Kaka sio kila kitu ni maombi tu, Mchungaji Gwajima pamoja na unguli wake wa "kufufua watu" alishindwa kujiomnea wala kuomnewa na alikimbilia hospital
sio kila kitu ni maombi tu
Nakubaliana na wewe kwrnye para 2 sikutaka kuelezea kwa undani sana coz tayari wataalamu wenzangu wadhaweka theories za kutosha.
kwa ufupi hakuna ugonjwa unapona kwa maombi labda kama mtu ana mapepo au katupiwa jini au mengine yaliyokuwa induced kwa nguvu za giza.
Mimi ninayo ya mitishamba elfu 50 tu kwa atakehitaji anipm natuma sehemu yoyote Tanzania nimewapa wengi na wamepona
Ulcers haina tiba ila ni management tu...kuna vyakula anapaswa kuwacha kabsa...kama kuna nutrition clinic karibu aende apate mafunzo kuhusu management of ulcers
Kama bado hujapona nitafutechembe ya moyo inanitesa kwa miezi sita sasa dawa za hosptl na mitishamba nimezitumia lakini sijapata nafuu, kimsingi nina ulcers nitumie tiba gani angalau maumivu haya ya chembe ya moyo yapungue? Mwenye kujua dawa awasiliane nami 0685100909 hata kwa msg nitampigia
pole sana na vidonda! Sasa mimi nilipata vidonda vikali sana mpaka ikafikia naharisha damu tib yake ya haraka ilikuwa ni hii ila namshukuru mungu nimepona kabisa sasa...
Tumia amoxycilline caps 1g yaani asubuhi tembe 4 za 250gm na jioni tembe 4 za 250gm kwa siku 10 metronidazole 400mg for bid for 10 days yaani asubuhi tembe 2 za 200gm na jioni 200gm na omeprazole 20gm bird for 10 days ukimaliza endelea na omeprazone for 8 weeks asubuhi kimoja jioni kimoja...utapona and you will find me...all the best pole...
KLwa Wale ambaoa wasiotaka kujitibia Vidonda vya Tumbo kwa njia ya mkojo wako mwenyewe Dawa ya kuponyesha Vidonda vya Tumbo nimepat kwa mwenye kutaka Dawa anitafute kwa wakati wake ukinitaka bonyez hapa.Mawasiliano