Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 671
- 1,644
Na hapa unasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli mkuu ni kutafuta machimbo huko huko mashambani tu.Una soma kilimo SUA, halafu unataka ukatafute ajira daslaam. Utakwama tuu.
Upo mkuuHivi huo mfumo wa kuajili kwa kuangalia results badala ya ujuzi na cheti bado upo?.
Hamna namna aiseeKwa kweli mkuu ni kutafuta machimbo huko huko mashambani tu.
Duh hatari mkuuSitasahau nilipokwenda kusoma mahali fulani. Test ya kwanza kabisa nikiwa mgeni mgeni nikagonga 82% mwamba nikasema Yes hawa wenye pua ndefu hawa watanikoma. Kuja kuangalia mwishoni kwenye comments kidogo nianguke. Kumbe 82% sijui ni C+/B- dah! Na comments mbaya kweli kutoka kwa Prof. Ndiyo nikajua kuwa hawa watu wako siriazi sana na elimu yao hawa. Eti A- inaanzia 92%! Kufa sikufa ila cha moto nilikiona kwa kweli hasa mwaka wa kwanza! 🙌
🤣🤣Una soma kilimo SUA, halafu unataka ukatafute ajira daslaam. Utakwama tuu.
Agricultural science and BiologyUmesoma nini sua? mbona vijana wengi wasua naona wanaenda nje sana
Kwa hawa wanaosoma kwa kuunga unga madesa hawa hawajisomei na hawajui kitu mbali na kukariri ujuzi wataupata wapi? Graduate wa chuo kikuu lakini utafikiri mmemwokota barabarani. Au huijui elimu yetu ilivyo hoi bin taaban? Wameruhusu vyuo vikuu vingi bila kuwa na PhDs za kutosha matokeo yake mtu mwenye masters tena ya kuunga unga ndiyo anafundisha wanafunzi 500+. Unategemea nini hapo? Ndiyo maana makampuni mengi yanapiga makelele kwamba graduates wetu hawaajiriki!Hivi huo mfumo wa kuajili kwa kuangalia results badala ya ujuzi na cheti bado upo?.
Aisee🤣🤣🤣Una soma kilimo SUA, halafu unataka ukatafute ajira daslaam. Utakwama tuu.
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A
Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.
Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .
Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
SUA hawa wafujaji wa elimu?MUST hawana tofauti na vyuo vingine Udsm DIT and the likes.
Vyuo vya MUHAS na SUA so far kwa Tanzania vinajitahidi.
Mkuu Sua ni utendaji hata bila check number huwezi kukaa mtaaniUongo huu mkubwa kuwahi tokea.
Danganya wajinga!Mkuu Sua ni utendaji hata bila check number huwezi kukaa mtaani
Wewe mwanachuo unafundishwa kuendesha trektaDanganya wajinga!
Mimi nawajua wahitimu wa Sua kwa uongo mlioaminishwa hapo mazimbu na magadu.
Sua naijua nje ndani,na zaidi ya hapo naijua pia.
Hiki chuo kwa magumashi ni namba one tanzania,elimu iko chini ya kiwango.