wako hapa kwa sababu baada ya kwenda kuonana na daktari alionekana kutoshtuka kabisa as if ni mgonjwa mdogo sana. Amenipa dawa ya miezi miwili (opromazole) nirudi mwezi julai.Nalinganisha na kauli yako hapo kwenye blue
Je hao psychiatrist wanapatikana hospitali zipi?

Tanzania tuna uhaba wa Psychiatrists, Hospitali binafsi nyingi wanaenda kwa calls na sio regular clinics. Muhimbili ndio kuna regular clinics. Kama utapenda naweza kukuunganisha na psychiatrist wawili ambao nawahafahamu binafsi (wanafanya kazi Muhimbili), ukaonana naye (mmoja wao) halafu akaona kama utahitaji regular clinic akakushauri awe anakuona wapi. PM kama utapenda msaada huo.
 
asante sana mkuu
nakushauri ujitahidi sana kusahau yaliyopita jitahidi sana sana na hizi hospitali za vichochoroni usiende watakuua na presha bure :je huyo msichana alikuja fariki???????
 
nakushauri ujitahidi sana kusahau yaliyopita jitahidi sana sana na hizi hospitali za vichochoroni usiende watakuua na presha bure :je huyo msichana alikuja fariki???????

Yaani nilishasahau kabisa mkuu. Nimeoa na nina watoto wawili sasa na kusema kweli sina mawazo kabisa ukiachia mbali hizi stress za kawaida za kazini na maisha kwa ujumla. Msichana kwa kweli sina taarifa naye kabisa but mazingira huwa yananituma kuwa yupo hai
 
Habari wakuu, Alianza kuumwa upande wa kulia wa tumbo,akahisi ni vidonda au kichomi!,baada ya kupima kaambiwa ana ugonjwa wa hernia,yaan ana mafuta hapo panapouma!,kapewa dawa,asipo pona atafanyiwa upasuaji!
Wakuu,kuna dawa mbadala ya kumsaidia huyu ndugu yangu?ana miaka 20 tu,msaada tafadhali.
 
Maelezo uliyotoa yanakinzana sana kati ya hernia na uvimbe wa mafuta. Hernia ni pale utumbo au viungo vilivyopo ndani ya tumbo au sehemu yeyote iliyofungika kutokeza nje kupitia vitundu asilia au vya kutengenezwa na binadamu kama vile upasuaji.
Hernia inaweza kutokea kwenye kitovu,kinena, kutokana na ukubwa wa hayo matundu. Vile vile mtu anapofanyiwa upasuaji wa tumbo kama daktari aliyemfanyia hajafunga vizuri kidonda utumbo unaweza kupenya na kusababisha uvimbe hiyo wataalam wanaiita incisional hernia.
Uvimbe wenye mafuta unaitwa lipoma, mara nyingi hauna maumivu, kama ni wenyewe nenda ukaonane na daktari kwa uchunguzi zaidi.
 
Habari wakuu, Alianza kuumwa upande wa kulia wa tumbo,akahisi ni vidonda au kichomi!,baada ya kupima kaambiwa ana ugonjwa wa hernia,yaan ana mafuta hapo panapouma!,kapewa dawa,asipo pona atafanyiwa upasuaji!
Wakuu,kuna dawa mbadala ya kumsaidia huyu ndugu yangu?ana miaka 20 tu,msaada tafadhali.

Ngiri Kwa ushauri wangu mimi nenda hospitali kafanyiwe uchunguzi na ikiwezekana fanya Oparesheni ya Ngiri. Ngiri zipo za aina mbili moja ya chini ya tumbo ya ndani na moja ni ya

Mshipa kushuka yaani mapumbu 2 kujaa maji kwa lugha ya kipwani (Mwinyi) nakushauri bora ukafanyiwe Oparesheni kuliko kutumia Dawa za kienyeji zinatuliza tu Dawa kubwa ya ngiri ni upasuaji tu wa Hospitalini.



