shelumwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 516
- 189
Kuna kitu yaitwaWakuu habari za leo, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo tangu mwaka 1993 alipopima na kugundulika kuwa ana matatizo hayo.
Ombi langu kwenu kama kuna mtu anafahamu dawa ya vidonda vya tumbo hata kama ya kienyejei naomba msaada wenu wa wapi inapatikana na kiasi gani. Alishatumia dawa za aina mbalimbali mpaka ile dozi kubwa ya HELIGO KIT, lakini bado.
Naomba msaada wenu!
STEM CELL THERAPY
kwa bidhaa kama
. DOUBLE STEM CELL OR CRYSTAL CELL
+SNOWPHYLL
unapona kabisaaaaa Google alafu tupigie +255767831345