Ugumu na uzito wa kupandisha tukio la Tundu Lissu unatoka wapi?

Ugumu na uzito wa kupandisha tukio la Tundu Lissu unatoka wapi?

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Nadhani msimamizi na muendesha channel ya CHADEMA MEDIA TV na CHADEMA DIGITAL atakuwa amejisahau kuweka clip ya hotuba ya makamu mwenyekiti chadema,Tundu Lissu akitangaza kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa.

Sio yeye tu nadhani hata wasimamizi wa CHADEMA blogs za chama na mabaraza ya chama kwa maana ya BAVICHA,BAWACHA na BAZECHA na wao watakuwa wamejisahau kupandisha tukio la makamu mwenyekiti huyo akitangaza kuwania uenyekiti wa chama Taifa kwenye social media.

Nadhani watakuwa wametingwa na majukumu mengi au wamejisahau kupandisha hotuba na tukio zima la makamu mwenyekiti wao akitangaza kuwania uenyekiti Taifa.

Sasa niwaombe wana JF wote kwa pamoja tuwakumbushe maafisa habari CHADEMA popote walipo wapandishe kwenye social media zao hotuba ya Tundu Lissu na tukio zima la yeye akitangaza kuwania uenyekiti CHADEMA Taifa.

Maana mpaka YouTube chanell ya chadema media TV hawaja upload tukio na hotuba ya Lissu akitangaza nia ya kugombea uenyekiti. Mbona hotuba ya Mbowe ipo social media zote za CHADEMA?

Ugumu na uzito huu wa kupandisha tukio la Lissu untoka wapi?
 
Nadhani msimamizi na muendesha channel ya CHADEMA MEDIA TV na CHADEMA DIGITAL atakuwa amejisahau kuweka clip ya hotuba ya makamu mwenyekiti chadema,Tundu Lissu akitangaza kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa.

Sio yeye tu nadhani hata wasimamizi wa CHADEMA blogs za chama na mabaraza ya chama kwa maana ya BAVICHA,BAWACHA na BAZECHA na wao watakuwa wamejisahau kupandisha tukio la makamu mwenyekiti huyo akitangaza kuwania uenyekiti wa chama Taifa kwenye social media.

Nadhani watakuwa wametingwa na majukumu mengi au wamejisahau kupandisha hotuba na tukio zima la makamu mwenyekiti wao akitangaza kuwania uenyekiti Taifa.

Sasa niwaombe wana JF wote kwa pamoja tuwakumbushe maafisa habari CHADEMA popote walipo wapandishe kwenye social media zao hotuba ya Tundu Lissu na tukio zima la yeye akitangaza kuwania uenyekiti CHADEMA Taifa.

Maana mpaka YouTube chanell ya chadema media TV hawaja upload tukio na hotuba ya Lissu akitangaza nia ya kugombea uenyekiti. Mbona hotuba ya Mbowe ipo social media zote za CHADEMA?

Ugumu na uzito huu wa kupandisha tukio la Lissu untoka wapi?
Ahahahahaha! Kwahiyo ile taarifa ya Erythrocyte inayoanzaGA na "... Taarifa ikufikie popote duniani ya kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema chama kinachokubalika na kupendwa duniani ametangaza nia ya kugombea uwenyekiti Chadema.... haijatoka? Erythrocyte veeepeee!!!??
 
Nadhani msimamizi na muendesha channel ya CHADEMA MEDIA TV na CHADEMA DIGITAL atakuwa amejisahau kuweka clip ya hotuba ya makamu mwenyekiti chadema,Tundu Lissu akitangaza kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa.

Sio yeye tu nadhani hata wasimamizi wa CHADEMA blogs za chama na mabaraza ya chama kwa maana ya BAVICHA,BAWACHA na BAZECHA na wao watakuwa wamejisahau kupandisha tukio la makamu mwenyekiti huyo akitangaza kuwania uenyekiti wa chama Taifa kwenye social media.

Nadhani watakuwa wametingwa na majukumu mengi au wamejisahau kupandisha hotuba na tukio zima la makamu mwenyekiti wao akitangaza kuwania uenyekiti Taifa.

Sasa niwaombe wana JF wote kwa pamoja tuwakumbushe maafisa habari CHADEMA popote walipo wapandishe kwenye social media zao hotuba ya Tundu Lissu na tukio zima la yeye akitangaza kuwania uenyekiti CHADEMA Taifa.

Maana mpaka YouTube chanell ya chadema media TV hawaja upload tukio na hotuba ya Lissu akitangaza nia ya kugombea uenyekiti. Mbona hotuba ya Mbowe ipo social media zote za CHADEMA?

Ugumu na uzito huu wa kupandisha tukio la Lissu untoka wapi?
Msimamizi wa hii channel ni Mrema ambae kwa rank ni chawa namba mbili baada ya Lema
 
Nadhani msimamizi na muendesha channel ya CHADEMA MEDIA TV na CHADEMA DIGITAL atakuwa amejisahau kuweka clip ya hotuba ya makamu mwenyekiti chadema,Tundu Lissu akitangaza kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa.

Sio yeye tu nadhani hata wasimamizi wa CHADEMA blogs za chama na mabaraza ya chama kwa maana ya BAVICHA,BAWACHA na BAZECHA na wao watakuwa wamejisahau kupandisha tukio la makamu mwenyekiti huyo akitangaza kuwania uenyekiti wa chama Taifa kwenye social media.

Nadhani watakuwa wametingwa na majukumu mengi au wamejisahau kupandisha hotuba na tukio zima la makamu mwenyekiti wao akitangaza kuwania uenyekiti Taifa.

