Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Heligo Kit ni matibabu sahihi......mimi nimewahi kuugua vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu na nilikuwa nikienda hospital naambiwa ni amoeba ama minyoo kwahiyo mara nyingi nilikuwa natibu ugonjwa ambao sio...lakini tangu nimetumia Heligo Kit sijawahi sumbuliwa na vidonda vya tumbo na nilirecover baada ya week moja tangu kutumia hizo dawa...kutapika kuliisha, constipation iliisha, viungulia, mate kujaa mdomoni, uchovu na maumivu ya tumbo yote yaliisha na hata uzito nikaongezeka....tafuta dawa ya Heligo Kit itakusaidia
Mkuu herigo ni dawa nzuri sana lkn ni kwa vidonda vya tumbo vitokanavyo na hyperol, vya acid herigo haiwezi kutibu
 
Kama tumbo limejaa acid unatakiwa utumie ile dawa ya maji inaitwa Gastrocid na Lamsoprazole
 
Madhara ya vidonda vya tumbo vyaweza kusababisha cancer hadi kifo
 
Mie kuna dawa nimeambiwa kwani name ni muhanga wa vidonda vya tumbo: chukua nyanya cungu 5 bamia 10 chemsha na maji kama lita 2 acha yachamke sana hadi yapungue usiweke chochote hata tone la chumvi chuja ondoa zile bamia na nyanya chungu hakikisha unapata glass moja kubwa ya maji utakayo chuja acha yapowe kidogo hadi iwe uvuguvugu kuwanya glass yote kwa mkupuo, zoezi hilo lifanye kwa muda wa siku 7 nikimaanisha kila siku unachemsha nyanya chungu na bamia nyingine kwakipindi hicho cha siku 7. Nimeanza hilo zoezi jana

kiongozi naomba msaada kama ulipona katika tatizo hili,maana ni msalaba kwangu.naomba uni PM
 
Piga mwarobain/nansimba mitisha shamba iyo Per two weeks utanitafta dozi nikupangie Njoo pm
 
Habarini JF members.
Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo viko kwenye stage za mwanzomwazo. Kutokana na maelezo ya watu mbalimbali wanasema kua ugonjwa huu hauponi kabisa ila unatulia tu ukimeza dawa.
Please wadau naomba kujua dawa nzuri inayoweza tibu maradhi haya hata kama ni hizi za asili.
Ahsanteni.
Dawa zipo piga cm no.0752097770
 
Asante sana mleta maada nzuri kama hii ambayo ni msaada kwa watu wengi, Mungu akubariki na kukuwezesha kutuletea vitu vingine vizuri kama hivi.
 
Nitumie nikipona nakulipa mara mbili
Safi sana mkuu. Naamini hakuna aliyeteseka na vidonda vya tumbo halafu apewe dawa imtibu then akakimbie na pesa ya aliyemtibu. Hili ni sharti zuri kwa anayejiamini kuwa anatiba sahihi.
 
Habari za jioni, popote ulipo. Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nahitaji msaada wa dawa. Vinaninyima raha, nahitaji kurudia hali yangu ya kawaida. Tafadhalini
Ipo dawa alipata kutumia jamaa flani, ikamfaa,gharama yake haizidi elf 30(maximum) na ina faida kuu 2.
Ni pm nkuelekeze,6ki malipo.
 
Back
Top Bottom