Habari za wakati huu mpenzi msomaji wa makala hii. Bila shaka makala au tangazo hili lina kuhusu, kama si direct basi hata indirect. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa mbaya miongoni mwa Magonjwa mabaya. Unasumbua, unanyima raha, unazorotesha afya ya mtu, unapunguza idadi ya vyakula muhimu kwa mwanadamu, unazorotesha utendaji kazi wa mtu na kwa wanaume mpaka unapunguza hamu na nguvu za tendo la ndoa. Sisi tumefanikiwa kugundua dawa ambayo inaponya kabisa ugonjwa huu na kwa muda mfupi sana. Dawa hii tumeigundua mwaka juzi 2010, ila hatukuiweka kibiashara kwanza ilitubidi kuifanyia utafiti wa kina mpaka mwaka jana 2011 ndo tuliamua kuiweka kibiashara baada ya kuwa tumeiamini vya kutosha. Tuliwatumia watu tofauti walokuwa na tatizo hilo. Cha kufurahisha hakuna mtu hata mmoja aliyebaki bila kupona. Miongoni mwao walikuwepo walio ugua muda mfupi na wengine muda mrefu na wengine muda mrefu sana hadi miaka 20+. Hadi hii leo watu wasio pungua 130 kwa takwimu zetu wamtumia dawa hii na hatujapata malalamiko bali hupata simu nyingi sana za shukurani na wengine kwa usumbufu wa ugonjwa huu hutupa zawadi kama shukurani. Tumefanya vizuri sana Mikoa ya Dar-es-salam, Morogoro, Mwanza, Arusha, Moshi na Bukoba ambapo matangazo yetu yamefika sana na Mikoa mingine kwa uchache sana. Kama una swali, maoni au uhitaji wa matibabu, wasiliana nasi SIMU NO: +255757143379/+255655143379/+255786143379. mnakaribishwa nyote kwa pamoja. By DR, KAGIMBO