The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
Skimu za umwagiliaji zipo sua wapi mkuu?Elimu ni biashara
Lakini lengo mama la chuo ni kilimo ndio maana serikali inatoa ruzuku ikilenga kwenye utafiti wa kilimo,skm za umwagiliaji nk
Ni kweli wanaoenda kwenye izo program wanaenda kama cheap labour ila wanarud na hela nzr.Skimu za umwagiliaji zipo sua wapi mkuu?
Haya,niambie kwenye kilimo nchi hii impact ya sua iko wapi?
Au ufugaji,unakumbuka kuna chanjo ya kuku ilisababisha hasara kwa wafugaji ila ilikuwa imetokea sua?,unajua nini kilifanyika hadi iKfikia hivyo?
Unakumbuka walr vijana walioenda israel wanauawa?,unafaham huo mradi unavyouza watu?
Mtu mwenye degree anaenda kuosha mbuzi wa kiyahudi na kulinda mabanda,halafu useme elimu aliyopata sua imemsaidia?
Sua imeshusha hadhi ya kilimo.
Hicho chuo ni katili mnooooo
ukisema "vyuo vingine" ondoa udsm, usiifananishe na vyuo vya kata.Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A
Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.
Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .
Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
Huu nao ni ugonjwa mwingine, nchi hii vyuo vyote vimekuwa sawa tu. Kwani UDSM ya sasa inatofauti gani na vyuo vingine?ukisema "vyuo vingine" ondoa udsm, usiifananishe na vyuo vya kata.
usije kujidanganya hata siku moja. wewe cha maana soma tu, pata degree yako, nenda katafute kazi, usipoteze muda kubishania hilo.Huu nao ni ugonjwa mwingine, nchi hii vyuo vyote vimekuwa sawa tu. Kwani UDSM ya sasa inatofauti gani na vyuo vingine?
Wewe ni muhitimu wa SUA au Mkufunzi wa SUA? Unaonekana kukielewa sana hicho chuo, tupe ukweli kuna nini hasa kinaleta ubovu huo, au uozo huo uko SUA?Wewe unadhani wote wanasoma haya mambo unayosema hapa sua?
Au nabishana na mtu asiyeijua sua?
Wangapi kati yao wanafanya haya mambo hapa sua?
Hivi unajua sua ni chuo kinachoharibu kilimo nchi hii badala ya kusaidia?
Mkuu unaijua sua au unaaandika tu?
Sua ni chuo cha hovyo kuliko vyote kinachomilikiwa na serikali.
Sibishani, kwa sababu naelewa mazingira hayo, na haya mambo ya chuo bora sijui huwa wanapimanaje?usije kujidanganya hata siku moja. wewe cha maana soma tu, pata degree yako, nenda katafute kazi, usipoteze muda kubishania hilo.
Ukiachana na kazi chache kama kuwa muhadhiri chuoni nk kazi nyingi huwa haziangalii GPAMe nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A
Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.
Kwahyo kwenye qualifications za GPA mwanafunzi wa SUA tiyari kigezo cha GPA kinanamtoa nje, hizi pass mark zinaumiza sana wanafunzi na kwenye competition za ajira wanafunzi wanapata ugumu sana .
Pass mark inabidi iwe moja ili kuleta usawa kwa vyuo vyote
Sio kweliHii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.
Hahahahahaha....Sitasahau nilipokwenda kusoma mahali fulani. Test ya kwanza kabisa nikiwa mgeni mgeni nikagonga 82% mwamba nikasema Yes hawa wenye pua ndefu hawa watanikoma. Kuja kuangalia mwishoni kwenye comments kidogo nianguke. Kumbe 82% sijui ni C+/B- dah! Na comments mbaya kweli kutoka kwa Prof. Ndiyo nikajua kuwa hawa watu wako siriazi sana na elimu yao hawa. Eti A- inaanzia 92%! Kufa sikufa ila cha moto nilikiona kwa kweli hasa mwaka wa kwanza! [emoji119]
Watu wanaichukulia kwa ukubwa sana na kukiogopa.View attachment 3047424