tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Kwa faida ya wote huwa tunaelekeza hapa mkuuNjoo pm nikuelekeze...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa faida ya wote huwa tunaelekeza hapa mkuuNjoo pm nikuelekeze...
Kwa faida ya wote huwa tunaelekeza hapa mkuuNjoo pm nikuelekeze...
Sio dawa,ninampa namba ya simu ya mtu mwenye dawa,siunajua kutoa namba ya mtu bila ridhaa yake ni kosa,tena kwenye mtandao wa kijamii...!Kwa faida ya wote huwa tunaelekeza hapa mkuu
Jamani wagonjwa wako wengi humu tena huko PM kunani? Au kuna la ziada?Njoo pm nikuelekeze...
Hiyo dawa ya kunywa mkojo wako wa subuhi nilifundisha mimi Mkuu.Mama yangu alikua anatatizo hili,niliona thread humu kuhusu mkojo aisee hii ni dawa tosha,alitumia kama siku tatu tu akapona,na juzi ametoka kufunga wala hakupata tatizo,
MATUMIZI.
Kinga mkojo wa asubi na kunywa wote kila siku kwa siku 3 au 4 dozi imeisha,zingatia kunywa maji mengi ili asubui upate mkojo ambao hauna makali sana.
Mama yangu alikua anatatizo hili,niliona thread humu kuhusu mkojo aisee hii ni dawa tosha,alitumia kama siku tatu tu akapona,na juzi ametoka kufunga wala hakupata tatizo,
MATUMIZI.
Kinga mkojo wa asubi na kunywa wote kila siku kwa siku 3 au 4 dozi imeisha,zingatia kunywa maji mengi ili asubui upate mkojo ambao hauna makali sana.
Yes, mkojo huu huu wa asbh ulimsaidia mke wangu kupona maumivu ya jino ambalo lilikuwa linamsumbua kwa miaka 4 sasa mpk nw ni miaka 5 alishasahau maumivu yanafafanaje,hio dawa ya mkojo namm nilisoma humu humuAma kweli lake mtu halimtapishi.... Mkojo Duh
Asante mkuu,namweleza jamaa haaminiHiyo dawa ya kunywa mkojo wako wa subuhi nilifundisha mimi Mkuu.
Tuwekee investigator's brochure na publication za dawa yako au unaleta utapeliHelicobacter pylori (H. pylori ) ni bakteria ambao husababisha uvimbe sugu( gastritis ) ndani ya tumbo la binadamu . Bakteria hawa huchukuliwa kama visababishi vya kawaida vya vidonda vya tumbo duniani kote, asilimia 90% ya watu wote duniani wenye vidonda vya tumbo wamekutwa na H.pylori.
Yaan amaendika kama anakimbizwaTuwekee investigato'rs brochure na publication za dawa yako au unaleta utapeli
Tuwekee investigator's brochure na publication za dawa yako au unaleta utapeli
Nice mkuuMkuu nikupe ushauri wa bure na inaweza kukugharimu kiasi tu kama ushapimwa ukakutwa na bakteria wa hpyrol basi omba vidonge vya Heligo kit hizo dawa ni bomba ila madaktari wengi humpa mgonjwa dozi moja tu yaani dawa za siku saba tu kisha hukupa dawa zingine kwa muda wa mwezi mzima. Sasa ushauri nilipata kwa Dr mzoefu. Hizo dawa unatakiwa uzinywe set tatu kila siku hadi wiki tatu ziishe tumia ujanja wako maana madokta watakukatalia wakijua ushatumia zaidi ya wiki mbili. Tatufa hata mtu akununulie ukishindwa wewe.
Ni hivi hizo dawa first wiki inaua wadudu ila sio wote second week inakausha vidonda na third week inatengeneza makovu sehemu zilizokuwa na vidonda. Hivyo ukipona hata pilipili utakula bila khofu.
Dawa huwa zinanguvu kama afya yako ni mgogolo hutaweza zimaliza na utapona kwa muda tu.
Unywaji wa dawa unafuata kama maelezo yake picha ya mwezi unakunywa usiku na picha ya jua unakunywa asubuhi. Kiujanja kula chakula robo sahani kisha meza dawa and then malizia msosi wote uufute sahanini . Hautasikia kabisa nguvu ya hizo dawa.
Amini Amini nakufahamisha wengi walionisikiliza walipona hata kama unaumwa kifua maana hao wadudu hutafuna hadi kifua njia ni hiyo hiyo.
Ukipona uje ugonge like.