Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Kama uko dar njoo PM kwa buku saba tu unaanza kuchakata pilipili and the like ndani ya wiki moja,100% sure.Siuzi mimi ila imenisaidia mnoooooo.NIMEPONA
 
Mama yangu alikua anatatizo hili,niliona thread humu kuhusu mkojo aisee hii ni dawa tosha,alitumia kama siku tatu tu akapona,na juzi ametoka kufunga wala hakupata tatizo,

MATUMIZI.
Kinga mkojo wa asubi na kunywa wote kila siku kwa siku 3 au 4 dozi imeisha,zingatia kunywa maji mengi ili asubui upate mkojo ambao hauna makali sana.
Hiyo dawa ya kunywa mkojo wako wa subuhi nilifundisha mimi Mkuu.
 
Ama kweli lake mtu halimtapishi.... Mkojo Duh
Mama yangu alikua anatatizo hili,niliona thread humu kuhusu mkojo aisee hii ni dawa tosha,alitumia kama siku tatu tu akapona,na juzi ametoka kufunga wala hakupata tatizo,

MATUMIZI.
Kinga mkojo wa asubi na kunywa wote kila siku kwa siku 3 au 4 dozi imeisha,zingatia kunywa maji mengi ili asubui upate mkojo ambao hauna makali sana.
 
Ama kweli lake mtu halimtapishi.... Mkojo Duh
Yes, mkojo huu huu wa asbh ulimsaidia mke wangu kupona maumivu ya jino ambalo lilikuwa linamsumbua kwa miaka 4 sasa mpk nw ni miaka 5 alishasahau maumivu yanafafanaje,hio dawa ya mkojo namm nilisoma humu humu
 
Swali langu ni kuwa vidonda vya tumbo vina weza leta cancer
 
Helicobacter pylori (H. pylori ) ni bakteria ambao husababisha uvimbe sugu( gastritis ) ndani ya tumbo la binadamu . Bakteria hawa huchukuliwa kama visababishi vya kawaida vya vidonda vya tumbo duniani kote, asilimia 90% ya watu wote duniani wenye vidonda vya tumbo wamekutwa na H.pylori. Kama Hujapima maambukizi haya hatari ya hawa wadudu basi nenda kapime sasa hivi kwenye kituo cha karibu na wewe. Alafu piga simu number 0689715296
 
Helicobacter pylori (H. pylori ) ni bakteria ambao husababisha uvimbe sugu( gastritis ) ndani ya tumbo la binadamu . Bakteria hawa huchukuliwa kama visababishi vya kawaida vya vidonda vya tumbo duniani kote, asilimia 90% ya watu wote duniani wenye vidonda vya tumbo wamekutwa na H.pylori.
Tuwekee investigator's brochure na publication za dawa yako au unaleta utapeli
 
1126463
 
Mkuu nikupe ushauri wa bure na inaweza kukugharimu kiasi tu kama ushapimwa ukakutwa na bakteria wa hpyrol basi omba vidonge vya Heligo kit hizo dawa ni bomba ila madaktari wengi humpa mgonjwa dozi moja tu yaani dawa za siku saba tu kisha hukupa dawa zingine kwa muda wa mwezi mzima. Sasa ushauri nilipata kwa Dr mzoefu. Hizo dawa unatakiwa uzinywe set tatu kila siku hadi wiki tatu ziishe tumia ujanja wako maana madokta watakukatalia wakijua ushatumia zaidi ya wiki mbili. Tatufa hata mtu akununulie ukishindwa wewe.

Ni hivi hizo dawa first wiki inaua wadudu ila sio wote second week inakausha vidonda na third week inatengeneza makovu sehemu zilizokuwa na vidonda. Hivyo ukipona hata pilipili utakula bila khofu.

Dawa huwa zinanguvu kama afya yako ni mgogolo hutaweza zimaliza na utapona kwa muda tu.

Unywaji wa dawa unafuata kama maelezo yake picha ya mwezi unakunywa usiku na picha ya jua unakunywa asubuhi. Kiujanja kula chakula robo sahani kisha meza dawa and then malizia msosi wote uufute sahanini . Hautasikia kabisa nguvu ya hizo dawa.

Amini Amini nakufahamisha wengi walionisikiliza walipona hata kama unaumwa kifua maana hao wadudu hutafuna hadi kifua njia ni hiyo hiyo.

Ukipona uje ugonge like.
Nice mkuu
 
Hellow wakuu..
Habari? Ningependa kufahamu endapo muliofanya majaribio mumepona ili na sisi tupate pa kuponea maana ni vya early stages kabisa hivi vyangu.
Asanteni
 
Back
Top Bottom