T.Mwambungu
Senior Member
- Jan 25, 2013
- 198
- 43
<br />Likiwa tamu sana halizuru ila yale machachu noma yana acid nyingi
Thnx,heligo ninayotumia ina lansoprazole,tinidazole na clarithromycin pamoja na ant acid Relcer gel.Pole! Currently oligo kit should contain clarithromycin,amoxycillin and any of the Pi's eg omeprazole! Are u on that? Pm me for a brief talk of ur situation.
Mmh mkojo..!!!??,niliambiwa na doctor ninabacteria wanaoitwa h.pylori na ndio wanasabisa vidonda,hivyo ili nipone inabidi wauliwe kwa antibiotic,sasa je mkojo unaweza kuwauwa?,na doctor alisema pia wadudu hao niwagum sn kufa.Ila asante sana kwa ushaur wako maana nimeshatumia dawa nying sn bila mafanikio.,Mkuu Tumaah Hiyo Dawa unayotumia iache kuitumia kama inakuletea madhara. Nikupe Dawa ya kutumia kwa muda wa siku 10 utakuwa umeshapona hivyo vidonda vyako vya Tumbo? Je utaweza kutumia Mkojo wako mwenyewe asubuhi kabla ya kula kitu ukaukinga mkojo wako mwenyewe kipimo cha glasi 1 ukanywa kwa muda wa siku 10 baada ya huo muda nenda Hospitali ukapime hivyo Vidonda vyako vya tumbo utakuta umekwisha pona nina kuhakikishia kwa asililmia 100%100 ukifanya hivyo utapona ukiweza jaribu kutumia kisha unipe Feedback. Hakuna Dawa Hospitali yenye kuponyesha Vidonda vya Tumbo.
Mkuu Tumaah Kama Doctor kashindwa kuwauwa hao wadudu kwa dawa za hospitali mimi nitawauwa kwa dawa zangu za kienyeji nitawauwa haoMmh mkojo..!!!??,niliambiwa na doctor ninabacteria wanaoitwa h.pylori na ndio wanasabisa vidonda,hivyo ili nipone inabidi wauliwe kwa antibiotic,sasa je mkojo unaweza kuwauwa?,na doctor alisema pia wadudu hao niwagum sn kufa.Ila asante sana kwa ushaur wako maana nimeshatumia dawa nying sn bila mafanikio.,
Asante sn ndg yangu nimekuelewa na nitaufanyia kaz ushaur wako.Asante sana na MUNGU AKUBARIKI kwa somo zur ulilonipa.Mkuu Tumaah Kama Doctor kashindwa kuwauwa hao wadudu kwa dawa za hospitali mimi nitawauwa kwa dawa zangu za kienyeji nitawauwa hao Bacteria wakitaka au wasitake tumia huo Mkojo kila siku asubuhi unapoamka kabla ya kula au kunywa kitu nenda zako chooni kojoa mkojo wako mwenyewe ukinge kipimo cha glasi moja unywe kisha kaa baada ya saa moja kunywa tena dawa moja inaitwa shubiri inapatikana Hapo karibu na Sokoni Kariakoo mtaa wa pemba wanakouza dawa za kiarabu Wapemba waulize Shubiri watakupatia ukisha pata hiyo shubiri njoo nayo nyumbani matumizi yake fanya hivi:uikate kidogo kidogo kwa kipimo cha size ya punje 1 ya mtama ikifika usiku hiyo shubiri size ya punje ya mtama uitie ndani ya nusu glasi ya maji ya kunywa uiroweke usiku kucha asubuhi baada ya saa 1 kupita kwisha kunywa ule mkojo wako kunywa tena hiyo shubiri itakusaidia kuwauwa hao wadudu wa Bacteria wa h.pylori unywe hiyo dawa ya shubiri kama nilivyokueleza matumizi yake hapo juu, kwa muda wa siku 3 mfululizo siku ya 4 acha usinywe hiyo dawa ya shubiri siku ya 5 inayofuatia endelea kunywa mpaka siku 8 ikifika siku hiyo 8 malizia kunywa usinywe tena siku inayofuata itakuwa teyari wamesha kufa hao wadudu malizia Dawa yako ya mkojo siku hizo 10 baada ya siku 10 nenda kapime kwa Daktari utakuta huna tena Vidonda vyako vya Tumbo ukiniamini fanya hivyo hukuweza kuniamini shauri yako pole sana.Usiogope Hiyo Shubiri ni chungu na ukiitumia itakuletea kupata choo hata kama choo hupati kwa urahisi itakusaidia kupata choo kiurahisi. Tumia dawa zangu baada ya siku 10 kupita njoo hapa unipe Feedback. Chanzo.MziziMkavuShubiri au kwa lugha ya kiingereza Aloe Vera Gum.
