Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

vidonda vya tumbo vinatibika just cheki mee nikupe combination ya product za aloe vera 0657088003
 

Human growth hormone(HGH)is the master of the body's activities such as cell growth, metabolism and reproductive processes. As we age hormone production decreases leading to lack of vitality,wrinkled skin,poor memory and weakened immunity.for this reason we recommend Bio-Elixir.
 
Mkuu weka mambo hapa hadharani wengi ni waathiruka wa hili tatizo...
 
ungeweka ha details watu wakajua, vinginevyo ni utapeli unataka kufanya....
sio utapeli hata mimi ameshtumia hiyo dawa nimepona nanilikua sili vyakula kibao sasa hivi nakula everything nanimepona kabisa namichukua kwaajili yakuwapatia wengine wenye kuangaika Kama mimi nilivyokuwa naangaika ni dawa yaukweli Jamani mnapona wenye ulcers msikubali kuteseka mwishowe uje kuwa na kansa ufe wakati dawa ipo na bei yake sio ghali na kupona mtu anapona sio sawa na makanjanja unatoa mamilioni na kupona huponi
 
Mi nlitumia unga wa ndizi mshare baada ya kukaushwa na kupondwa kama unga wa muhogo unavyotengenezwa then unakunywa kwa kuchangan ya kijiko kimoja cha chakula na maziwa fresh glass moja kutwa Mara 3 nlitumia kama mwezi ivi now nna miaka 2 havinisumbui.
 
Ukitaka kupona vidonda vya tumbo we nicheck kweny hii no ntakupa ushaur pmj na dawa 0768359292
 
kuna ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo..... kwa muda sasa.... so kwa yeyote ambaye yuko aware na dawa nzuriii ya dukani ambayo itamsaidia ningefurahii sana kama mkinipa jina la dawa husika.. natanguliza shukrani zangu.....
 
Sifanyi biashara wala silaghai binadam mwenzangu yeyote,mwenye haja kweli ya kupona vidonda vya tumbo aniPM,sitaki hela yako,tumia dawa dozi ya kwanza kapime maendeleo yake,kisha unatumia ya pili,ukienda kupima utatoa majibu mwenyewe,kisha utanipatia kile utakachoweza.Ukifanya masikhara shauri yako.Mwenye kuhitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…