Ugumu wa ajira Kwa wanafunzi wa SUA

Ugumu wa ajira Kwa wanafunzi wa SUA

Joined
Oct 30, 2018
Posts
35
Reaction score
62
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A

Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.

Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .

Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
 
Yaani ukasome zile kozi za SUA ili kusaka GPA?
Huko utakuwa umekosea, wewe nenda huko SUA kasome ili upate ujuzi wa uhakiki na upambane umalize na kupewa degree yako kisha uingie mtaani kusaka Ajira. Na muajiri atakaye uliza GPA yako una haki ya kumtandika makofi kwa sababu ni mwajiri mjinga na mpumbavu.
 
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A
Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3. kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje , hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana . Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
Wajiajiri lwenye projects kilimo uvuvi na mifugo ? Mikopo kibao sasa ajira gani wanataka wako wengi hivyo??
 
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A
Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3. kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje , hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana . Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
Una soma kilimo SUA, halafu unataka ukatafute ajira daslaam. Utakwama tuu.
 
Back
Top Bottom