Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Kuna kitu yaitwa
STEM CELL THERAPY
kwa bidhaa kama
. DOUBLE STEM CELL OR CRYSTAL CELL
+SNOWPHYLL

unapona kabisaaaaa Google alafu tupigie +255767831345
 
Pole sana Kamanda! Japo uzi wa siku nyingi natumaini bado upo salama unapambana na tatizo!

Mimi nilisumbuliwa na tatizo hili kwa miaka minne, nimenda sana hosp, nimekula sana madawa yahosp... lakini hayakuniponya kwa asilimia 100.

baada ya tatizo langu kuwa sugu na kukosa nafuu, niliamua kwenda Agha Khan, nikamuona Dr. Wambura, aisee baada ya vipimo, ambavyo vilikuwa ghali kidogo, huwezi amini nilipewa vidonge vya siku 7 tu... baada ya kutumia zile dawa, nimepona kabisa, mpaka leo nipo happy sana na Dr. Wambura aliniambia kila kitu gonga...!

Nenda hosp kubwa kwa uangalizi zaidi, hasa Agha Khan muone Dr. Wambura bingwa wa magonjwa ya tumbo.
 
Nitangulize pole kwa wale wote ambao mmekuwa mkiteseka kwa maradhi haya.
Nipende kukiri kuwa mimi sio mtaalamu wa masuala ya tiba,ila kutokana na usaidizi wa maelezo ya aliyekuwa "mhanga'' wa maradhi haya na sasa amepona naiweka kwenu tiba kama ifuatavyo;

1. MAHITAJI
1. Asali halisi - ½ lita.
2. Vitunguu thomu - ½ kg vilivyomenywa.
3. Habbat sauda - ya unga vijiko 3 vya chakula au ya mafuta vijiko 2 vya chakula.
4. Mdalasini wa unga - kikombe kimoja cha chai.

2. UANDAAJI

Vitunguu thomu lazima vitwangwe.
Kisha,changanya items zote ktk chombo kimoja,safi.
(Kwa mchanganyiko mzuri,unaweza kutumia kipekecho/ blenda)
Baada ya mchanganyiko huo ambao utakuwa uji mzito,hifadhi katika chombo safi na salama kitakachokupa uhuru wa matumizi,it can be a jar.

3. MATUMIZI

Tumia kijiko kimoja cha chakula 1 x 3 kila siku. Mchanganyiko huo ukiisha unaweza kuandaa mwingine,kulingana na maendeleo yako.

Maelezo niliyoyaweka hapa ni kwa mujibu wa aliyekuwa mgonjwa wa ulcers kama nlivyotangulia kusema,na sasa amepona kabisaaa,hana miiko tena, anakula hadi ndizi za kupikwa,maharage aina zote na pilipili anatafuna bila shida yoyote.
Ikiwa una lenye faida,usiwanyime na wengine.

Wasalam.
 
Ya kweli haya
 
Hiyo namba 3, Habbat sauda ni kitu gani, unaweza tupa jina jingine kama hutojali
 
ubarikiwe kwa somo zuri ulilolitia bila gharama.

nisaidie mimi wa bara, nimepata kizungu zungu kwa malighafi tajwa namba 2&3
2)kitunguu thomu
3)habati sauda.

bado naona chenga chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…