Mzizi Mkavu,nk
Dawa ya maradhi ya Hernia ngiri ni kufanya operesheni.

rafiki hebu msaidie huyu kijana
aende .kuondowa hiyo ngiri Dawa za kienyeji zinatuliza tu ugonjwa unabaki pale pale ni mshipa mdogo tu dawa yake ni kutolewa hospitalini.
 
Last edited by a moderator:
msaada wenu unahitajita wataalam, korodani moja imeshuka sana moja imepanda kidogo...iliyopanda ndo inayouma maumivu mpaka upande wa mtoki na tumboni na chini ya kitovu kwa mbaali....natanguliza shukrani.
 
Wasiliana na huyu atakupatia dawa ya asili 0755572353 anaitwa Dr. Musyangi. Dawa sake zapatikana maeneo ya Kariakoo maana ana kituo pale
 
msaada wenu unahitajita
wataalam, korodani moja imeshuka sana moja imepanda
kidogo...iliyopanda ndo inayouma maumivu mpaka upande wa mtoki na
tumboni na chini ya kitovu kwa mbaali....natanguliza shukrani.

dokta komba yuko karibu na pugu seköndar barabara ya kwenda majohe huyu ni dokta mstaafu ni mbaya kwa op za hernia nenda ukale kisu mkuu
 
Ngiri ni ugonjwa wa hatari sana.Ugonjwa huu huwapata watu wanawake na watoto.

Ni hali inayotekea katika mwili wa binadamu,ambapo sehemu ya nyama mbalimbali ya mwili hujipenyeza kupitia sehemu dhaifu ya mwili na kujitokeza upande wa pili ndani ya mwili.

Sehemu zinazoathiriwa na ngiri mara kwa mara ni Tumao,kokwa,pumbu n.k.Baadhi ya viungo vilivyoko tumboni hujipenyeza kupitia vitundu vinavyopitisha mishipa ya fahamu inayohudumia kokwa(spesimatic cord).

Hivyo baada ya kujipenyeza huteremka ndani ya korodani.dalili-ngiri hujitokeza bila maumivu ila inategemeana na jinsi ilivyojitokeza,maumivi kwenye korodani,uvimbe unaoingia ndani ya korodani n.k.pia uvimbe ule unaweza kurudishwa kirahisi iwapomgonjwa tata lala chali na kusukumwa kwa kidole.ukiona tatzo kama hili wahisitari,pia hernia inaweza kutibika kwa njia ya upasuaji.

Nina dawa inayotibu ngiri(hernia).ni dawa nzurisana huwa inarudisha na kuviweka viungo ktk sehemu ake,nidawa ya asili.

kama unatatizo hilo wasiliana nami.

0759217720
 
Hiyo dawa inaweza kutoa bonge pembeni ya mbegu? Na ni kweli ili tatizo hupelekea penis kukosa nguvu ya kusimamaa?
 
Mara nyingi tumekuwa tukisikia watu (hasa wanaume) wakitakiwa kukaa mbali na baridi kuwaepusha wasipatwe na ugonjwa wa ngiri. Hivi kuna uhusiano gani kati ya ugonjwa wa ngiri (hernia) na baridi? Baridi huchangiaje uwepo wa ugonjwa huu?

Nauliza hivi kwa sababu kuna mtoto wangu wa kiume mwenye umri wa miaka 4 amepatwa na ugonjwa huu na ninahisi mara nyingi dada anamuacha anakuwa exposed sana kwenye baridi. Ana maumivu ambayo kuna wakati yanapungua na wakati yanaongezeka na sehemu zake za siri zimesinyaa sana (zinafanana kama za mtoto mchanga).

Kuna baadhi ya watu wananishauri nitafute tiba ya asili na wengine wanasema hakuna kitu kama hicho, wanadai kwamba tiba yake ni operesheni tu. Nipo njia panda. Ushauri wenu ni muhimu sana, wakuu. Natanguliza shukurani.
 
Back
Top Bottom