Mkuu Tumaah Uwe muangalifu unapotumia Dawa zangu nlilzokupa hapo juu usitumie dawa yoyote ile ya hospitalini maliza kutumia hizo dawa zangu 2 moja hiyo ya mkojo wako mwenyewe na ya pili hiyo dawa ya shubiri ukimaliza kutumia nenda Hospitali kapime hivyo Vidond vyako vya tumbo kisha uje hapa unipe Feedback baada ya siku 10 utakuwaumekwisha pona kabisa.Asante sn ndg yangu nimekuelewa na nitaufanyia kaz ushaur wako.Asante sana na MUNGU AKUBARIKI kwa somo zur ulilonipa.
Asante sana,nimekuelewa mkuu.Mkuu Tumaah Uwe muangalifu unapotumia Dawa zangu nlilzokupa hapo juu usitumie dawa yoyote ile ya hospitalini maliza kutumia hizo dawa zangu 2 moja hiyo ya mkojo wako mwenyewe na ya pili hiyo dawa ya shubiri ukimaliza kutumia nenda Hospitali kapime hivyo Vidond vyako vya tumbo kisha uje hapa unipe Feedback baada ya siku 10 utakuwaumekwisha pona kabisa.
Mkuu Tumaah Ninakuhakikishia utapona Akipenda Mwenyeezi Mungu utakuja kunipa Feedback pole sana.Asante sana,nimekuelewa mkuu.
mkuu hao wadudu wanauawa na antibiotics hasa Amoxicilin.Dose ya Amoxicilin kwa wiki moja au mbili inatibu kabisa hao wadudu.Kwa uhakika wa ninachokwambia google utaonaMmh mkojo..!!!??,niliambiwa na doctor ninabacteria wanaoitwa h.pylori na ndio wanasabisa vidonda,hivyo ili nipone inabidi wauliwe kwa antibiotic,sasa je mkojo unaweza kuwauwa?,na doctor alisema pia wadudu hao niwagum sn kufa.Ila asante sana kwa ushaur wako maana nimeshatumia dawa nying sn bila mafanikio.,
Mkuu LEE VAN CLEEF Yes i'm Sure why not?MziziMkavu Are u sure?
Mkuu LEE VAN CLEEF Yes i'm Sure why not?
Wewe Kyodowe unavyofikiria ninampa negative advise huyo dada yenu.@Tummah? Towa na wewe ushauri wako sio kuleta hoja za kupinga hapa tafadhali sana.Mkuu Mzizi mkavu hii prescription yako nafikiri ungetuelezea mode of action la sivyo dada yetu Tummah unaweza kumletea matatizo zaidi. Nimetafakari sana namna ya kumsaidia tofauti na wewe unavyopendekeza lakini naona ajaribu kutupia contact zake humu niangalie namna ya kumsaidia. I am not hiding
anything but only an 'ethical issue'
Mkuu Tumaah Hiyo Dawa unayotumia iache kuitumia kama inakuletea madhara. Nikupe Dawa ya kutumia kwa muda wa siku 10 utakuwa umeshapona hivyo vidonda vyako vya Tumbo? Je utaweza kutumia Mkojo wako mwenyewe asubuhi kabla ya kula kitu ukaukinga mkojo wako mwenyewe kipimo cha glasi 1 ukanywa kwa muda wa siku 10 baada ya huo muda nenda Hospitali ukapime hivyo Vidonda vyako vya tumbo utakuta umekwisha pona nina kuhakikishia kwa asililmia 100%100 ukifanya hivyo utapona ukiweza jaribu kutumia kisha unipe Feedback. Hakuna Dawa Hospitali yenye kuponyesha Vidonda vya Tumbo.
Mkuu Lateni Ukisha kunywa mkojo wako unatakiwa ukaeAsante sana umenisaidia na mimi pia , nitafanya hivo kisha nitaleta feedback kwako, ukishaunywa unatakiwa ukae muda gani ndio ule chakula chochote?