Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Mkuu, huyo jamaa amepigwa ban kwa sasa tumsubiri amalize adhabu yake ila nina-attach hapa chini audio yake ya vidonda vya tumbo idownload uisikilize nimeipenda sana hata mimi




Download attachment yake hapa chini na uisikilize alishaiweka hapa jf siku za nyuma

mkuu Iyokopokomayoko we na Fadhili Paulo nadhani mna share idea moja nadhani mnafahamiana kama sio mtu mmoja, kuna issue moja ya kuhusiana na HIV/AIDS ameielezea kule kwenye website yake ya Fadhili Paulo kuna bandiko moja anasema kwamba UKIMWI hausababishwi na virus lakini katika zile dawa zake za ukimwi anaelezea kuhusiana na dawa kwa mfano ile ya Nazi inavyoweza kupambana na Virusi...

Sasa nikamuuliza inakuwa vipi anasema ukimwi hausababishwi na virusi hapo hapo kwenye dawa anaongelea kuhusiana na Virusi akatoka Nduki hakunijibu...

Halafu kule kwenye web yake sijui amefanyaje sikuweza kukopi yale maandishi yake ili kwamba niweze quote, twende nae sawa aweze kujibu maswali yangu ili kwamba niweze kujiridhisha, sasa ameniacha nime hang hewani tu, ukimwona mwambie au akifunguliwa, aje huku ku stick na kitu anachokianzisha baada ya kuweka kitu na kuondoka tu, hivyo sio fair kabisa...
 
Last edited by a moderator:
mkuu Iyokopokomayoko hiyo audio uliyoileta kuhusiana na vidonda vya tumbo ni fupi sana sasa ingependeza kama ungeiweka full iwe complete kabisa sasa hiyo nusu tunakuwa hatujapata mambo kabisa...
 
Last edited by a moderator:
mkuu Iyokopokomayoko we na Fadhili Paulo nadhani mna share idea moja nadhani mnafahamiana kama sio mtu mmoja, kuna issue moja ya kuhusiana na HIV/AIDS ameielezea kule kwenye website yake ya Fadhili Paulo kuna bandiko moja anasema kwamba UKIMWI hausababishwi na virus lakini katika zile dawa zake za ukimwi anaelezea kuhusiana na dawa kwa mfano ile ya Nazi inavyoweza kupambana na Virusi...

Sasa nikamuuliza inakuwa vipi anasema ukimwi hausababishwi na virusi hapo hapo kwenye dawa anaongelea kuhusiana na Virusi akatoka Nduki hakunijibu...

Halafu kule kwenye web yake sijui amefanyaje sikuweza kukopi yale maandishi yake ili kwamba niweze quote, twende nae sawa aweze kujibu maswali yangu ili kwamba niweze kujiridhisha, sasa ameniacha nime hang hewani tu, ukimwona mwambie au akifunguliwa, aje huku ku stick na kitu anachokianzisha baada ya kuweka kitu na kuondoka tu, hivyo sio fair kabisa...

Hiyo ya Nazi amesha-edit jaribu kuipitia tena na hata kukopi ameshaachia sasa unaweza kukopi bila shida. Mengine nitamfikishia atakapo maliza adhabu atakuja kuendelea
 
Last edited by a moderator:
Ukiamua kusaidia wasaidie watz wenzio sio kutafuta umaarufu, ipo siku mungu atakulipa kwa msaada wako mkuu
 
punguza kuwaza ndio
Mawazo yanaua bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo? Vidonda vya tumbo vinasababishwa na bacteria wanaoitwa H-Pyrol. Sasa usipowaza hao wadudu wanakufa, au hawakupati?
 
Tafiti zianaonyesha hili tatizo ni la kisaikolojia zaidi. Ntafute nitakufundisha namna ya kutatua tatilo hilo kisaikolojia zaidi ambalo pia litatatua taizo la kiafya pia. +255 689 417 472
 
ndugu zangu shikamoni wadogo zangu marahaba. Nimekuwa nasumbuliwa vidonda vya tumbo kwa muda mrefu. Mwaka jana nikaanza kutumia mucogel ambayo mwanzoni ilionyesha kunisaidia lakini ktk siku za karibuni naona imefeli kabisa. Leo hii nasikia maumivu makali mithili ya kaa la moto tumboni! Nimemuona dr. Ambaye ameniambia ili nipone sharti niache kuwaza! Ndugu mimi kama baba mji na watoto na mke nifanyeje ili nisiwe na mawazo ukizingatia changamoto za maisha zilizopo?

nenda herbalworks iliyoko tabata karibu na kituo cha sanene ni wataalamu wa kutibu vidonda vya tumbo kwa msaada zaidi sikiliza kipindi cha radio free africa jumapili kuanzia mida ya saa tatu mpaka nne.
 
Mawazo yanaua bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo? Vidonda vya tumbo vinasababishwa na bacteria wanaoitwa H-Pyrol. Sasa usipowaza hao wadudu wanakufa, au hawakupati?

bila shaka jibu unalo
 
chembe ya moyo inanitesa kwa miezi sita sasa dawa za hosptl na mitishamba nimezitumia lakini sijapata nafuu, kimsingi nina ulcers nitumie tiba gani angalau maumivu haya ya chembe ya moyo yapungue? Mwenye kujua dawa awasiliane nami 0685100909 hata kwa msg nitampigia
nimepiga namba haipatikani tuma sms tu, 0769667519 ntakuonesha dawa bure!
 
Mkuu kama una stress au mawazo ya kitu ambacho hakitekelezeki hata kama unatumia dawa ni kazi bure...

Anza kwanza kuclear kitu ulichonacho moyoni ndiposa uanze kutumia dawa!!
 
Inawezekana una h. pylori tumia triple therapy kit kuwaua hao bacteria tumboni.
 
Achana na hizo tiba. Najua utakuwa na bacteria tumboni. Fanya h-pylori test uangalie. Kuna dawa zitakuponya mapema.


The king.
Hakuna Dawa inayotibu Vidonda vya tumbo Ma-Hospitalini kun adawa za kutuliza sio kutibia ugonjwa ukapona usiponde Dawa za Tiba Mbadala wewe bado hujaumwa ukiumwa utakuja kulalamika upewe dawa za tiba mbadala .
 
Nenda tabata karibu na kituo cha sanene, kuna kituo cha tiba mbadala kizuri kinaitwa HERBALWORKS, kwa jinsi ninavyosikia matangazo yake hakika kitakusaidia.
Hakuna kitu hapo. Mi nilipoenda kuwaona walinipa uhakika kwa mbwembwe sana kuwa ndani ya miezi mitatu nitakuwa nimepona, na kunitaka baada ya muda huo niende kupima, nimefanya hivyo lkn bado tatizo liko palepale pamoja na kufuata mashrti yao hata kabla sijaanza kutumia dawa zao. Am sorry, najua kibiashara nawaangusha, lkn ndio ukweli
 
Back
Top Bottom