mwaka mzima unakunywa hizo acid inhibitors aah wapi?hiyo regiment siyo.Tumia Rabeprazole, amoxicillin (siku tano), then endelea na rabeprazole, clarithromycin, tinidazole kwa siku tano tena. Baada ya hapo unaweza kumeza omeprazole kwa muda wa mwaka mmoja huku ukifuata mashart mengine. I can assure you that it is effective for 94%.
Shughuli za wataalamu waachie wenyewe. Huwezi neutralize acid kwa maji, instead una-dilute. Kama hydrochloric acid inazalishwa kwa wingi tumboni kutokana na bacteria hasa helicobacter pylori huwezi ukanywa maji uzalishaji ukarudi normal.Kunywa maji ml 500 kila nusu saa kabla ya kula chakula cha asubuhi, mchana na jioni, kisha unahesabu masaa 2 baada ya kila mlo na unywe maji tena ml 500.
Unapokaribia kutaka kula chakula chochote, au ukiwaza kutaka kula au ukiuona tu msosi kwa macho, TUMBONI MWAKO HUZARISHWA haidrokloriki asidi ili kuuandaa na kuusaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. HAIDROKLORIKI ASIDI hii ni lazima ipunguzwe makali (must be neutralized) kabla hujameza chakula. INAPUNGUZWAJE MAKALI? kwa kunywa maji nusu saa kabla ya kula chakula. KAMA HAITAPUNGUZWA MAKALI, ASIDI HIYO HUENDA KUTOBOA KUTA ZA TUMBO na hatimaye taratibu baadaye hukusababishia VIDONDA VYA TUMBO.
Jaribu hivyo kwa wiki 2 mfululizo, ni bure tu kisha unipe feedback
Hii dawa inasemekana ni ya kiasili na inatibu vidonda vya tumbo kwa mujibu wa matangazo ya kwenye tv.
Ambaye ametumia na kupona naomba a-confirm tafadhali kabla sijamwanzishia mama yangu dozi.
Aksanteni.
serikali ilishafungia hawa watu kwa utapeli.
mwaka mzima unakunywa hizo acid inhibitors aah wapi?hiyo regiment siyo.
Matibabu ya vidonda vya tumbo ni ndani ya siku14 tu.kisha unastop kwa mda kama bado unaanza upya ,
Mbona kila siku wanajitangaza star tv?
Shughuli za wataalamu waachie wenyewe. Huwezi neutralize acid kwa maji, instead una-dilute. Kama hydrochloric acid inazalishwa kwa wingi tumboni kutokana na bacteria hasa helicobacter pylori huwezi ukanywa maji uzalishaji ukarudi normal.
Nenda hospitali kafanye H. Pylori test kama itakuwa positive watakupa Heligo kit itakusaidia sana
Mkojo wangu unanukia laga vipi ninywe au..???Hizi ndio tiba mbadala wandugu na siyo utani!
Mkojo wako lakini, siyo wa mtu mwingine na unatibu magonjwa mengi sana.
Wakuu habari za leo, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo tangu mwaka 1993 alipopima na kugundulika kuwa ana matatizo hayo.
Ombi langu kwenu kama kuna mtu nafafahamu dawa ya vidonda vya tumbo hata kama ya kienyeje naomba msaada wenu wa wapi inapatikana na kiasi gani. Alishatumia dawa za aina mbalimbali mpaka ile dozi kubwa ya HELIGO KIT, lakini bado.
Naomba msaada wenu!
Nenda katibu helicobacter pyroli tatizo litakwisha!
Kabeji ndio inayotakiwa sana uwe unakula inasaidia kwa vidonda vya tumbo. Wewe kama unavyo Vidonda vya Tumbo unataka upone Jaribu Dawa yangu hii ya Kienyeji kwanza
kabisa nenda Hospitali kapime mkojo wako kuwa huna maradhi ya zinaa yaani Maradhi ya (UTI). Kisha ukionekana huna
maradhi ya zinaa kwenye mkojo wako. Fanya hivi kila asubuhi unapo amka kabla ya kula au kunywa kitu nenda chooni
kakinge mkojo wako (Urine) kwenye glasi 1 kisha unywe kwa muda wa siku 7. UKisha kunywa mkojo wako kaa baada
ya saa 1 kupita waweza
kula au kunywa chai. Fanya hivyo ukimalizika huo muda wa siku 7 kunywa huo mkojo wako mwenyewe nenda Hospitali
kapime vidonda vya tumbo utakuta huna tena hivyo vidonda vyako, vimekwisha pona kabisa ukiweza fanya uje unipe
Feedback.