Ugumu wa ajira Kwa wanafunzi wa SUA

Ugumu wa ajira Kwa wanafunzi wa SUA

Elimu ni biashara

Lakini lengo mama la chuo ni kilimo ndio maana serikali inatoa ruzuku ikilenga kwenye utafiti wa kilimo,skm za umwagiliaji nk
Skimu za umwagiliaji zipo sua wapi mkuu?

Haya,niambie kwenye kilimo nchi hii impact ya sua iko wapi?

Au ufugaji,unakumbuka kuna chanjo ya kuku ilisababisha hasara kwa wafugaji ila ilikuwa imetokea sua?,unajua nini kilifanyika hadi iKfikia hivyo?

Unakumbuka walr vijana walioenda israel wanauawa?,unafaham huo mradi unavyouza watu?

Mtu mwenye degree anaenda kuosha mbuzi wa kiyahudi na kulinda mabanda,halafu useme elimu aliyopata sua imemsaidia?

Sua imeshusha hadhi ya kilimo.
 
Skimu za umwagiliaji zipo sua wapi mkuu?

Haya,niambie kwenye kilimo nchi hii impact ya sua iko wapi?

Au ufugaji,unakumbuka kuna chanjo ya kuku ilisababisha hasara kwa wafugaji ila ilikuwa imetokea sua?,unajua nini kilifanyika hadi iKfikia hivyo?

Unakumbuka walr vijana walioenda israel wanauawa?,unafaham huo mradi unavyouza watu?

Mtu mwenye degree anaenda kuosha mbuzi wa kiyahudi na kulinda mabanda,halafu useme elimu aliyopata sua imemsaidia?

Sua imeshusha hadhi ya kilimo.
Ni kweli wanaoenda kwenye izo program wanaenda kama cheap labour ila wanarud na hela nzr.
 
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A

Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.

Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .

Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
ukisema "vyuo vingine" ondoa udsm, usiifananishe na vyuo vya kata.
 
Huu nao ni ugonjwa mwingine, nchi hii vyuo vyote vimekuwa sawa tu. Kwani UDSM ya sasa inatofauti gani na vyuo vingine?
usije kujidanganya hata siku moja. wewe cha maana soma tu, pata degree yako, nenda katafute kazi, usipoteze muda kubishania hilo.
 
Wewe unadhani wote wanasoma haya mambo unayosema hapa sua?

Au nabishana na mtu asiyeijua sua?

Wangapi kati yao wanafanya haya mambo hapa sua?

Hivi unajua sua ni chuo kinachoharibu kilimo nchi hii badala ya kusaidia?

Mkuu unaijua sua au unaaandika tu?

Sua ni chuo cha hovyo kuliko vyote kinachomilikiwa na serikali.
Wewe ni muhitimu wa SUA au Mkufunzi wa SUA? Unaonekana kukielewa sana hicho chuo, tupe ukweli kuna nini hasa kinaleta ubovu huo, au uozo huo uko SUA?

Wanafunzi kununua mitihani ni vyuo vyote kwa sasa, na vyuo kuanzisha program/course nyingi imekuwa fashion, na sehemu ya kuingiza mapato. Wana copy program/syllabus za vyuo vingine wana paste na kuanzisha degree bila kujali kama wana walimu wenye sifa au la imekuwa kawaida siku hizi, vyuo kuanzisha matawi kila kona ni fashion pia.

Tupe uchafu na uozo wa SUA mkuu.
 
usije kujidanganya hata siku moja. wewe cha maana soma tu, pata degree yako, nenda katafute kazi, usipoteze muda kubishania hilo.
Sibishani, kwa sababu naelewa mazingira hayo, na haya mambo ya chuo bora sijui huwa wanapimanaje?
 
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A

Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.

Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .

Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
Ukiachana na kazi chache kama kuwa muhadhiri chuoni nk kazi nyingi huwa haziangalii GPA

Cha msingi uwe umefaulu tu.


Halafu hao waliosoma vyuo vingine ndio wanapata sana ajira??

Sio wamejaa tu mtaani
 
Watu wanaichukulia kwa ukubwa sana na kukiogopa.
IMG_20240720_203516.jpg
 
Sitasahau nilipokwenda kusoma mahali fulani. Test ya kwanza kabisa nikiwa mgeni mgeni nikagonga 82% mwamba nikasema Yes hawa wenye pua ndefu hawa watanikoma. Kuja kuangalia mwishoni kwenye comments kidogo nianguke. Kumbe 82% sijui ni C+/B- dah! Na comments mbaya kweli kutoka kwa Prof. Ndiyo nikajua kuwa hawa watu wako siriazi sana na elimu yao hawa. Eti A- inaanzia 92%! Kufa sikufa ila cha moto nilikiona kwa kweli hasa mwaka wa kwanza! [emoji119]
Hahahahahaha....
Nimecheka sanaaa!!!!
Huko si unasoma mpk maji unaita mmaa
Sisi 82 ni A tenaA kubwaaaaa kabisaaaa
 
Kwani bado kuna kampuni ama mashirika wanaozingatia GPA
 
Back
Top Bottom