Tumaah
Member
- May 29, 2012
- 22
- 6
mkuu hao wadudu wanauawa na antibiotics hasa Amoxicilin.Dose ya Amoxicilin kwa wiki moja au mbili inatibu kabisa hao wadudu.Kwa uhakika wa ninachokwambia google utaona
Asante kwa ushauri.
Mungu akubarik.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hao wadudu wanauawa na antibiotics hasa Amoxicilin.Dose ya Amoxicilin kwa wiki moja au mbili inatibu kabisa hao wadudu.Kwa uhakika wa ninachokwambia google utaona
Mkuu Mzizi mkavu hii prescription yako nafikiri ungetuelezea mode of action la sivyo dada yetu Tummah unaweza kumletea matatizo zaidi. Nimetafakari sana namna ya kumsaidia tofauti na wewe unavyopendekeza lakini naona ajaribu kutupia contact zake humu niangalie namna ya kumsaidia. I am not hiding anything but only an 'ethical issue'
Wana jamii forums naomba munisaidie nateseka na ulcers nimetumia dawa tofauti lakini sipati haueni nimiezi minne iliyopita mpaka nimeshindwa kuendelea na masomo nani ambaye anafahamu dawa anisaidie au hata ushauri pls!!!!!!!!!!!!!
Mkuu.@Kaka mwisho Mimi ninayo Dawa ya kutibu vidonda vya tumbo ukitaka wasiliana na mimi kwa njia ya Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.comNapenda kufahamu tiba sahihi ya vidonda vya tumbo maana matangazo ya dawa ni mengi. Kama kuna mtu ambaye ameishatumia na kupona bila kupata usumbufu tena naomba unitajie ni dawa gani. Iwe ya hawa herbalist au ya viwandani.
Napenda kufahamu tiba sahihi ya vidonda vya tumbo maana matangazo ya dawa ni mengi. Kama kuna mtu ambaye ameishatumia na kupona bila kupata usumbufu tena naomba unitajie ni dawa gani. Iwe ya hawa herbalist au ya viwandani.
Napenda kufahamu tiba sahihi ya vidonda vya tumbo maana matangazo ya dawa ni mengi. Kama kuna mtu ambaye ameishatumia na kupona bila kupata usumbufu tena naomba unitajie ni dawa gani. Iwe ya hawa herbalist au ya viwandani.
Napenda kufahamu tiba sahihi ya vidonda vya tumbo maana matangazo ya dawa ni mengi. Kama kuna mtu ambaye ameishatumia na kupona bila kupata usumbufu tena naomba unitajie ni dawa gani. Iwe ya hawa herbalist au ya viwandani.
Dawa utaipata hapa. https://www.jamiiforums.com/jf-doct...a-matangazo-ya-dawa-ni-mengi.html#post6342088Wana jamii forums naomba munisaidie nateseka na ulcers nimetumia dawa tofauti lakini sipati haueni nimiezi minne iliyopita mpaka nimeshindwa kuendelea na masomo nani ambaye anafahamu dawa anisaidie au hata ushauri pls!!!!!!!!!!!!!
Napenda kufahamu tiba sahihi ya vidonda vya tumbo maana matangazo ya dawa ni mengi. Kama kuna mtu ambaye ameishatumia na kupona bila kupata usumbufu tena naomba unitajie ni dawa gani. Iwe ya hawa herbalist au ya viwandani.
Wana jamii forums naomba munisaidie nateseka na ulcers nimetumia dawa tofauti lakini sipati haueni nimiezi minne iliyopita mpaka nimeshindwa kuendelea na masomo nani ambaye anafahamu dawa anisaidie au hata ushauri pls!!!!!!!!!!!!!
angalia siku nyingine usimwambie akale maviNdugu mbona dawa unayo mwenyewe, piga glass ya mkojo wa asubuhi ndani ya wiki moja utuletee majibu.