Sasa niwaombe wana JF wote kwa pamoja tuwakumbushe maafisa habari CHADEMA popote walipo wapandishe kwenye social media zao hotuba ya Tundu Lissu na tukio zima la yeye akitangaza kuwania uenyekiti CHADEMA Taifa.

Maana mpaka YouTube chanell ya chadema media TV hawaja upload tukio na hotuba ya Lissu akitangaza nia ya kugombea uenyekiti. Mbona hotuba ya Mbowe ipo social media zote za CHADEMA?

Ugumu na uzito huu wa kupandisha tukio la Lissu untoka wapi?
Erythrocyte njoo unaitwa huku ujibu? 🤣🤣🤣🤣
 
Ahahahahaha! Kwahiyo ile taarifa ya Erythrocyte inayoanzaGA na "... Taarifa ikufikie popote duniani ya kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema chama kinachokubalika na kupendwa duniani ametangaza nia ya kugombea uwenyekiti Chadema.... haijatoka? Erythrocyte veeepeee!!!??
Yaani kimya mpaka muda huu. Kwani shida ipo wapi hapa!
 
Leo ndo wanajua kutofautisha hotuba/shughuli binafsi za mtu na chama.
Ila miaka yote akigombea chairman wala hawajiulizi ni utaikuta online😄
 
Nadhani msimamizi na muendesha channel ya CHADEMA MEDIA TV na CHADEMA DIGITAL atakuwa amejisahau kuweka clip ya hotuba ya makamu mwenyekiti chadema,Tundu Lissu akitangaza kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa.

Sio yeye tu nadhani hata wasimamizi wa CHADEMA blogs za chama na mabaraza ya chama kwa maana ya BAVICHA,BAWACHA na BAZECHA na wao watakuwa wamejisahau kupandisha tukio la makamu mwenyekiti huyo akitangaza kuwania uenyekiti wa chama Taifa kwenye social media.

Nadhani watakuwa wametingwa na majukumu mengi au wamejisahau kupandisha hotuba na tukio zima la makamu mwenyekiti wao akitangaza kuwania uenyekiti Taifa.

Sasa niwaombe wana JF wote kwa pamoja tuwakumbushe maafisa habari CHADEMA popote walipo wapandishe kwenye social media zao hotuba ya Tundu Lissu na tukio zima la yeye akitangaza kuwania uenyekiti CHADEMA Taifa.

Maana mpaka YouTube chanell ya chadema media TV hawaja upload tukio na hotuba ya Lissu akitangaza nia ya kugombea uenyekiti. Mbona hotuba ya Mbowe ipo social media zote za CHADEMA?

Ugumu na uzito huu wa kupandisha tukio la Lissu untoka wapi?
Lissu ndio mwana chadema mwenye mvuto kwa sasa kama kweli chadema ni wapinzani Chama kitajengwa upya na kurudi na nguvu kupitia Lissu kinyume chake Chama kitaendelea kukosa mvuto.
 
Waafrika tuna matatizo sana na udikteta ni kama upo damuni.

Watu tumeishi na imani na CHADEMA ila kwa sasa hatuoni tofauti kati ya yake na sisiem, kote uhuni uhuni tu!

Tundu Lissu na wenzake kama vipi wajiundie chama kipya wajitafute taratibu wapenda unyoofu tutawaunga mkono.
 
Nadhani msimamizi na muendesha channel ya CHADEMA MEDIA TV na CHADEMA DIGITAL atakuwa amejisahau kuweka clip ya hotuba ya makamu mwenyekiti chadema,Tundu Lissu akitangaza kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa.

Sio yeye tu nadhani hata wasimamizi wa CHADEMA blogs za chama na mabaraza ya chama kwa maana ya BAVICHA,BAWACHA na BAZECHA na wao watakuwa wamejisahau kupandisha tukio la makamu mwenyekiti huyo akitangaza kuwania uenyekiti wa chama Taifa kwenye social media.

Nadhani watakuwa wametingwa na majukumu mengi au wamejisahau kupandisha hotuba na tukio zima la makamu mwenyekiti wao akitangaza kuwania uenyekiti Taifa.

Sasa niwaombe wana JF wote kwa pamoja tuwakumbushe maafisa habari CHADEMA popote walipo wapandishe kwenye social media zao hotuba ya Tundu Lissu na tukio zima la yeye akitangaza kuwania uenyekiti CHADEMA Taifa.

Maana mpaka YouTube chanell ya chadema media TV hawaja upload tukio na hotuba ya Lissu akitangaza nia ya kugombea uenyekiti. Mbona hotuba ya Mbowe ipo social media zote za CHADEMA?

Ugumu na uzito huu wa kupandisha tukio la Lissu untoka wapi?
Tumuulize propagandist wa Mbowe Erythrocyte
 
Waafrika tuna matatizo sana na udikteta ni kama upo damuni.

Watu tumeishi na imani na CHADEMA ila kwa sasa hatuoni tofauti kati ya yake na sisiem, kote uhuni uhuni tu!

Tundu Lissu na wenzake kama vipi wajiundie chama kipya wajitafute taratibu wapenda unyoofu tutawaunga mkono.
TAL akipewa madaraka naye atakuwa kama Mbowe au zaidi. Huyu huwa ni mbinafsi sana
 
Hivi John Mnyika naye anasemaje?

JOHN Mrema ambaye naye amekalia muda mrefu sana hiyo nafasi yake, anasemaje?
 
Back
Top Bottom