Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Poa, zali limekudondokea ilo mkuu

In bobo for more info plz !
Master Bob laidoo ...mimi hapa nishapona kwa ninavojiona na kujisikia, jana Jumanne ndo nimeimaliza dawa... nahitaji tu kwenda kupima sasa ili nipate uhakika kupitia vipimo. Ila kwa hali yangu jinsi nilivo namshukuru sana Mungu aise nik vizuri.

Pia shukrani za pekee zikirudie kwako kwa roho nzuri y kutaka kusaidia, Mungu akubariki kaka.

Kama kweli unasumbuliwa na ulcers jamani, suluhisho liko kwa huyu mtaalam. Mimi nashukru nilipata ofa na kwa kweli sijui nielezaje maana ni vimenitesa sanaa yani, madawa nshatumia lakini wapi. But vidone vya siku 4 vya mtaalam wetu vimerejesha tabasam langu.
 
Mwenye hiyo dawa anapatikana mkoa gani? Je unauza bei gani? Isijekuwa ni kikundi cha watu wamejipanga watupapeli maana watu wenye vidonda ni wengi. Au ni mtu mmoja ana id tofauti tofauti.
Japo mwenyewe kiukweli nilikua siamini kama dawa itafika, na hata kama ikifika nlijua haitonitibu[emoji1].
Siku anataka kunitumia dawa nilimwambia aitume tu kwa basi (maana mimi niko Dar) then ikifika Dar nitailipia...jamaa alicheka sana alivosikia hvo then akanambia "ushazoea wale wa kukutapeli" nikajitetea hapo kiasi but kesho yake nafikiri nikamtumia pesa tu ya kutuma mzigo na mzigo ukafika salama kabisa. Na sasa niko saaaafi.
 
Master Bob laidoo ...mimi hapa nishapona kwa ninavojiona na kujisikia, jana Jumanne ndo nimeimaliza dawa... nahitaji tu kwenda kupima sasa ili nipate uhakika kupitia vipimo. Ila kwa hali yangu jinsi nilivo namshukuru sana Mungu aise nik vizuri.

Pia shukrani za pekee zikirudie kwako kwa roho nzuri y kutaka kusaidia, Mungu akubariki kaka.

Kama kweli unasumbuliwa na ulcers jamani, suluhisho liko kwa huyu mtaalam. Mimi nashukru nilipata ofa na kwa kweli sijui nielezaje maana ni vimenitesa sanaa yani, madawa nshatumia lakini wapi. But vidone vya siku 4 vya mtaalam wetu vimerejesha tabasam langu.
Big up sn mzee, umesomeka kwa nguvu ya tano Mkuu so, haina haja ya kuongeza saut

Watu wamekuskia na wamekuelewa so "Wataishi nayo iyo !

Itoshe kusema; Kwa tatizo vidonda vya tumbo ( ulcers ) haijalishi vimefikia stage gani na viko sehem gani either kwenye utumbo au mfuko wa chakula ni siku NNE 4 tu unasahau kabisa kuhusu tatizo ilo

+255763031478
+243811176110

Karibun !

Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
 
Msaada jamani nina vidonda vya tumbo visivyosikia dawa huu ni mwaka sasa yani nawaka moto tumboni na mgongoni nishatumia mpaka heligo kit.

Hospitali nimeambiwa nina gerd hpyrol+ve hiatus hernia duodenal ulcers
Nichek apo +255763031478 km Bado hujapona ninatibu kwa siku nne tu

Pitia uzi mingine za vidonda vya tumbo uchek jamaa walivopona !
 
Habari ndugu wadau, naimani waliotumia dawa zangu Mambo yameenda vizuri

So, natoa offer tena kwa mmoja !!
 
Habari ndugu wadau, naimani waliotumia dawa zangu Mambo yameenda vizuri

So, natoa offer tena kwa mmoja !!
Mkuu nimewahi kwahy naomba sana usinisahau kwenye hii offer....first come first served..asante sana kaka na ukinisaidia hii tiba nitaleta mrejesho hapa hapa,namba yangu nakutumia pm.
 
Ok, hongera kwa kuwahi offer hii

napenda kujua km ulipima na kubainika kuwa na tatizo hilo

Pia naomba kujua mahala ulipo kwa sasa !
Baada ya kuwa napata maumivu ya tumbo nilienda kupima na kubaika Nina madonda ya tumbo nilipewa dawa ambazo kimsingi hasikusaidia chochote zaidi ya kupoza tu na ndo nimekuwa nikisitumia....kwasasa nipo kagera.
 
Mimi nimepima mkuu na vipimo ninavyo naomba niwe wa kwanza kwa offer yako,hata ukitaka niweke hapa ntaweka...
 
Baada ya kuwa napata maumivu ya tumbo nilienda kupima na kubaika Nina madonda ya tumbo nilipewa dawa ambazo kimsingi hasikusaidia chochote zaidi ya kupoza tu na ndo nimekuwa nikisitumia....kwasasa nipo kagera.
Ok sawa, Ila ningependa kujua ni kagera sehem gn ili nikutumie sehem ulipo !
 
Mimi nimepima mkuu na vipimo ninavyo naomba niwe wa kwanza kwa offer yako,hata ukitaka niweke hapa ntaweka...
umeshawahiwa ndugu, siumeona nimetoa nafasi moja tu !

nimeona ulituma msg kabla ya bwana MAXMAX72 lakin hukuwa umeomba dawa, thank you !
 
Back
Top Bottom