Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Tumia Rabeprazole, amoxicillin (siku tano), then endelea na rabeprazole, clarithromycin, tinidazole kwa siku tano tena. Baada ya hapo unaweza kumeza omeprazole kwa muda wa mwaka mmoja huku ukifuata mashart mengine. I can assure you that it is effective for 94%.
mwaka mzima unakunywa hizo acid inhibitors aah wapi?hiyo regiment siyo.

Matibabu ya vidonda vya tumbo ni ndani ya siku14 tu.kisha unastop kwa mda kama bado unaanza upya ,
 
Mkuu hapo naona hiyo amoxillin italeta complicaton, hawa h. Pylori ni sensitive to antibiotics inaweza wafanya wawe resistant na kuwa sugu. Mi naona cha maana hapa ni kwenda hospital inayoyoaminika kwanza akapime halafu mengine yafuate.
Ni hatari sana siku hizi kwani ulcers zikiachwa kwa muda mrefu huweza pelekea mtu kupata kansa maeneo ulcers ilipo.
 
Kunywa maji ml 500 kila nusu saa kabla ya kula chakula cha asubuhi, mchana na jioni, kisha unahesabu masaa 2 baada ya kila mlo na unywe maji tena ml 500.


Unapokaribia kutaka kula chakula chochote, au ukiwaza kutaka kula au ukiuona tu msosi kwa macho, TUMBONI MWAKO HUZARISHWA haidrokloriki asidi ili kuuandaa na kuusaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. HAIDROKLORIKI ASIDI hii ni lazima ipunguzwe makali (must be neutralized) kabla hujameza chakula. INAPUNGUZWAJE MAKALI? kwa kunywa maji nusu saa kabla ya kula chakula. KAMA HAITAPUNGUZWA MAKALI, ASIDI HIYO HUENDA KUTOBOA KUTA ZA TUMBO na hatimaye taratibu baadaye hukusababishia VIDONDA VYA TUMBO.


Jaribu hivyo kwa wiki 2 mfululizo, ni bure tu kisha unipe feedback
Shughuli za wataalamu waachie wenyewe. Huwezi neutralize acid kwa maji, instead una-dilute. Kama hydrochloric acid inazalishwa kwa wingi tumboni kutokana na bacteria hasa helicobacter pylori huwezi ukanywa maji uzalishaji ukarudi normal.
Nenda hospitali kafanye H. Pylori test kama itakuwa positive watakupa Heligo kit itakusaidia sana
 
Hii dawa inasemekana ni ya kiasili na inatibu vidonda vya tumbo kwa mujibu wa matangazo ya kwenye tv.
Ambaye ametumia na kupona naomba a-confirm tafadhali kabla sijamwanzishia mama yangu dozi.
Aksanteni.

serikali ilishafungia hawa watu kwa utapeli.
 
mwaka mzima unakunywa hizo acid inhibitors aah wapi?hiyo regiment siyo.

Matibabu ya vidonda vya tumbo ni ndani ya siku14 tu.kisha unastop kwa mda kama bado unaanza upya ,

Jaribu kutafuta kitu kinaitwa sequential Rx of PUD, unajua siku hizi wanasema ile standard Rx ya pud kwa 7days imeanza kupungua effectiveness yake. Jaribu kuisoma hiyo then cum back ili tujadili kuona kama ni reasonable.
 
Shughuli za wataalamu waachie wenyewe. Huwezi neutralize acid kwa maji, instead una-dilute. Kama hydrochloric acid inazalishwa kwa wingi tumboni kutokana na bacteria hasa helicobacter pylori huwezi ukanywa maji uzalishaji ukarudi normal.
Nenda hospitali kafanye H. Pylori test kama itakuwa positive watakupa Heligo kit itakusaidia sana

Mimi mwenyewe ni mtaalamu. Usilolijuwa ni sawa na usiku wa giza. MAJI NI UHAI, HUJUWI HILO?
 
Nitafute nikupe dawa za vidonda vya tumbo usipopona hela inarudishwa 0758768855
kama watu wa miaka 10-20 wamePona vidonda vya tumbo hata wewe utapona
 
mama yangu kaugua miaka 17 alikuwa wa kufa nilimpeleka peramio hosp alipewa dawa za miezi mitatu kapona mpaka leo ni miaka 11 imepita
 
Wakuu habari za leo, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo tangu mwaka 1993 alipopima na kugundulika kuwa ana matatizo hayo.

Ombi langu kwenu kama kuna mtu nafafahamu dawa ya vidonda vya tumbo hata kama ya kienyeje naomba msaada wenu wa wapi inapatikana na kiasi gani. Alishatumia dawa za aina mbalimbali mpaka ile dozi kubwa ya HELIGO KIT, lakini bado.

Naomba msaada wenu!

Kaka hata mim nilikuwa nasumbuliwa na,vidonda vya tumbo na nilihangaika sana kutumia dawa za hospital lakini sikufanikiwa ila kuna mtu anismbia nitafune vitunguu swaumu asubihi,mchana na jion na nikafanya hivyo sasa sijambo kabisa na havinisimbui . vitunguu SWAUMU ni dawa sana tena ulcers zikianza kuuma tafuna vitunguu swaumu linapoa faster
 
Nenda katibu helicobacter pyroli tatizo litakwisha!
 
Vimekuanza lini? je umeshathibitishiwa hospitalini kwamba una vidonda vya tumbo?
 
Ni aina Fulani ya bacteria wanakuwa kwenye tumbo ndio wanasababusha kuongeza kwa stomach acid na kusababisha ulcers.
 
Kabeji ndio inayotakiwa sana uwe unakula inasaidia kwa vidonda vya tumbo. Wewe kama unavyo Vidonda vya Tumbo unataka upone Jaribu Dawa yangu hii ya Kienyeji kwanza

kabisa nenda Hospitali kapime mkojo wako kuwa huna maradhi ya zinaa yaani Maradhi ya (UTI). Kisha ukionekana huna

maradhi ya zinaa kwenye mkojo wako. Fanya hivi kila asubuhi unapo amka kabla ya kula au kunywa kitu nenda chooni

kakinge mkojo wako (Urine) kwenye glasi 1 kisha unywe kwa muda wa siku 7. UKisha kunywa mkojo wako kaa baada

ya saa 1 kupita waweza

kula au kunywa chai. Fanya hivyo ukimalizika huo muda wa siku 7 kunywa huo mkojo wako mwenyewe nenda Hospitali

kapime vidonda vya tumbo utakuta huna tena hivyo vidonda vyako, vimekwisha pona kabisa ukiweza fanya uje unipe

Feedback.

Mkuu hii dawa ni yakweli? Kuna aliewahi kufanya na akapona? Jee kwa imani yetu (uislam) kunywa mkojo (najis) itakuaje?
 
Back
Top Bottom